ππ Kishingo upandeπππSio hivyo bana acha kuongea ujinga, ilikuwa ni issue ya kuhusu ban.
Unajipigia debe mazee....π€£
Kuwadi ni yule anaetongozea watu kwa kuwa yeye mwenyewe mambo hayawezi.Kuwadi ndio nini? Nakuja pm nimekuta message yako dear
Tukiunganisha ganji Kwa mwezi hatukosi kiwanja kibugumoπππ Utawezana kijana??
Bora tubebabane wenyewe mawinga
πππ Hebu na wewe shangaa.!!Yani kuna mtu unarandishwa nae hadi unamuonea hurumaπ
Sasa mimi mkorofi utaniweza winga? πππTukiunganisha ganji Kwa mwezi hatukosi kiwanja kibugumo
Hahahahaha...aisee huyo dada ako sijui aisee yuko wapi ..ooh kumbe ni wewe hope uko poa RafikiDada yangu Joannah bana πππ
Mimi Lamomy
Hatari sana ujue....kazi ipoπππShemeji anataka kuzima taa kichupa kimejaa πππ
Mkuu anayekufaa mwanamke wa mithali πππ ili muanzishege kwaya ya familiaHamna Mkuu
Yani machakaramu yamejaa tele humu hebu waturandanishe vizuriπππ Hebu na wewe shangaa.!!
Min me alivyo mpole vile mie wa kurandishwa naye kweli??
Vichaa wote waliojaa jf hawajawaona wanipe mpk min
πππ niko poa, ngoja nimpigie simu kitambo sijamuona.!!Hahahahaha...aisee huyo dada ako sijui aisee yuko wapi ..ooh kumbe ni wewe hope uko poa Rafiki
Wapenda Nyashi na Mitwangio kimeumanaπππYani machakaramu yamejaa tele humu hebu waturandanishe vizuri
πππ Huyo alikukuwadia huku anakumezea mate.!!Hatari sana ujue....kazi ipoπππ
Tunazungumzia mwandiko! Wewe hayo mawazo yako yakemeweWapenda Nyashi na Mitwangio kimeumanaπππ
Hahahahaha una hadi namba yake kweli huyo dada akoπππ niko poa, ngoja nimpigie simu kitambo sijamuona.!!
Ndio hivo, yeye aje tu front, tuongee kiutu uzima.πππ Huyo alikukuwadia huku anakumezea mate.!!