Katika kosa kubwa ambalo Biden atalifanya ni kuhusu uamuzi wa kuiruhusu Ukraine kutumia silaha za masafa marefu

Fair gani wakati Urusi inapigana na nchi zote za NATO na bado wamemshindwa?

Ngoja WW3 ianze ndio utajua tofauti ya wanaume wa Russia na mashoga ya west. Urussi moja inaweza kuwashinda wote hao NATO na upuuzi wao
Kobaz katika ubora wako. Hebu nijibu, mbona ushoga umetamalaki unguja na Mombasa kuliko iringa?
 
Chief. Profile yako kama ya mtoto wa Osama alofukuzwa majuzi ufaransa
 
Sasa kwa nini hawapambani na Putin vilivyo ili vita iishe?
 
Si ndio huyo Ukraine apambane mwenyewe kwani lazima asubiri msaada??

Wanaouawa ni watu wa Ukraine,miondombinu inayobarikiwa ni ya wa Ukraine,hasara ni za wa Ukraine sasa kwanini asubiri sijui ruhusa,ruhusa ya nini yeye ashambulie Tu
 
Putin na wakristo na makafili Sana tuu,,,au unadhani ni wafuasi wa mudi Kama wewe??
Wee chizi Mimi nilishatoka huko kwenye huo upuuzi siamini katika Imani zenu za kipumbavu , Unadhani Mimi na Akili zangu nitakaa na kuamini kuwa kuna binaadamu alipaa na farasi mwenye Mabawa akaenda mbinguni kukabidhiwa sala tano 🤣🤣

Au unadhani nitaweza kukaa na kuamini kuwa Mussa alipiga fimbo baharini na bahari ikagawanyika
 
Hayo mmeshayasema Sana tangu vita inaanza lakini ndio kwanza uchumi wa Russia unazidi kuchanua ,
Uchumi wa nchi siyo kama biashara ya maandazi dogo, kwamba ukitoa sh 10 unajua hapo hapo kama imepungua

Mpe Putin miaka 5 ya kuhangaika na hii vita alafu uje uone sebene lake kwenye uchumi
 
Hapa tatizo ni uelewa wako mdogo wa mambo
Uelewa upi Tena? Ukraine hawakuwa ndani ya USSR Kwa hiari. Waliuliwa hadi Kwa njaa walipoonesha ukaidi wa kuwa ndani ya Urusi. Nenda kasomee Tena habari za namna nchi mbalimbali zilivyoingia ndani ya USSR. Kwa ufupi USSR ndo Rusia. Tofauti na ya USSR na Urusi ni kupungua Kwa maeneo ya kiutawala ya Urusi baada vile vinchi kuachiwa kuwa huru ikiwemo Ukraine. Hivyo, Mali zote muhimu ndani ya nchi hizo ni kazi ya Urusi kama ambavyo Mjerumani alivyotuachia reli yetu pendwa Kongongo ya kwenda Kigoma. Amgekuwa amesimika mitambo ya Silaha za Nyuklia Mjerumani asingeacha mitambo wake kizembe. Lazima angeung'oa
 
Tayari Ukraine/Zelensky ameshathubutu. Ngoja tuone kama Putin atafanya ulivyosema.
 
Russia siyo ya kuilinganisha ni hizi nchi zenu Fikiria anapambana na nchi zote za NATO na bado anakiwasha Hivyo kuweni na umakini!Kwa kila jambo siyo ushabiki wa Smba na Yanga!
Kwani Putin hasaidiwi?
Anapewa askari na silaha pia kutoka Turkey, Iran, North Korea, nk
 
Inaifahamu vizuri NATO wewe,siku NATO akitia timu hapo Rasia Hana Cha kufanya za ya kulipilua nuke,anaifaha vzr NATO ndo maana huto sikia kaigusa ncho yeyote ya NATO
NATO hana lolote anamtegemea US kwa kila kitu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…