Katika maisha, nimejifunza kuwa mwanamke sio mtu wa kumuamini kabisa

Chama Cha wanaume Tanzania (CHAWATA)
Umoja wa wanaume bahili Tanzania (UWABATA)

Njoo Mumfunge Huyu kijana wenu Huku kahonga simu ya Laki Kwa kibiniti Cha ovyo.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Si uchukue simu yako
 
Sema baadhi usitukosee wengine sisi hatuko hivyo

Sent from my Infinix X669 using JamiiForums mobile app
 
Njia pekee ni kuwaumiza tu 🀣🀣🀣 laki 3 imeenda na maji
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…