Ms R
JF-Expert Member
- Jan 19, 2023
- 8,853
- 19,587
nafunga sio mdaKafungua saivi tu kabla ya hapo nlipigwa pin
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
nafunga sio mdaKafungua saivi tu kabla ya hapo nlipigwa pin
acha bwan weweSio powa binti matui
Tabia za kimangu mangu🤣🤣Salaaam
Ngoja⁵ tuwaweke kwa style zao. Sio lazima wawe wapenzi hata urafiki wa kawaida.
smart na mahondow
Pdidy na unique flower🤣
Heriel na donatila
Chaliiifrancisco na ephen
Mshana na faiza 😅
Mrangi na niffer
Bichwa na cocaaa🤣
Mshamba achekwi & Depal
raraa reee na Numbisa
Deep pond na Kapeace
Lucas mwashambwa & Jane Lowassa🤣
Half america na leejay
Shimba buyenze & Bantu lady
Controla & Rubby
Mad max &Cute wife.
Extrovert & dada hornet.
List ni ndefu nakuja kumalizia.....au nyie endeleeni....
Unafunga ili iweje tulia upangwe bibienafunga sio mda
Komradhi hilo neno upangwe au upandwe?Unafunga ili iweje tulia upangwe bibie
sitakiUnafunga ili iweje tulia upangwe bibie
Inaanza mpango inafata mpandoKomradhi hilo neno upangwe au upandwe?
Kula chuma hichoInaanza mpango inafata mpando
Pole sanasitaki
Ngoja nianze mchakato wa kumsafirisha njombe to shekilangoKula chuma hicho
Yupo dodoma huyo, veyulaNgoja nianze mchakato wa kumsafirisha njombe to shekilango
ivi nyie nini lakin 😂😂Ngoja nianze mchakato wa kumsafirisha njombe to shekilango
wewe nusu marekani wewe,,siji dodoma ng'oooYupo dodoma huyo, veyula
Sasa uje kufanya nini wakati ushapata wa shekilango?wewe nusu marekani wewe,,siji dodoma ng'ooo
ivi nishawah kukukosea nkuombe msamahaSasa uje kufanya nini wakati ushapata wa shekilango?
Si umtaje tu ni Ms RHuu moyo wangu saiv unahitaji vurugu kidogo nipate manzi flan hv anakosea yy na haombi msamaha, mdada flan atanifanya niishi Kwa wasi wasi nihisi kama ananisaliti mda wote manzi flan ambae hanijali mzigo kupewa mpaka nipige bingo ya maana
Unafurahi mwenyewenipumzshe basi mweeee