Katika kila ndoa za wachezaji 100 wa basketball NBA Marekani, ndoa 87 zinavunjika baada ya wachezaji kustaafu,

Katika kila ndoa za wachezaji 100 wa basketball NBA Marekani, ndoa 87 zinavunjika baada ya wachezaji kustaafu,

round kick

JF-Expert Member
Joined
Feb 3, 2025
Posts
345
Reaction score
1,145
1739621185241.png


Ni mchezo uliojaa wachezaji wengi Wamarekani weusi na waafrika waliobadili maisha yao kwa mishahara inayoenda mpaka bilioni 3 kwa wiki

Huwa ni vijana warefu wenye miili ya mazoezi, wanatupia pamba za bei, mkwanja upo wa kutosha, Ni ngumu kuambiwa NO wakitupa ndoano

Lakini kuna mchezo mchafu unaendelea kwa wanawake wanaoolewa kuzifanya ndoa ziwe kitega uchumi cha kuja kutumia jasho la wachezaji hao kuwatajirisha,

Wachezaji wengi wanapokuwa bado wanacheza wake zao wanapata umaarufu, tunaweza kusema wanajitengenezea Brand, wachezaji wakistaafu media haziwapi attention vile vile kwa wake zao, kinachofuata ni wanawake kuanza kutengeneza visingizio vyovyote ili ndoa ivunjike.

Mahakamani mabilioni ya mchezaji waliyovujia jasho yanaganwanywa, Maisha ya wanawake wengi sana yanabadilika kwa mtindo huu wa kitapeli
 
Tukija upande wa soka waafrika sijui tuna shida gani, Ngolo Kante kabahatika kutajirika ila kaoa mshangazi wa kizungu, asubiri kujifunza kwa maumivu
 
Tukija upande wa soka waafrika sijui tuna shida gani, Ngolo Kante kabahatika kutajirika ila kaoa mshangazi wa kizungu, asubiri kujifunza kwa maumivu
Inaelekea waafrika ni ndoto kuwaoa wazungu. Nilikuwa nadhani mke wa tiger woods alikuwa gold digger kumbe hapana aisee nilivyofuatilia kisa chake, yule dada alikuwa anampenda woods ila ndiyo hivyo jamaa akazingua.
 
Inaelekea waafrika ni ndoto kuwaoa wazungu. Nilikuwa nadhani mke wa tiger woods alikuwa gold digger kumbe hapana aisee nilivyofuatilia kisa chake, yule dada alikuwa anampenda woods ila ndiyo hivyo jamaa akazingua.
Lakini shida ya wamarekani weusi wengi hawapendi kuoa wenzao kwasababu ni vichomi, Mwanamke mweusi wa Marekani ni ngumu sana kuishi nae, wachezaji na wasanii wenye pesa wanaoa nje tatizo na wao wana tembeza sana bakora, ama kweli muafrika unaweza kumtoa Afrika ila huwezi kuutoa uafrika
 
Back
Top Bottom