Katika kundi la 260 waliokwenda Israel kama hakukua na waislamu basi kulikuwa na ajenda ya siri

Katika kundi la 260 waliokwenda Israel kama hakukua na waislamu basi kulikuwa na ajenda ya siri

Webabu

JF-Expert Member
Joined
Apr 29, 2010
Posts
8,870
Reaction score
14,258
Kawaida katika mambo mengi hutajwa Tanzania haiangalii dini wala rangi ya mtu. Hata hivyo kuna mengi huendeshwa kidini na kiubaguzi mwengine ambao huwa umejificha sana.

Nilikuwa nafuatilia ile orodha ya vijana 260 waliotajwa kwenda kusoma kilimo na sijaiona.

Shaka yangu ni kuwa huenda wote wametoka maeneo au vyuo ambako hakuna waislamu. Hiyo inaweza ikawa ni maelekezo ya wafadhili ya zile nafasi na kwa kuwa walikuwa na ajenda ya siri ya kuwaingiza kwenye mafunzo ambayo waislamu wasingefaa kupelekwa.

Picha ya hatma ya Joshua Mollel imezidisha shaka hiyo na hasa kwa vile imechelewa kutolewa kama kwamba ilikuwa ni siri ya Israel ambayo mwisho wake siri hiyo imewaponyoka.
 
Kawaida katika mambo mengi hutajwa Tanzania haiangalii dini wala rangi ya mtu.Hata hivyo kuna mengi huendeshwa kidini na kiubaguzi mwengine ambao huwa umejificha sana.
Nilikuwa nafuatilia ile orodha ya vijana 260 waliotajwa kwenda kusoma kilimo. na sijaiona.Shaka yangu ni kuwa huenda wote wametoka maeneo au vyuo ambako hakuna waislamu.Hiyo inaweza ikawa ni maelekezo ya wafadhili ya zile nafasi na kwa kuwa walikuwa na ajenda ya siri ya kuwaingiza kwenye mafunzo ambayo waislamu wasingefaa kupelekwa.
Picha ya hatma ya Joshua Mollel imezidisha shaka hiyo na hasa kwa vile imechelewa kutolewa kama kwamba ilikuwa ni siri ya Israel ambayo mwisho wake siri hiyo imewaponyoka.
Duh. Hii hatari. Isreal sio kwakwenda mtu. Ardhi za wapalestina zile kwa hivyo wanazitaka wenyewe
 
Nadhani hamas kuna siri wanaijua ndiyo maana wakawaua...

Yani kuna ka kitu bado tunafichwa, na ukizingatia siyo mamlaka ya palestina, israel au tanzania waliolaani hiko kitendo mpaka sasa, basi ndo ujue kuna namna hapa..
Ile picha ya kuuliwa Mollel kama ni kweli basi inaonesha kulikuwa na kitu walichogundua watekaji ambacho si cha kawaida kama ilivyokuwa kwa watailand ndio maana wakaamua kumuua pamoja na kwamba kiongozi wao kutaka kuwazuia mwanzoni.
 
Nadhani hamas kuna siri wanaijua ndiyo maana wakawaua...

Yani kuna ka kitu bado tunafichwa, na ukizingatia siyo mamlaka ya palestina, israel au tanzania waliolaani hiko kitendo mpaka sasa, basi ndo ujue kuna namna hapa..
Yule dogo eti anasema Israel chuo then anaonekana GAZA ambako Hakuna chuo wala collage ni kama open air prison. What was he doing there???
Hamas lazima eneo Lao walitreat kama eneo LA vita so anyone haelewi tena foreigner lazima watakudhuru tu.
Kuna kitu zaidi kinafichwa kuhusu huyu dogo. Mimi nazani alikuwa 007 alitumwa maana Israel hawataki ndugu zao wafe kizembe so wanawatumia sana Africans hasa Ethiopians kama 007...ni mawazo yangu tu ya mbali nikiwa naota
 
Kawaida katika mambo mengi hutajwa Tanzania haiangalii dini wala rangi ya mtu.Hata hivyo kuna mengi huendeshwa kidini na kiubaguzi mwengine ambao huwa umejificha sana.
Nilikuwa nafuatilia ile orodha ya vijana 260 waliotajwa kwenda kusoma kilimo. na sijaiona.Shaka yangu ni kuwa huenda wote wametoka maeneo au vyuo ambako hakuna waislamu.Hiyo inaweza ikawa ni maelekezo ya wafadhili ya zile nafasi na kwa kuwa walikuwa na ajenda ya siri ya kuwaingiza kwenye mafunzo ambayo waislamu wasingefaa kupelekwa.
Picha ya hatma ya Joshua Mollel imezidisha shaka hiyo na hasa kwa vile imechelewa kutolewa kama kwamba ilikuwa ni siri ya Israel ambayo mwisho wake siri hiyo imewaponyoka.
Hoja nzito sana kwa mustakabali wa Isalama wa Taifa letu
 
