Zanzibar-ASP
JF-Expert Member
- Nov 28, 2013
- 11,550
- 40,697
Waziri mwenye dhamana ya michezo wa Tanzania, Ndumbaru, siku ya leo amesikika akipiga marufuku watanzania wenye ushabiki (watakao vaa jezi) wa vilabu vya nje vinavyokuja kushindana na timu za Tanzania (Simba na Yanga) kuonekana uwanjani.
Kwa hakika hii sio kauli ya kiungwana kwenye soka, na ina mlengo wa kupandikiza chuki, ubaguzi na fujo michezoni, kitu ambacho kinapigwa vita mnoo na FIFA.
Mamlaka za juu za nchi (waziri mkuu, makamu wa Rais na Rais) tunawaomba sana mjitokeze haraka mnoo kufuta kauli ya Ndumbaru ili kulinda Amani na mshikamano michezoni.
Kwa hakika hii sio kauli ya kiungwana kwenye soka, na ina mlengo wa kupandikiza chuki, ubaguzi na fujo michezoni, kitu ambacho kinapigwa vita mnoo na FIFA.
Mamlaka za juu za nchi (waziri mkuu, makamu wa Rais na Rais) tunawaomba sana mjitokeze haraka mnoo kufuta kauli ya Ndumbaru ili kulinda Amani na mshikamano michezoni.