Mpaji Mungu
JF-Expert Member
- Apr 24, 2023
- 13,544
- 43,537
Hamna upendeleo wowote wa kidini kbs, wengine wanasoma zile program za online wakishapata vyeti wanatumia hvo vyeti kuomba kua interns huko na wanapata na wapo wengi sana waliofanya hv mfano waliosoma agronomy, animal science & BVMWanaoenda Israel hawachaguliwi kwa lazima, wanachaguliwa baada ya maombi kutumwa wakiwa na vigezo wanachujwa. Sijawahi ona Mwislamu anafanya maombi kwenda Israel sasa watachaguliwa vipi wakati hawataki.
Au iletwe list ya walioenda kufanya kazi za ndani Saudi Arabia tutafute majina ya Martha na Suzy
Hamna upendeleo wowote wa kidini kbs, wengine wanasoma zile program za online wakishapata vyeti wanatumia hvo vyeti kuomba kua interns huko na wanapata na wapo wengi sana waliofanya hv mfano waliosoma agronomy, animal science & BVMWanaoenda Israel hawachaguliwi kwa lazima, wanachaguliwa baada ya maombi kutumwa wakiwa na vigezo wanachujwa. Sijawahi ona Mwislamu anafanya maombi kwenda Israel sasa watachaguliwa vipi wakati hawataki.
Au iletwe list ya walioenda kufanya kazi za ndani Saudi Arabia tutafute majina ya Martha na Suzy
Joshua Mollel katekwa akiwa Kibbutz Nahal Oz na Wayahudi wengine eneo lile zaidi ya 12 waliuwawa na wengine zaidi ya 20 walichukuliwa mateka.NDIO MAANA NAWAONA WAISLAMU WAJINGA...
PALE ALIPOKUFA DOGO MOLELL ETI WANAPAITA GAZA......
UJINGA WA WAISLAMU UNAONEKANA WAZI WAZI 🤣🤣🤣
Hakuna upendeleo ila wao hawataki kwenda, ndio maana nimesema wataendaje na hawajaomba sijasema wataendaje na hawahitajiki au hawachaguliwi.Hamna upendeleo wowote wa kidini kbs, wengine wanasoma zile program za online wakishapata vyeti wanatumia hvo vyeti kuomba kua interns huko na wanapata na wapo wengi sana waliofanya hv mfano waliosoma agronomy, animal science & BVM
Huko kunakoitwa Israel ni ardhi ya Wapalestina, hivyo ukienda huko ujue kabisa kuuawa ni haki yako.
Watu wanapambania ardhi yao alafu jitu linatoka huku kwenda kusoma huko au kufanya kazi huko....pumbavu
Kwani kabla ya mwaka 1948 kupelekwa pale walitolewa wap?Ardhi ya Wa-Israeli iko wapi??
NDIO MAANA NASEMA WAISLAMU WA MSKITI WA MTAMBANI HAWANA AKILI...Joshua Mollel katekwa akiwa Kibbutz Nahal Oz na Wayahudi wengine eneo lile zaidi ya 12 waliuwawa na wengine zaidi ya 20 walichukuliwa mateka.
Anatokea mpanda daladala anadai Joshua alikuwa Gaza.
ACHA UNAFIKI ....WEWE UNADHANI HISTORIA YA WAYAHUDI NA HIMAYA ZAO IMEANZIA 1948...Kwani kabla ya mwaka 1948 kupelekwa pale walitolewa wap?
Wale waliokua wanapita kule pembeni nao imekuajeJoshua Mollel katekwa akiwa Kibbutz Nahal Oz na Wayahudi wengine eneo lile zaidi ya 12 waliuwawa na wengine zaidi ya 20 walichukuliwa mateka.
Anatokea mpanda daladala anadai Joshua alikuwa Gaza.
😂😂😂Ndio wanasema ni Gaza na kama pale ni Israel then. Story ndio Inakuwa haina maana kabisa. Maana jamaa Wana AKA 47 halafu pembeni wanapita raia WA israel bila hata hofu wanatembea na wala Hao hamas wahahangaiki nao??? It does not make any sense. Kama tu walivyovuka ule uzio wanasema wakaua raia WA Israel waliokuwa kwenye party na kuiteka wengine. Ndio wawe na aka then eneo LA Israel wabaki wanahangaika na mtu mweusi WA Tanzania huku wanawaacha raia WA israel wanapita..... Weeeee.
Taarifa zinaandikwa Kwa Kiswahili lkn bado unashindwa kusoma jitahidini kwenda shule itawasaidia...Yule dogo eti anasema Israel chuo then anaonekana GAZA ambako Hakuna chuo wala collage ni kama open air prison. What was he doing there???
Hamas lazima eneo Lao walitreat kama eneo LA vita so anyone haelewi tena foreigner lazima watakudhuru tu.
Kuna kitu zaidi kinafichwa kuhusu huyu dogo. Mimi nazani alikuwa 007 alitumwa maana Israel hawataki ndugu zao wafe kizembe so wanawatumia sana Africans hasa Ethiopians kama 007...ni mawazo yangu tu ya mbali nikiwa naota
Kwani mwisho wa Gaza ni wapi?Tukio limetokea ndani ya Israel, nani alimwona huko Gaza?
Sent from my SM-A6050 using JamiiForums mobile app
Pale hawajapelekwa, wameenda wenyewe kuungana na ambao hawakuwahi kuondoka hapo.Kwani kabla ya mwaka 1948 kupelekwa pale walitolewa wap?
Uwe na adabu.WAISLAMU WAJINGA...
NDIO UKWELI MKUU SI UNAONA HOJA WANAZOTOA NI ZA KIJINGA.....Uwe na adabu.
Tatizo la waislamu ni ujinga wa akili....Wa
Waislamu kama hawataki kwenda kujifunza kilimo Israel waombwe serikali za kiislamu za kiarabu ziwafunze kilimo Cha tende ili wakirudi wajiajiri.kulima tende ili nchi ijitosheleze Kwa tende hasa mwezi wa Ramadhani tuache kutegemea misaada ya tende za kufuturu Toka uarabuni
Misaada hii ya tende mwezi wa Ramadhani nizo zinawatowa akili wengine humu kutwa kusifia waarabu wa Hamas ili wasikose mgao wa tende mwezi wa Ramadhani
Mimi ni muislam na nishafika israel,wafia dini wa kiafrika tena wa dini zote 2 wapo wrong 100% kwa jinsi wanaichukulia israel kwenye masuala ya dini ya zaoNilidhani umeiona orodha, kumbe hujui na unaleta stori za kudhanika na kusadikika.
WaTz kusoma kilimo Israel hawajaanza leo wala Jana. Nna bro alisoma Irrigation SUA l akaenda Israel miaka ya 2016 huko kusoma green houses akamaliza...saiv yupo USA anapiga mpunga. Na ni mwislam