Pamoja na kumfunga miazi 9 kuteswa kwenye siasa za ndani kuengua viogozi wa chadema katika serikali za mitaa kufungwa wa fuasi wa chama chake ila amekua na kind words nao na siraha zake zikaelekea wapizani wake wa ndani.
Rushwa ya Abdul, anaomba mwenye ushahidi aupeleke kwenye kamati ya chama jambo ambalo ni gumu rushwa inatolewa kisirisiri, hapo nimeelewa mbowe anagombea kwa masirahi ya nani?
Rushwa ya Abdul, anaomba mwenye ushahidi aupeleke kwenye kamati ya chama jambo ambalo ni gumu rushwa inatolewa kisirisiri, hapo nimeelewa mbowe anagombea kwa masirahi ya nani?