Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
😂Hahahha
Mkuu wewe hauwajui waafrika
Ynai hata simu hawezi pokea kabisa
Lione hili jinga siasa imewashinda walichokariri ni katiba mpya, upumbavu km huu huwezi sikia kwa nchi zilizoendelea.Kimeanzishwa na nani na kwa madhumuni gani? Kwangu mimi kama wakijitambua vizuri basi chama chao kinaweza kusaidia kuleta mabadiliko Tanzania kwa kuunga mkono mambo kama katiba mpya na uchaguzi huru. ia ni vizuri kada nyingine wakaiga hili. Na pia wahitimu wa vyuo vikuu wote, waanzishe chama cha wahitimu wa vyuo vikuu wasio na ajira.
What has made your country not develop? What makes you not hear "nonsense" in developed countries?Lione hili jinga siasa imewashinda walichokariri ni katiba mpya, upumbavu km huu huwezi sikia kwa nchi zilizoendelea.
🤣Tupo na NETO mpaka boksa zibaki nyuzi nyuzi kwa kuisha katikati 🤣ah hili mbona walichelewa JF tuna chama chetu
kinaitwa
Chama cha Majobless Pro Max
Raisi na C.E.O ni
Mhe. Intelligent businessman
Baraza la mawaziri wapo kina Bolotoba
Kidumu chama cha majobless
haha boksa ziwe bikiniTupo na NETO mpaka boksa zibaki nyuzi nyuzi kwa kuisha katikati