Katika kitabu chake cha "My life, My Purpose" Marehemu Mzee Mkapa alikiri kuzushiwa kifo akiwa madarakani

Katika kitabu chake cha "My life, My Purpose" Marehemu Mzee Mkapa alikiri kuzushiwa kifo akiwa madarakani

Swali kwanini uzushiwe kifo? tujifunze kuishi vizuri na jamii, wakati Mandela anaumwa watu walikuwa wanalia nje ya hospitali wakimuombea na mwisho alifariki lakini jamii ilimpenda kupita kiasi na MUNGU akampenda zaidi.
KWA AKILI YAKO NDOGO UNADHANI WANAOFURAHIA JAMBO HILO WANAEPUKIKA? HATA BABA YAKO AKIPATWA TATIZO KUNA WATU WATAFURAHI KAMWE DUNIANI HUWEZI KUWAFURAHISHA WATU WOTE YESU NA UBINGWA WAKE WAKUFUFUA MPAKA WALIOKUFA ALIAMBULIA KUTUNDIKWA MSALABANI NA WENGINE WENGI HATA KWENYE UKOO WAKO WAPO WATU WANAOMBA YAKUPATE MABAYA WAFURAHI HASA YULE SHANGAZI YAKO WA ............ UTAJAZIA MWENYEWE
 
Swali kwanini uzushiwe kifo? tujifunze kuishi vizuri na jamii, wakati Mandela anaumwa watu walikuwa wanalia nje ya hospitali wakimuombea na mwisho alifariki lakini jamii ilimpenda kupita kiasi na MUNGU akampenda zaidi.
Ina maana mbowe na mrema pia hawaishi vizuri na watu kwa kuwa mliwazushia kifo?
Sometimes muwe mnafikiria nje ya box!
 
Ila saa ingine mazingira yanachangia kuzushiwa kifo.
Kama watu walizoea kukuona kila siku Kazini kwako halafu ghafla ukatoweka kwenda kusikojulikana bila taarifa yoyote watu wafanyeje Kama sio kuamini umekata Moto?
 
Swali kwanini uzushiwe kifo? tujifunze kuishi vizuri na jamii, wakati Mandela anaumwa watu walikuwa wanalia nje ya hospitali wakimuombea na mwisho alifariki lakini jamii ilimpenda kupita kiasi na MUNGU akampenda zaidi.
Kuna mwingine wananchi wake wakifahamu Hospitali aliyolazwa wataweka hapo kambi huku wakishangilia na kusherehekea yeye kuumwa.

Na ikitokea Mungu akampenda zaidi basi Wananchi wake watafanya Sherehe badala ya kuomboleza.

Tusimfananishe Mandela na watu Wa hovyo hovyo..
 
Kuna mwingine wananchi wake wakifahamu Hospitali aliyolazwa wataweka hapo kambi huku wakishangilia na kusherehekea yeye kuumwa.

Na ikitokea Mungu akampenda zaidi basi Wananchi wake watafanya Sherehe badala ya kuomboleza.

Tusimfananishe Mandela na watu Wa hovyo hovyo..
Labda hao watu wapo huku tu mitandaoni ila sio huko uraiani.
 
Ila saa ingine mazingira yanachangia kuzushiwa kifo.
Kama watu walizoea kukuona kila siku Kazini kwako halafu ghafla ukatoweka kwenda kusikojulikana bila taarifa yoyote watu wafanyeje Kama sio kuamini umekata Moto?
Makazi ya Rais ni Ikulu na ndiyo anafanyia kazi zake huko,sasa huko alipotoweka ni wapi Ikulu au?
 
Kama watu hawayaamini maneno bayana ya PM last Friday, hata Bulldozer akitoea leo kwenda kukagua miradi ya maendeleo kule ^Magomeni^ & ^Kariakoo^ still bado waleeee wazabizabina watasema siye, huenda ni mambo ya AI & robotiks 🙂 🙂 🙂 ^Dunia ina mambo^ ~ Sam Mangwana
Lakini JPM yuko wapi? Tunataka kumwona hata akihojiwa runingani!!!
 
