a sinner saved by Christ
JF-Expert Member
- Feb 19, 2017
- 611
- 993
umenena vyema ,naunga mkono.Mkuu
Prescription only medicine, haya mambo ya mgonjwa kujitakia aina ya matibabu haijakaa vzur.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
umenena vyema ,naunga mkono.Mkuu
Prescription only medicine, haya mambo ya mgonjwa kujitakia aina ya matibabu haijakaa vzur.
SI BUSARA MGONJWA KUJIPANGIA MATIBABU BADALA YA KUSIKILIZA USHAURI WA DAKTARI WAKE.Samahani mkuu naomba kuuliza, aina ya matibabu anatakiwa mgonjwa kujipangia kuwa Sasa nichome sindano au daktari ndo anatakiwa atoe ushauri na tiba kitaalamu zaidi ?
Hata mimi napenda sana sindano kuliko vodonge.Kama unapitia changamoto ya ugonjwa kukurudia Mara Kwa mara au kutopona .
Mfano marelia , Typhoid, UTI n.k
Ikiwa umetumia vidonge Ila haujafanikiwa kupata matokeo chanya Kwa haraka ebu jaribu sindano .
Sinadano zinatoa majibu Kwa haraka japo ni gharama na zinaumiza Ila zinasaidia Sana kuuondoa ugonjwa .
Hata mimi napenda sana sindano kuliko vodonge.
exactly umenena vyemaIrrational use of high dosage antibiotics ndo imepelekea bacteria resistance
chief wangu DR HAYA LAND kwanini unashauri watu wa skip First line treatment?
MOJA YA SABABU KUBWA NI KWAMBA DAWA ZA VIDONGE NI RAHISI KUCHAKACHULIWA ...ukizingatia tupo chini ya serikali pumbavu ya sisiemu dawa nyingi za vidonge ni low qualityKama unapitia changamoto ya ugonjwa kukurudia Mara Kwa mara au kutopona .
Mfano marelia , Typhoid, UTI n.k
Ikiwa umetumia vidonge Ila haujafanikiwa kupata matokeo chanya Kwa haraka ebu jaribu sindano .
Sinadano zinatoa majibu Kwa haraka japo ni gharama na zinaumiza Ila zinasaidia Sana kuuondoa ugonjwa .
MOJA YA SABABU KUBWA NI KWAMBA DAWA ZA VIDONGE NI RAHISI KUCHAKACHULIWA ...ukizingatia tupo chini ya serikali pumbavu ya sisiemu dawa nyingi za vidonge ni low qualityKama unapitia changamoto ya ugonjwa kukurudia Mara Kwa mara au kutopona .
Mfano marelia , Typhoid, UTI n.k
Ikiwa umetumia vidonge Ila haujafanikiwa kupata matokeo chanya Kwa haraka ebu jaribu sindano .
Sinadano zinatoa majibu Kwa haraka japo ni gharama na zinaumiza Ila zinasaidia Sana kuuondoa ugonjwa .
mkuu unaeweza ukataja mfano wa dawa ya kidonge iliyochakachuliwa , tuifahamu kwa faida ya wengine.MOJA YA SABABU KUBWA NI KWAMBA DAWA ZA VIDONGE NI RAHISI KUCHAKACHULIWA ...ukizingatia tupo chini ya serikali pumbavu ya sisiemu dawa nyingi za vidonge ni low quality
mkuu unaweza ukataja mfano wa dawa ya kidonge iliyochakachuliwa tuifahamu,kwa faida ya wengine.MOJA YA SABABU KUBWA NI KWAMBA DAWA ZA VIDONGE NI RAHISI KUCHAKACHULIWA ...ukizingatia tupo chini ya serikali pumbavu ya sisiemu dawa nyingi za vidonge ni low quality
Nyingi sana na kwanza lazima ujue aina za uchakachuzi .....moja wapo ni madawa yaliyo pitwa na wakati (expire) kuwekwa kwenye tarehe zinazo onyesha bado yapo sawa ...uchakachuaji mwingine ni viambata vinavyo takiwa kuwekwa kwa asilimia ya chini ..hii ipo hadi kwenye dawa sumu kama za kuulia wadudu panya dawa za kulinda mbao nkmkuu unaweza ukataja mfano wa dawa ya kidonge iliyochakachuliwa tuifahamu,kwa faida ya wengine.
Nina imani na mamlaka za kudhibiti na kuhakiki ubora wa dawa zilizopo.Nyingi sana na kwanza lazima ujue aina za uchakachuzi .....moja wapo ni madawa yaliyo pitwa na wakati (expire) kuwekwa kwenye tarehe zinazo onyesha bado yapo sawa ...uchakachuaji mwingine ni viambata vinavyo takiwa kuwekwa kwa asilimia ya chini ..hii ipo hadi kwenye dawa sumu kama za kuulia wadudu panya dawa za kulinda mbao nk
Kama una imani na ccm mimi nikusaidie vipi kwa huo upumbavu ...kuamini serikali pumbavu ya ccm ni kipajiNina imani na mamlaka za kudhibiti na kuhakiki ubora wa dawa zilizopo.
Na kwa cross cut issues ulizozitaja kama unaweza kuzithibitisha,je haziwezi kutokea kwa dawa za sindano pia?je hakuna waliotumia dawa za sindano kiholela wakapata usugu wa vimelea?USUGU wa vimelea unaeweza kusababishwa na matumizi mabaya/au yasiyo sahihi ya dawa katika formulations aina zote za dawa iwe za sindano au za vidonge.
YOTE KWA YOTE Katika hali zote bado nashauri kuzingatia ushauri wa daktari.Kuna MADHARA ya kutumia dawa kiholela bila kufuata ushauri wa daktari.Na kuna tafiti nyingi zinathibitisha hilo.