Yule dogo eti anasema Israel chuo then anaonekana GAZA ambako Hakuna chuo wala collage ni kama open air prison. What was he doing there???
Hamas lazima eneo Lao walitreat kama eneo LA vita so anyone haelewi tena foreigner lazima watakudhuru tu.
Kuna kitu zaidi kinafichwa kuhusu huyu dogo. Mimi nazani alikuwa 007 alitumwa maana Israel hawataki ndugu zao wafe kizembe so wanawatumia sana Africans hasa Ethiopians kama 007...ni mawazo yangu tu ya mbali nikiwa naota
Na mawazo yako yanatakiwa yaheshimiwe pia maana nawe unahoja pia
Kama ambavyo mtoa mada anatakiwa aheshimiwe na mawazo yake nayo yamejaa hoja
 
Kawaida katika mambo mengi hutajwa Tanzania haiangalii dini wala rangi ya mtu.Hata hivyo kuna mengi huendeshwa kidini na kiubaguzi mwengine ambao huwa umejificha sana.
Nilikuwa nafuatilia ile orodha ya vijana 260 waliotajwa kwenda kusoma kilimo. na sijaiona.Shaka yangu ni kuwa huenda wote wametoka maeneo au vyuo ambako hakuna waislamu.Hiyo inaweza ikawa ni maelekezo ya wafadhili ya zile nafasi na kwa kuwa walikuwa na ajenda ya siri ya kuwaingiza kwenye mafunzo ambayo waislamu wasingefaa kupelekwa.
Picha ya hatma ya Joshua Mollel imezidisha shaka hiyo na hasa kwa vile imechelewa kutolewa kama kwamba ilikuwa ni siri ya Israel ambayo mwisho wake siri hiyo imewaponyoka.
SASA MLIKATAZWA MSISOMEE KOZI ZA VILIMO...????
WEWE MWENYEWE SHULE ULIKIMBIA TANGA 🤣🤣🤣
 
Yule dogo eti anasema Israel chuo then anaonekana GAZA ambako Hakuna chuo wala collage ni kama open air prison. What was he doing there???
Hamas lazima eneo Lao walitreat kama eneo LA vita so anyone haelewi tena foreigner lazima watakudhuru tu.
Kuna kitu zaidi kinafichwa kuhusu huyu dogo. Mimi nazani alikuwa 007 alitumwa maana Israel hawataki ndugu zao wafe kizembe so wanawatumia sana Africans hasa Ethiopians kama 007...ni mawazo yangu tu ya mbali nikiwa naota
Pale alipouwawa Joshua Mollel ni Gaza?
 
Yule dogo eti anasema Israel chuo then anaonekana GAZA ambako Hakuna chuo wala collage ni kama open air prison. What was he doing there???
Hamas lazima eneo Lao walitreat kama eneo LA vita so anyone haelewi tena foreigner lazima watakudhuru tu.
Kuna kitu zaidi kinafichwa kuhusu huyu dogo. Mimi nazani alikuwa 007 alitumwa maana Israel hawataki ndugu zao wafe kizembe so wanawatumia sana Africans hasa Ethiopians kama 007...ni mawazo yangu tu ya mbali nikiwa naota
Tukio limetokea ndani ya Israel, nani alimwona huko Gaza?

Sent from my SM-A6050 using JamiiForums mobile app
 
Kawaida katika mambo mengi hutajwa Tanzania haiangalii dini wala rangi ya mtu.Hata hivyo kuna mengi huendeshwa kidini na kiubaguzi mwengine ambao huwa umejificha sana.
Nilikuwa nafuatilia ile orodha ya vijana 260 waliotajwa kwenda kusoma kilimo. na sijaiona.Shaka yangu ni kuwa huenda wote wametoka maeneo au vyuo ambako hakuna waislamu.Hiyo inaweza ikawa ni maelekezo ya wafadhili ya zile nafasi na kwa kuwa walikuwa na ajenda ya siri ya kuwaingiza kwenye mafunzo ambayo waislamu wasingefaa kupelekwa.
Picha ya hatma ya Joshua Mollel imezidisha shaka hiyo na hasa kwa vile imechelewa kutolewa kama kwamba ilikuwa ni siri ya Israel ambayo mwisho wake siri hiyo imewaponyoka.
Wanaoenda Israel hawachaguliwi kwa lazima, wanachaguliwa baada ya maombi kutumwa wakiwa na vigezo wanachujwa. Sijawahi ona Mwislamu anafanya maombi kwenda Israel sasa watachaguliwa vipi wakati hawataki.

