Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hatujazoea kupoa muda wote tuko nginja nginja 😂😂😂Vinawezekana basi hivyo ndo tulivyo km sungura pori
Balqior babe, ulisema utaninyonya nini vile, come to me honey😂😂😂😂 Balqior umesikia ujumbe wako.!
Haya kazi ni kwako shemeji kakubali mzime taa
Nikikupea utawezana? 😂Tawezana!!!!
Mimi na nani?Salaaam
Ngoja⁵ tuwaweke kwa style zao. Sio lazima wawe wapenzi hata urafiki wa kawaida.
smart na mahondow
Pdidy na unique flower🤣
Heriel na donatila
Chaliiifrancisco na ephen
Mshana na faiza 😅
Mrangi na niffer
Bichwa na cocaaa🤣
Mshamba achekwi & Depal
raraa reee na Numbisa
Deep pond na Kapeace
List ni ndefu nakuja kumalizia.....au nyie endeleeni....
ZimefikaOooh kumbe ,safi sana, msalimie sana
Hahahahaha, kama kweli vileZimefika
Shemeji kula kaka yako hayupo 😂😂😂
Hii ni kweli sitaniiHahahahaha, kama kweli vile
Tawezana... halaf wewe kuna comment yako moja hiv nimeiona hapo juu, kabla ya kupeana we need to talk, u owe me something..Nikikupea utawezana? 😂
Kama marejesho ya kausha damuHatujazoea kupoa muda wote tuko nginja nginja 😂😂😂
😁😁😁😁😁Shemeji kula kaka yako hayupo 😂😂😂
Madame unanipa burudani sana
Ipi tena daddie 😊Tawezana... halaf wewe kuna comment yako moja hiv nimeiona hapo juu, kabla ya kupeana we need to talk, u owe me something..
Yule wako si mlishaanchana 😆Nitaje tu...😋
Au yale ya chupi mkononi 😂😂Kama marejesho ya kausha damu
😹😹😹 Ishia hapo hapo
Hahahahahaha..vzr kama hutanii RafikiHii ni kweli sitanii
Hajakujua huyo km hizo sekta ww ni mkali wao 😂😂😁😁😁😁😁
Ni mitongozi tu mwaya....
Ila inaanzia na mshamba pia e?Ana Id nyingine nimeisahau jina
HahahaMkubwa nisamehe sirudii tena na tena..nimechukua TAHADHARI zote Mkuu ,samahani sana sikua najua kuwa naingilia ANGA za watu