Katika maisha yangu sikuwahi kutegemea kuna kitu kitaanzishwa na chama cha walimu wasio na ajira

Katika maisha yangu sikuwahi kutegemea kuna kitu kitaanzishwa na chama cha walimu wasio na ajira

Kimeanzishwa na nani na kwa madhumuni gani? Kwangu mimi kama wakijitambua vizuri basi chama chao kinaweza kusaidia kuleta mabadiliko Tanzania kwa kuunga mkono mambo kama katiba mpya na uchaguzi huru. ia ni vizuri kada nyingine wakaiga hili. Na pia wahitimu wa vyuo vikuu wote, waanzishe chama cha wahitimu wa vyuo vikuu wasio na ajira.
Lione hili jinga siasa imewashinda walichokariri ni katiba mpya, upumbavu km huu huwezi sikia kwa nchi zilizoendelea.
 
Mimi ajira ya uwalimu ikiwa ina maslahi sawa na kazi ya ubunge nitafanya tofauti na hapo hapana,,na sipo teari kujitolea kwa vyovyote vile , lamda kama kujitolea kwenye ubunge ,sio ualimu.
 
Back
Top Bottom