Ms R
JF-Expert Member
- Jan 19, 2023
- 8,853
- 19,587
kiivoNje kivip
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
kiivoNje kivip
Mwambie kwakwel😂 unatuonea
Huu ujumbe ni wa min -meSipendi mtu areply viemoj bila maneno
Hii taarifa imfikie na min -me
Mnajaza servers za jf, kama ni emoj ishia pale kwenye kureact 🤩😟🤣😡
Nimeishiwa nguvu zote😂 unatuonea
Mtu akireply emoj najiongeza kua hataki kuongea na mimiHuu ujumbe ni wa min -me
Kuna mdada nlikuwa close kwenye masuala flan ya kikazi karibia miezi mitatu lkn hatukupeana no za simu, siku tumepeana no jioni akantumia "usiku mwema" mi nikajibu "🙏🙏🙏"
Au siyo! Unaunga bogiAsante
😁😁Ila we dada, sasa hili la kumtaka/kunitaka we umelitoa wapi?Kwahiyo ulivyotumiwa Salamu ukareply 🙏 ulihisi huyo dada anakutaka au
Nimelitoa baada ya kuchambua jibu lako😁😁Ila we dada, sasa hili la kumtaka/kunitaka we umelitoa wapi?

Hapana mimi nipo mwenyeweAu siyo! Unaunga bogi
Hadi za kiume!?😳Nimeishiwa nguvu zote
Mtu akikatisha mawasiliano kwann uhisi hakutaki🤔kwann usireason kwamba may be anadrive, Kuna kazi anafanya, usingizi umemtight macho hayaoni vzr na mambo mengine yanayoweza kumfanya asiwe comfortable kuchatUlihisi anakutaka ndio maana ukakatisha maongezi kwa kuogopa
Ukijibiwa kwa emoji unaanza kumuita ephen_ hapaHadi za kiume!?😳
Kama mtu kweli anakutaka atadrive huku mnachat, kama ana usingizi atakuaga na sio emoj kama bubuMtu akikatisha mawasiliano kwann uhisi hakutaki🤔kwann usireason kwamba may be anadrive, Kuna kazi anafanya, usingizi umemtight macho hayaoni vzr na mambo mengine yanayoweza kumfanya asiwe comfortable kuchat
Acha kutumia nguvu nying kujiteteaMtu akikatisha mawasiliano kwann uhisi hakutaki🤔kwann usireason kwamba may be anadrive, Kuna kazi anafanya, usingizi umemtight macho hayaoni vzr na mambo mengine yanayoweza kumfanya asiwe comfortable kuchat
Kazi kwel kwelKama mtu kweli anakutaka atadrive huku mnachat, kama ana usingizi atakuaga na sio emoj kama bubu
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] Nyokoooo wee!!![emoji38][emoji38][emoji38][emoji38] daaah saa nikae wapi ama ndo nipande juu ya meza [emoji898][emoji898][emoji1635] lazima ninywe kwanza ndo niendeshe car njia iyooo......
Acha kubishana na watu Ms R nimekuota mie Leo.Hapana mimi nipo mwenyewe