Au iletwe list ya walioenda kufanya kazi za ndani Saudi Arabia tutafute majina ya Martha na Suzy
 
Nilikuwa nafuatilia ile orodha ya vijana 260 waliotajwa kwenda kusoma kilimo. na sijaiona.
Nilidhani umeiona orodha, kumbe hujui na unaleta stori za kudhanika na kusadikika.
WaTz kusoma kilimo Israel hawajaanza leo wala Jana. Nna bro alisoma Irrigation SUA l akaenda Israel miaka ya 2016 huko kusoma green houses akamaliza...saiv yupo USA anapiga mpunga. Na ni mwislam
 
Watanzania tusichukulie hv vitu katika namna negative kiasi hicho...hawa madogo wote wanaoenda nje hamna upendeleo wowote mfano mzuri hao wa SUA pale Kuna kitu wanaita SUGECO hawa ndo wanahusika na kuwatafutia nafasi vijana waende nje kujifunza zaidi.

Huyu Joshua na mwenzake walijiandikisha kawaida wakalipa ada SUGECO wakawatafutia nafasi ilivopatikana wakaenda, walienda wengi Sana baadhi wameenda Denmark, wengine Israel na mataifa mengine. Na bado wengi wataendelea kutoka

Ningeweka details zaidi sema hazina maana kwa sasa
 
Pale alipouwawa Joshua Mollel ni Gaza?
Ndio wanasema ni Gaza na kama pale ni Israel then. Story ndio Inakuwa haina maana kabisa. Maana jamaa Wana AKA 47 halafu pembeni wanapita raia WA israel bila hata hofu wanatembea na wala Hao hamas wahahangaiki nao??? It does not make any sense. Kama tu walivyovuka ule uzio wanasema wakaua raia WA Israel waliokuwa kwenye party na kuiteka wengine. Ndio wawe na aka then eneo LA Israel wabaki wanahangaika na mtu mweusi WA Tanzania huku wanawaacha raia WA israel wanapita..... Weeeee.
 
Kawaida katika mambo mengi hutajwa Tanzania haiangalii dini wala rangi ya mtu.Hata hivyo kuna mengi huendeshwa kidini na kiubaguzi mwengine ambao huwa umejificha sana.
Nilikuwa nafuatilia ile orodha ya vijana 260 waliotajwa kwenda kusoma kilimo. na sijaiona.Shaka yangu ni kuwa huenda wote wametoka maeneo au vyuo ambako hakuna waislamu.Hiyo inaweza ikawa ni maelekezo ya wafadhili ya zile nafasi na kwa kuwa walikuwa na ajenda ya siri ya kuwaingiza kwenye mafunzo ambayo waislamu wasingefaa kupelekwa.
Picha ya hatma ya Joshua Mollel imezidisha shaka hiyo na hasa kwa vile imechelewa kutolewa kama kwamba ilikuwa ni siri ya Israel ambayo mwisho wake siri hiyo imewaponyoka.
Weka hiyo list hapa acha uongo iweke
 
Kawaida katika mambo mengi hutajwa Tanzania haiangalii dini wala rangi ya mtu.Hata hivyo kuna mengi huendeshwa kidini na kiubaguzi mwengine ambao huwa umejificha sana.
Nilikuwa nafuatilia ile orodha ya vijana 260 waliotajwa kwenda kusoma kilimo. na sijaiona.Shaka yangu ni kuwa huenda wote wametoka maeneo au vyuo ambako hakuna waislamu.Hiyo inaweza ikawa ni maelekezo ya wafadhili ya zile nafasi na kwa kuwa walikuwa na ajenda ya siri ya kuwaingiza kwenye mafunzo ambayo waislamu wasingefaa kupelekwa.
Picha ya hatma ya Joshua Mollel imezidisha shaka hiyo na hasa kwa vile imechelewa kutolewa kama kwamba ilikuwa ni siri ya Israel ambayo mwisho wake siri hiyo imewaponyoka.
Huyo alikutwa camp ya jeshi na mpa mda hu siamini kauliwa na Hamasi, askari wa Hamasi hawauwi mateka hata siku moja.

Siku za mbele mtasikia Israel ndio alimuwa wala si Hamasi.

Afu mtoa mada unapoint vipi wale wote wakristo ndio wamenda kosemeshwa Israel, kama hakuna siri hapo nyuma ya pazia inatakiwa serekali ifatilie na ichunguze nani aliye watuma kusoma huko? Je ni serekali au wenyewe? Kama wenyewe hao lazima walitumwa kujiunga na jeshi la Israel.

Naomba serekali ya Tanzania ifatilie hi point ni muhimu sana, na mtoa mada wewe akili zako ni 💯
 
Back
Top Bottom