Katika kila Watanzania 10, tisa wamewahi kwenda kwa waganga hasa matatizo yakiwaelemea. Je, dini ni pambo?

Katika kila Watanzania 10, tisa wamewahi kwenda kwa waganga hasa matatizo yakiwaelemea. Je, dini ni pambo?

Sio kweli, sisi wa mujini hatuendi kwa waganga.
Ungesema katika wanaume kumi Tisa wamewahi kupiga punyeto ningekuelewa.
 
Sio kweli, sisi wa mujini hatuendi kwa waganga.
Ungesema katika wanaume kumi Tisa wamewahi kupiga punyeto ningekuelewa.
Kaka kaka 😂.... usipotoshe vijana wa second floor wasije kuflow na hii. HAPANA SIO SAHIHI.
 
Huu ndio ukweli mchungu watanzania wengi wamewahi kwenda kwa wataalam ila huwa ni siri ya kufa nayo kaburini, hakuna atayekubali kama ameenda au huwa anaenda kwa mganga

wahalifu hasa wa kusafirisha magendo, wizi, utapeli hawa karibu wote wanaenda kwa waganga

Wengi wakiumwa hospitali zikishindwa kutibu watahangaika sana makanisani misikitini na hospitali za ziada lakini mwishowe huamini ni ushirikina, ndipo safari kwa waganga zinapoanza

wafanyabiashara wengi biashara zikianza kuyumba wapo vulnerable kuamini kuna mkono wa mtu, pia mambo ya ulinzi wa kuzindika, kuvutia wateja, n.k. waganga wanatafutwa sana

wanawake wanaotaka malimbwata, kuroga wenzao, kupata waume, kutafuta watoto, n.k. wapo sana huko

wanasiasa kipindi cha ubunge huwa wanafanya kuwe na foleni huko

mtu akiibiwa ama kutaka kulipa kisasi huyoo kwa mganga

wakulima wengi ni wateja wa waganga
Dini gani au ni hizi za kuuza udongo maji mafuta na upuuzi mwingine kuwa unatibu Kila kitu hata ukata wa fedha?
Hao ndio wachawi haswa.
 
Huu ndio ukweli mchungu watanzania wengi wamewahi kwenda kwa wataalam ila huwa ni siri ya kufa nayo kaburini, hakuna atayekubali kama ameenda au huwa anaenda kwa mganga

wahalifu hasa wa kusafirisha magendo, wizi, utapeli hawa karibu wote wanaenda kwa waganga

Wengi wakiumwa hospitali zikishindwa kutibu watahangaika sana makanisani misikitini na hospitali za ziada lakini mwishowe huamini ni ushirikina, ndipo safari kwa waganga zinapoanza

wafanyabiashara wengi biashara zikianza kuyumba wapo vulnerable kuamini kuna mkono wa mtu, pia mambo ya ulinzi wa kuzindika, kuvutia wateja, n.k. waganga wanatafutwa sana

wanawake wanaotaka malimbwata, kuroga wenzao, kupata waume, kutafuta watoto, n.k. wapo sana huko

wanasiasa kipindi cha ubunge huwa wanafanya kuwe na foleni huko

mtu akiibiwa ama kutaka kulipa kisasi huyoo kwa mganga

wakulima wengi ni wateja wa waganga
Hii stats haiko sahihi. Kuna mikoa hawaamini hizo mambo na mikoa mingine inaamini sqna. Question hapa je umetumia methods gani na idadi ipi umehoji?
 
Tatizo bongo Wachawi wengi ndumba Nyingi lazima tupambane na chawi kindumba ndumba tuu
 
Siku ukijua dini si kwenda makanisani na misikitini tu, hauta hoji tena kama ni pambo.
 
Huu ndio ukweli mchungu watanzania wengi wamewahi kwenda kwa wataalam ila huwa ni siri ya kufa nayo kaburini, hakuna atayekubali kama ameenda au huwa anaenda kwa mganga

wahalifu hasa wa kusafirisha magendo, wizi, utapeli hawa karibu wote wanaenda kwa waganga

Wengi wakiumwa hospitali zikishindwa kutibu watahangaika sana makanisani misikitini na hospitali za ziada lakini mwishowe huamini ni ushirikina, ndipo safari kwa waganga zinapoanza

wafanyabiashara wengi biashara zikianza kuyumba wapo vulnerable kuamini kuna mkono wa mtu, pia mambo ya ulinzi wa kuzindika, kuvutia wateja, n.k. waganga wanatafutwa sana

wanawake wanaotaka malimbwata, kuroga wenzao, kupata waume, kutafuta watoto, n.k. wapo sana huko

wanasiasa kipindi cha ubunge huwa wanafanya kuwe na foleni huko

mtu akiibiwa ama kutaka kulipa kisasi huyoo kwa mganga

wakulima wengi ni wateja wa waganga
Ila hiyo percentage naona ni kubwa sana . Unajua maana ya 9 out of 10 ni 90% ina maana kwa ndugu zako tu mama yako au baba yako, ndgugu zako zaidi ya 6 wameenda, wajomba ,mashangazi wameenda . Ni kweli tuna wengi wameenda kwa waganga, tatizo ni hiyo asilimia. Ila ukitupatia reliable methodology ya asilimia hii, mimi nitaamini.
 
Hii nchi watu ni washirikina sana, Mshirikina yoyote ni mpinga maendeleo
 
Back
Top Bottom