Katika moja ya hotuba Hayati Magufuli alitamka hadharani kuwa walikuwa wana-track simu za mtu ambaye hakumtaja na alithibitisha walipata nakala

Katika moja ya hotuba Hayati Magufuli alitamka hadharani kuwa walikuwa wana-track simu za mtu ambaye hakumtaja na alithibitisha walipata nakala

Wakati watu wanasema tuogope teknolojia, mimi nasema tuogpe "power of nature. Katika vitu ambavyo hufanya kazi beyond human understanding, basi ni hii power of nature.

Nimeyasema haya baada ya kuisikiliza tena clip ya Mwendazake na ku-refer haya yanayotokea leo hii. Ni vile tu hakutaja jina la huyo mtu ambae walikuwa wanafuatilia mawasiliano yake ya simu. Otherwise, hii kesi ingekuwa inaisha mapema sana kama itafunguliwa.

Hata hivyo, huu ni ushahidi tosha wa kimazingira kuhusiana na kina nani walihusika. Jambo limezua jambo.

Sometimes I wish huyu mtu angekuwa hai ingekuwa poa sana.

Kusikiliza clip inayomumbua mtu alietangulia mbele za haki, wakati mwingine inaleta huruma fulani kibinadamu tofauti na kama leo hii angekuwa bado yuko hai.

Hili liwe funzo kwa hawa walio madarakani hivi sasa.

Soma Pia:
Tundu Lissu kuiburuza Tigo mahakamani

Kupigwa risasi kwa Tundu Lissu: Kampuni ya simu ya Tigo yadaiwa ilivujisha mawasiliano yake kwa mamlaka

Ni lofa na mpumbavu tu asiyejua kuwa msaliti hupigwa
 
Wakati watu wanasema tuogope teknolojia, mimi nasema tuogpe "power of nature. Katika vitu ambavyo hufanya kazi beyond human understanding, basi ni hii power of nature.

Nimeyasema haya baada ya kuisikiliza tena clip ya Mwendazake na ku-refer haya yanayotokea leo hii. Ni vile tu hakutaja jina la huyo mtu ambae walikuwa wanafuatilia mawasiliano yake ya simu. Otherwise, hii kesi ingekuwa inaisha mapema sana kama itafunguliwa.

Hata hivyo, huu ni ushahidi tosha wa kimazingira kuhusiana na kina nani walihusika. Jambo limezua jambo.

Sometimes I wish huyu mtu angekuwa hai ingekuwa poa sana.

Kusikiliza clip inayomumbua mtu alietangulia mbele za haki, wakati mwingine inaleta huruma fulani kibinadamu tofauti na kama leo hii angekuwa bado yuko hai.

Hili liwe funzo kwa hawa walio madarakani hivi sasa.

Soma Pia:
Tundu Lissu kuiburuza Tigo mahakamani

Kupigwa risasi kwa Tundu Lissu: Kampuni ya simu ya Tigo yadaiwa ilivujisha mawasiliano yake kwa mamlaka
Hata asingesema, ila tambua kuwa, simu zetu huwa zipo kwa uchunguzi karibu kila siku na viongozi wetu na wa mataifa ya huko kunakosifika hufanya yaleyale
 
Wakati watu wanasema tuogope teknolojia, mimi nasema tuogpe "power of nature. Katika vitu ambavyo hufanya kazi beyond human understanding, basi ni hii power of nature.

Nimeyasema haya baada ya kuisikiliza tena clip ya Mwendazake na ku-refer haya yanayotokea leo hii. Ni vile tu hakutaja jina la huyo mtu ambae walikuwa wanafuatilia mawasiliano yake ya simu. Otherwise, hii kesi ingekuwa inaisha mapema sana kama itafunguliwa.

Hata hivyo, huu ni ushahidi tosha wa kimazingira kuhusiana na kina nani walihusika. Jambo limezua jambo.

Sometimes I wish huyu mtu angekuwa hai ingekuwa poa sana.

Kusikiliza clip inayomumbua mtu alietangulia mbele za haki, wakati mwingine inaleta huruma fulani kibinadamu tofauti na kama leo hii angekuwa bado yuko hai.

Hili liwe funzo kwa hawa walio madarakani hivi sasa.

Soma Pia:
Tundu Lissu kuiburuza Tigo mahakamani

Kupigwa risasi kwa Tundu Lissu: Kampuni ya simu ya Tigo yadaiwa ilivujisha mawasiliano yake kwa mamlaka
Magufuli uzuri wake alikuwa anasema wazi mambo yake.

Ila kuna watu hata ukiwaambia wazi hawataki kukuamini au wanaleta uchawa tu.
 
Nimefuata press ya Tundu Lissu basi kama ni kweli hawakumtendea haki ,Cha msingi wahusika wawajibije huko ndiko kulipa gharama .
 
Back
Top Bottom