BADO MMOJA
JF-Expert Member
- Jul 19, 2012
- 2,195
- 1,346
KWA AKILI YAKO NDOGO UNADHANI WANAOFURAHIA JAMBO HILO WANAEPUKIKA? HATA BABA YAKO AKIPATWA TATIZO KUNA WATU WATAFURAHI KAMWE DUNIANI HUWEZI KUWAFURAHISHA WATU WOTE YESU NA UBINGWA WAKE WAKUFUFUA MPAKA WALIOKUFA ALIAMBULIA KUTUNDIKWA MSALABANI NA WENGINE WENGI HATA KWENYE UKOO WAKO WAPO WATU WANAOMBA YAKUPATE MABAYA WAFURAHI HASA YULE SHANGAZI YAKO WA ............ UTAJAZIA MWENYEWESwali kwanini uzushiwe kifo? tujifunze kuishi vizuri na jamii, wakati Mandela anaumwa watu walikuwa wanalia nje ya hospitali wakimuombea na mwisho alifariki lakini jamii ilimpenda kupita kiasi na MUNGU akampenda zaidi.