Bei gani mkuu[emoji23]Na kasimu nilicho mpora kako hapa kama mtu anakataka nakatoa kwa bei ya kutupa..
Ndugu zangu mimi mwenzenu kwa mara hii nahisi nimepigwa na radi kabisa sio tena kitu kizito. Kuna demu nilimtongoza kwa bahati nzuri demu huyo alinikubalia.
Sasa ikawa ngumu kwetu kuongea kwa maana alikuwa hana simu mimi na mapenzi yangu ya kijinga nikajifanya kiherehere cha kumnunulia simu kubwa ya laki 3 nikampa demu. Cha ajabu simu niliyo nunua sasa hivi ndo inanitesa
Huyo demu sasa hivi hapokehi simu zangu wala kujibu sms zangu na kila nikienda kwao namkuta anaongea na wanaume wengine pale kwao. Tena kwenye simu niliyonunua. Yaani kwa kifupi demu hana mpango na mimi tena.
Je ni halali mimi kuchukua simu yangu kwake au ni mpotezee?
Hatari sana hiki kitabu, uwe unawaletea vijana sio wanawapa tu wanawake vitu kijinga, na akimaliza hicho asome flirt like a pro. Cha huyo huyo dominic mann nafikiri atakuwa amepiga hatua kubwa kwenye maswala ya wanawake.Siwezi kukupa pole ila utapunguza maumivu endapo utarudisha hiyo simu mikononi mwako tena.
By the way soma kitabu cha Dominic Mann kitakusaidia
😂😂😂Ushapigwa kweupe mapenzi hatar sana
Nenda kwao jifanye unataka kukarabatu nyumba yao then toa paa la juu then toweka atakutafuta tu
Asa ndo umemla mara 1, ilipaswaa uipige hata wiki hivi tajiri angu, kisha unapotea mazimaNami ilishwahi nikuta hiyo demu alikuwa mzuri sana (cheupe ndio ugonjwa wangu) nilimuelewa sana nikasema huyu naoa kabisa.
Nami nikamnuliaga simu ya kama 180k hivi sasa alafu nilivyokuwa zoba kwasababu ya kupenda nilimnunulia cm kabla ya kupiga miti, mi sikujua kama demu kichwan kama ana low IQ kiasi kile hivyo hivyo akaanza gafla kulingalinga mpaka tukaachana, kilichoniuma zaidi ni nimemnunulia cm alafu sijapga miti, nikapotea tu simu hata sikumpokonya nikapotezea tu.
Kama miez 8/10 hivi ikapita nashangaa cm inaita namba ngeni,,kupokea ananambia mimi ni fulani,,,nikamwambia poa,,tukachati chati akaniuliza,,vipi ulishaoa nikamwambia bado,,,akawaanajisogeza sogeza nibebe tena mzigo na akasema simu yake aliibiwa kwenye daladala (niliyomnunulia) maana alikuwa na kiswaswadu na katika maongez baadae akiuliza kiutani 'vipi nikikuambia uninunulie tena cm utakubali' nikamwambia haaa usijar mimi kwa wew tena,,ngoja KIDOGO mambo YAKAE SAWA
Nikasema huyu ntamuonyesha shoo mpaka afurahi,,nami bila hiyana 'tukarudiana' safari hii sikumchelewesha nikamuombaga gemu fasta,,hakuzingua ,, nikamwambia aje getho night ,,demu akaja 'nikapiga show ya maana' (ingawa demu mzuri lakini shoo yake F ) asubuhi akasepa
Mara akashangaa hata meseji ya
kumuhuliza vipi umefika salama sijamtumia,,
akaniuliza vipi mbona haujaniuliza kama nimefika,
,kidume nikamute kimya,,,,
Baada ya kama masaa matatu akatuma sms 'naona umefanikisha ulichotaka '
Nikamtext tu 'hahahahha'
Alafu akala block namba zake zote
Na nikafufutilia mbali namba yake,,,nikasema huyu demu aliniona mi boya sana,,,nikafurahi tu nae kaumia nikasema saa hz tume 'balance equation' kiroho safi
Kama huyu mwanamke alidhamiria kumtapel" bas hiyo simu hata dumu nayo ipo siku ataipoteza au kuibiwa, siku zote kitu cha dhuruma haki dumu.Mkuu najua unapitia wakati mgumu sana, kwanza pole kwa hiki kilichokukuta hawa wanawake ni kuwa nao makini sana. Tambua laki tatu si kitu fanya kumpotezea tu ipo siku hiyo simu yake itapasuka kioo na ataifanyia repair kwa gharama zake.
