Katika kundi la 260 waliokwenda Israel kama hakukua na waislamu basi kulikuwa na ajenda ya siri

Katika kundi la 260 waliokwenda Israel kama hakukua na waislamu basi kulikuwa na ajenda ya siri

Wanaoenda Israel hawachaguliwi kwa lazima, wanachaguliwa baada ya maombi kutumwa wakiwa na vigezo wanachujwa. Sijawahi ona Mwislamu anafanya maombi kwenda Israel sasa watachaguliwa vipi wakati hawataki.

Au iletwe list ya walioenda kufanya kazi za ndani Saudi Arabia tutafute majina ya Martha na Suzy
Hamna upendeleo wowote wa kidini kbs, wengine wanasoma zile program za online wakishapata vyeti wanatumia hvo vyeti kuomba kua interns huko na wanapata na wapo wengi sana waliofanya hv mfano waliosoma agronomy, animal science & BVM
 
Wanaoenda Israel hawachaguliwi kwa lazima, wanachaguliwa baada ya maombi kutumwa wakiwa na vigezo wanachujwa. Sijawahi ona Mwislamu anafanya maombi kwenda Israel sasa watachaguliwa vipi wakati hawataki.

Au iletwe list ya walioenda kufanya kazi za ndani Saudi Arabia tutafute majina ya Martha na Suzy
Hamna upendeleo wowote wa kidini kbs, wengine wanasoma zile program za online wakishapata vyeti wanatumia hvo vyeti kuomba kua interns huko na wanapata na wapo wengi sana waliofanya hv mfano waliosoma agronomy, animal science & BVM
 
NDIO MAANA NAWAONA WAISLAMU WAJINGA...
PALE ALIPOKUFA DOGO MOLELL ETI WANAPAITA GAZA......
UJINGA WA WAISLAMU UNAONEKANA WAZI WAZI 🤣🤣🤣
Joshua Mollel katekwa akiwa Kibbutz Nahal Oz na Wayahudi wengine eneo lile zaidi ya 12 waliuwawa na wengine zaidi ya 20 walichukuliwa mateka.

Anatokea mpanda daladala anadai Joshua alikuwa Gaza.
 
Huko kunakoitwa Israel ni ardhi ya Wapalestina, hivyo ukienda huko ujue kabisa kuuawa ni haki yako.

Watu wanapambania ardhi yao alafu jitu linatoka huku kwenda kusoma huko au kufanya kazi huko....pumbavu
 
Hamna upendeleo wowote wa kidini kbs, wengine wanasoma zile program za online wakishapata vyeti wanatumia hvo vyeti kuomba kua interns huko na wanapata na wapo wengi sana waliofanya hv mfano waliosoma agronomy, animal science & BVM
Hakuna upendeleo ila wao hawataki kwenda, ndio maana nimesema wataendaje na hawajaomba sijasema wataendaje na hawahitajiki au hawachaguliwi.
Sometimes huwa wanashindwa na mazingira, kuna mmoja itikadi kali kaenda interview kakosa kwenda Marekani kisa kampuni anayoenda ya ufugaji pia inafuga nguruwe jimbo hilohilo analoomba kwenda. Sijui alikataa mwenyewe, ila Israel hawafugi nguruwe na mashamba yao wapo pia Wapalestina kibao na zaidi kwenye vibarua wa ujenzi Wayahudi hawapendi kuchomwa jua.

Kwa Waislamu wenye msimamo mkali hawawezi enda Israel wanaita nchi haramu. Haishtui kuona idadi ndogo au hawajaenda kabisa
 
Ardhi ya Wa-Israeli iko wapi??
Huko kunakoitwa Israel ni ardhi ya Wapalestina, hivyo ukienda huko ujue kabisa kuuawa ni haki yako.

Watu wanapambania ardhi yao alafu jitu linatoka huku kwenda kusoma huko au kufanya kazi huko....pumbavu
 
Joshua Mollel katekwa akiwa Kibbutz Nahal Oz na Wayahudi wengine eneo lile zaidi ya 12 waliuwawa na wengine zaidi ya 20 walichukuliwa mateka.

