Katika maisha unafiki ni muhimu sana!

Oooops!...lkn bora ulimwambia!

Mi hata rafiki zangu huwa nawaambia ukiniletea usnitch nakufutilia mbali!

We mi nikikosea niambie sio kukausha au kunisifia vya uwongo!

Coz mi ni real, ukizingua nakuchana live

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Oooops!...lkn bora ulimwambia!

Mi hata rafiki zangu huwa nawaambia ukiniletea usnitch nakufutilia mbali!

We mi nikikosea niambie sio kukausha au kunisifia vya uwongo!

Coz mi ni real, ukizingua nakuchana live

Sent using Jamii Forums mobile app
Ukiwa rEal dunia ya sasa utapoteza wengi na itakuwa ngumu kufikia malengo yako
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…