Pia tambua kumnyang'anya hiyo simu haitokufanya kupunguza maumivu bali ndo utaendelea kuumia zaidi.
Cha kufanya achana nae tena kaa kimya kabisa ikibidi mpotezee na usahau kama uliwahi kuwa nae utaona mwisho wake utakavyokuwa.
Huu ndo ushauriMkuu najua unapitia wakati mgumu sana, kwanza pole kwa hiki kilichokukuta hawa wanawake ni kuwa nao makini sana. Tambua laki tatu si kitu fanya kumpotezea tu ipo siku hiyo simu yake itapasuka kioo na ataifanyia repair kwa gharama zake.
Pia tambua kumnyang'anya hiyo simu haitokufanya kupunguza maumivu bali ndo utaendelea kuumia zaidi.
Cha kufanya achana nae tena kaa kimya kabisa ikibidi mpotezee na usahau kama uliwahi kuwa nae utaona mwisho wake utakavyokuwa.
Sio faire ni fairWahuni sio watu, unamnunulia mpenzi wako simu halafu simu hio hio anaitumia kumpigia mpenzi wake. Maisha hayajawahi kuwa faire.
Halafu kuna kenge itasema mwanamke mpe
pesa au vitu anatulia vizuri.
Typing error 😀Sio faire ni fair
Hili nilijua utaunga mkono tu😂Huu ndo ushauri
Mwandiko huu hauna hadhi ya kumbishia mleta uzimwandiko huo hauwezi nunulia pusi cm ya laki 3
Ninakoelekea ninaanza kukosa imani na hii jinsia ya kike, wamegeuka majambazi sanaWahuni sio watu, unamnunulia mpenzi wako simu halafu simu hio hio anaitumia kumpigia mpenzi wake. Maisha hayajawahi kuwa faire.
Halafu kuna kenge itasema mwanamke mpe
pesa au vitu anatulia vizuri.
Mle jicho huyo hana sifa za kuja kua mkeNdugu zangu mimi mwenzenu kwa mara hii nahisi nimepigwa na radi kabisa sio tena kitu kizito. Kuna demu nilimtongoza kwa bahati nzuri demu huyo alinikubalia.
Sasa ikawa ngumu kwetu kuongea kwa maana alikuwa hana simu mimi na mapenzi yangu ya kijinga nikajifanya kiherehere cha kumnunulia simu kubwa ya laki 3 nikampa demu. Cha ajabu simu niliyo nunua sasa hivi ndo inanitesa
Huyo demu sasa hivi hapokehi simu zangu wala kujibu sms zangu na kila nikienda kwao namkuta anaongea na wanaume wengine pale kwao. Tena kwenye simu niliyonunua. Yaani kwa kifupi demu hana mpango na mimi tena.
Je ni halali mimi kuchukua simu yangu kwake au ni mpotezee?
Laki tatu nyingi sana, kuna watu wanatafuta hiyo pesa kwaajili ya mtaji.Demu hana simu kabisa badala ya kumnunulia Itel ya 23000 wewe unavuka malengo mpaka simu ya 300000.
Kama simu una risiti yake au dukani uliandika kwa jina lako kaichukue soon
Ushauri mzuri.Muite gheto kwako mwambie aje achukue zawadi,
Sio lazima aje gheto hata hapo kwao unaweza mchomolea laini zake,
Akifika mwambie akupe simu, toa laini mkabidhi baki na simu yako, mwambie asepe maana hakuna anachokudai.
Usimfanye chochote, anaweza kukubambikia mimba bure.
Ndio maana mnachomwa moto.Wazee wa Kitonga wanasema...
Nunua simu sisi tutampigia
Nunua shuka sisi Ndio tutalalia
Nunua gari misele tutaipigia
Jengea nyumba hapo Ndio tutafikia
e.t.c