Swali kwanini uzushiwe kifo? tujifunze kuishi vizuri na jamii, wakati Mandela anaumwa watu walikuwa wanalia nje ya hospitali wakimuombea na mwisho alifariki lakini jamii ilimpenda kupita kiasi na MUNGU akampenda zaidi.

Wale jamaa wa madili unadhani kazi yao ni ipi sasa, kimfano!???
 
Lakini JPM yuko wapi? Tunataka kumwona hata akihojiwa runingani!!!

Una nini cha kumhoji wakati Ubungo Interchange ^teyari;^ Magufuli Terminal Mbezi ^teyari^ In short Bulldozer hadaiwi kitu hata akiibuka 2042 wakati wa mwisho wa dunia, according to Humphrey Polepole Mwendokasi. Sijawahi kuona kiongozi ambaye amepiga kazi nzuri, nonstop kama Rais wetu. He is simply the best, utake usitake --- tutamlazimisha!!!
 
Una nini cha kumhoji wakati Ubungo Interchange ^teyari;^ Magufuli Terminal Mbezi ^teyari^ In short Bulldozer hadaiwi kitu hata akiibuka 2042 wakati wa mwisho wa dunia, according to Humphrey Polepole Mwendokasi. Sijawahi kuona kiongozi ambaye amepiga kazi nzuri, nonstop kama Rais wetu. He is simply the best, utake usitake --- tutamlazimisha!!!
Tunahitaji kumwona raisi wetu. Tofautisha utu na vitu!
 
Swali kwanini uzushiwe kifo? tujifunze kuishi vizuri na jamii, wakati Mandela anaumwa watu walikuwa wanalia nje ya hospitali wakimuombea na mwisho alifariki lakini jamii ilimpenda kupita kiasi na MUNGU akampenda zaidi.
Huwezi ukapendwa na kila mtu, Kama hata Mwenyezi Mungu Muumbaji wengine wanamkosoa sembuse kwa mja?
 
Kuna mwingine wananchi wake wakifahamu Hospitali aliyolazwa wataweka hapo kambi huku wakishangilia na kusherehekea yeye kuumwa.

Na ikitokea Mungu akampenda zaidi basi Wananchi wake watafanya Sherehe badala ya kuomboleza.

Tusimfananishe Mandela na watu Wa hovyo hovyo..
Comment ya kipuuzi na kukosa ufahamu!
 
Tunahitaji kumwona. Ndiyo njia pekee ya kuzima tetesi.
Tetesi hazijaanza leo mkuu si mara ya kwanza Rais kuzushiwa jambo kama hilo,sasa hili la kutaka kiongozi mkuu wa nchi ajioneshe tu kwa sababu kuna uvumi umezushwa juu yake sidhani kama limekaa sawa. Waziri mkuu ameshasema rais yupo na ni mzima,sasa sijui kipi kinachowafanya watu waendelee kushikilia huu uzushi? Hakuna tukio ambalo alitakiwa ahudhurie ila hakutokea au kwamba imepita miezi hata miezi miwili bila kusikika
 
Swali kwanini uzushiwe kifo? tujifunze kuishi vizuri na jamii, wakati Mandela anaumwa watu walikuwa wanalia nje ya hospitali wakimuombea na mwisho alifariki lakini jamii ilimpenda kupita kiasi na MUNGU akampenda zaidi.
Hukuona watu pia walifurahia kusulubiwa kwa yesu na kufa kwake msalabani?
 
Swali kwanini uzushiwe kifo? tujifunze kuishi vizuri na jamii, wakati Mandela anaumwa watu walikuwa wanalia nje ya hospitali wakimuombea na mwisho alifariki lakini jamii ilimpenda kupita kiasi na MUNGU akampenda zaidi.
Mimi nimecheka tuu hapo aliposema jamii inahisi inammiliki,haa haa alipokuwa anaomba kura alikuwa hajui kama anajimilikisha eeeh?
 
Kuna mwingine wananchi wake wakifahamu Hospitali aliyolazwa wataweka hapo kambi huku wakishangilia na kusherehekea yeye kuumwa.

Na ikitokea Mungu akampenda zaidi basi Wananchi wake watafanya Sherehe badala ya kuomboleza.

Tusimfananishe Mandela na watu Wa hovyo hovyo..
Haa haa dah [emoji23][emoji1787]
 
Back
Top Bottom