Anatokea mpanda daladala anadai Joshua alikuwa Gaza.
Wale waliokua wanapita kule pembeni nao imekuaje
Au wale walikua sio wazayuni wakachiwa tu kwaraha zao
Pole kwa familia ya mollel ila kwa hili mazayuni wanahusika
 
Ndio wanasema ni Gaza na kama pale ni Israel then. Story ndio Inakuwa haina maana kabisa. Maana jamaa Wana AKA 47 halafu pembeni wanapita raia WA israel bila hata hofu wanatembea na wala Hao hamas wahahangaiki nao??? It does not make any sense. Kama tu walivyovuka ule uzio wanasema wakaua raia WA Israel waliokuwa kwenye party na kuiteka wengine. Ndio wawe na aka then eneo LA Israel wabaki wanahangaika na mtu mweusi WA Tanzania huku wanawaacha raia WA israel wanapita..... Weeeee.
😂😂😂
Aisee jf Ina vichwa vibovu sijawahi ona eti pembeni wanapita raia wa Israel bila shida !!! kama huna uelewa na kitu Bora mtu ukae kimya la sivyo utaishia kujiaibisha tu
 
Yule dogo eti anasema Israel chuo then anaonekana GAZA ambako Hakuna chuo wala collage ni kama open air prison. What was he doing there???
Hamas lazima eneo Lao walitreat kama eneo LA vita so anyone haelewi tena foreigner lazima watakudhuru tu.
Kuna kitu zaidi kinafichwa kuhusu huyu dogo. Mimi nazani alikuwa 007 alitumwa maana Israel hawataki ndugu zao wafe kizembe so wanawatumia sana Africans hasa Ethiopians kama 007...ni mawazo yangu tu ya mbali nikiwa naota
Taarifa zinaandikwa Kwa Kiswahili lkn bado unashindwa kusoma jitahidini kwenda shule itawasaidia...
Kama hujui mateka walikamatwa kwenye miji gani ndani ya Israel unawezaje kuandika comment kama hii? Kumbe hata huyu dogo hujui alikamatwa kwenye upi ndani ya Israel?
 

Waislamu kama hawataki kwenda kujifunza kilimo Israel wawaombe serikali za kiislamu za kiarabu ziwafunze kilimo Cha tende ili wakirudi wajiajiri.kulima tende ili nchi ijitosheleze Kwa tende hasa mwezi wa Ramadhani tuache kutegemea misaada ya tende za kufuturu Toka uarabuni

Misaada hii ya tende mwezi wa Ramadhani nizo zinawatoa akili wengine humu kutwa kusifia waarabu wa Hamas ili wasikose mgao wa tende mwezi wa Ramadhani
 
Wa

Waislamu kama hawataki kwenda kujifunza kilimo Israel waombwe serikali za kiislamu za kiarabu ziwafunze kilimo Cha tende ili wakirudi wajiajiri.kulima tende ili nchi ijitosheleze Kwa tende hasa mwezi wa Ramadhani tuache kutegemea misaada ya tende za kufuturu Toka uarabuni

Misaada hii ya tende mwezi wa Ramadhani nizo zinawatowa akili wengine humu kutwa kusifia waarabu wa Hamas ili wasikose mgao wa tende mwezi wa Ramadhani
Tatizo la waislamu ni ujinga wa akili....
Ona hoja aliyoleta mtoa uzi....
 
Nilidhani umeiona orodha, kumbe hujui na unaleta stori za kudhanika na kusadikika.
WaTz kusoma kilimo Israel hawajaanza leo wala Jana. Nna bro alisoma Irrigation SUA l akaenda Israel miaka ya 2016 huko kusoma green houses akamaliza...saiv yupo USA anapiga mpunga. Na ni mwislam
Mimi ni muislam na nishafika israel,wafia dini wa kiafrika tena wa dini zote 2 wapo wrong 100% kwa jinsi wanaichukulia israel kwenye masuala ya dini ya zao
 
Back
Top Bottom