Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nchi ngumu sana hii ๐น๐น๐น
Kuna mademu wako serious mpaka mwamba unaweza ghairi๐๐๐Balqior babe, ulisema utaninyonya nini vile, come to me honey
Naona Mzee wa kupambania bado anaoga๐
Hapo Bado hujaona ngoja SoC ichanganyie ๐คฃ๐คฃKwa siku pm 5 au 6 hukosiSijafunga kulikuwa na group la rambirambi nilikuwa naendesha, sema ndio najionea mauzauza na vituko huko pm ๐๐๐
Kuna waungwana watanipofua macho vitu wanavyonirushia wallahi ๐น
Kuwadi mende ๐ Mzee wa kupambaniaHahahaa kuwadi naye ameanza kukutamani
Sisi ni zilipendwa kwa sasa๐คฃ๐คฃ๐คฃHahahahaha...hakina makali siku hz ,Gen Z wametake over
Hahahaha, kichwa kinawaka moto hiki, huwa nakiweka speed governor kupunguza mwendoBusara zako siziwezi mimi akuu, kuna chizi namuwaza ila anakuja anakataa nikimkumbuka nitamtag
Hapa nilipo nishazidiwa kusoma nyingine sifungui najionea kichefuchefu ๐น๐น๐นHapo Bado hujaona ngoja SoC ichanganyie ๐คฃ๐คฃKwa siku pm 5 au 6 hukosi
Wamenikabidhi wewe sasa utakoma ๐๐๐
๐๐๐Sijafunga kulikuwa na group la rambirambi nilikuwa naendesha, sema ndio najionea mauzauza na vituko huko pm ๐๐๐
Kuna waungwana watanipofua macho vitu wanavyonirushia wallahi ๐น
Ndiyo nadhani ule mwandiko wa kwakeIla inaanzia na mshamba pia e?
Boss nmekumisHahahahaha, nimekaa pembeni na uzee huu kutoana ngeu sitaki
Ndiyo nadhani ule mwandiko wa kwake
Naonaga muda wote uko kwenye mstari km pastor, lakini kuna vichwa vimechemka humu unatamani uwe na maji karibu uumwagieHahahaha, kichwa kinawaka moto hiki, huwa nakiweka speed governor kupunguza mwendo
Ni wakati wake. Jf inawatu kwa kila nyakati. Walikuwepo na watakuja. Kwa Sasa ni huyo na somebody Nyafwii kama sikosei.Ephen anaonesha ana nyota kali na wanaume.
Wifi kuna pipo zimepinda sijawahi kuona aiseee ๐๐๐๐๐๐
๐๐๐ Nimekuonea had huruma
Mambo vipi, RafikiBoss nmekumis