Katika nchi 35 zilizokataa kupiga kura suala la Urusi kuvamia Ukraine 50% ni za Afrika, ikiwemo Tanzania

Katika nchi 35 zilizokataa kupiga kura suala la Urusi kuvamia Ukraine 50% ni za Afrika, ikiwemo Tanzania

Mimi nazipongeza sana hizo nchi ambazo hazikupiga kura kuunga mkono au kupinga hiyo motion ya suala la vita vya Urusi vs Ukraine, pamoja na zilizopinga. Nazipongeza kwa sababu zimeonyesha ukakamavu mkubwa wa kuwaambia hao wababe wa dunia kwamba sisi siyo vikaragosi wao wa kuunga mkono kila uchafu wao.
Ingekuwa ni kuonyesha unafiki mkubwa wa kujali haki za binadamu kama Tanzania, na hizo nchi, zingepiga kura kuunga mkono hoja ya marekani na rafiki zake kuhusu Ukraine, wakati hao hao wamarekani wanaikalia Syria kinyume na matakwa yake. Hao wanaodai haki itendeke kwa Ukraine, walivamia Libya na kumuua Gaddafi bila kujali uhuru wa nchi na wananchi wake kujiamulia mambo yao.
Hao hao walivamia Iraq kwa kutumia sababu za UONGO wa wazi, bila kujari uhuru wa hiyo nchi!
Kama wanatambua uhuru wa nchi kuwepo na territorial integrity, basi walete motion za kukiri kuwa walikosea kwa waliyotenda huko Iraq, Libya, na wanayofanya sasa huko Syria. Watubu kuwa walikosea na walipe fidia kwa madhira waliyowatendea wananchi wa nchi hizo.
Haya mambo ya kunya anye kuku akinya bata kaharisha hayana nafasi ktk dunia ya leo. Enzi zile za ukoloni na ukoloni mamboleo yaliwezekana, lakini sasa hivi ktk dunia ya utandawazi hayana nafasi.
Hongera sana Tanzania kwa kusimia misingi halisi ya haki za binadamu, bila kujali kuwa wenye motion wanatupa misaada kiasi gani. Huo msimamo imara uliasisiwa na Baba wa taifa mwl Nyerere uendelee [emoji1434]
Umemaliza kila kitu[emoji4][emoji106]
 
Niliweka thread humu JF kwamba suala la Urusi na Ukraine ni dogo sana kwa mtu asie na ukahaba wa kisiasa wa kufuata bwana atakaekupa maslahi bila kujali utu wa mtu huyo.

Nilisema wazi, leo hii wakati tunamkumbuka Nyerere tutafakari angesimamia wapi katika suala la Urusi na Ukraine. Nyerere alisema siku zote mipaka ya nchi zetu inayotambulika kimataifa tunaweza tusiipende, lakini sio sababu za kuvamia nchi nyingine.

Hilo moja, pili ni kwamba, hatupaswi kuwa watumwa wa nchi fulani kwa sababu ya misaada yake, kwamba kwa kuwa tunasaidiwa au tulisaidiwa na nchi fulani, basi hiyo nchi inapofanya mambo kinyume cha maumbile tutakuwa upande wake. Huo ni umalaya wa kisiasa. Dhambi ni dhambi, ifanywe na rafiki au adui.

Angalia kura zilivyopigwa Umoja wa Mataifa juu ya suala la Urusi na Ukraine, na angalia Tanzania ilisimamia wapi. Aibu tupu kwa nchi iliyojiita nchi ya mstari wa mbele kwenye ukombozi wa nchi nyingine. Nasema wazi, tulichofanya hapa ni umalaya wa siasa za kimataifa

Katika hotuba ya mwisho ya Nyerere Umoja wa Mataifa, alisema hiki anachofanya Samia leo hatutafanya hata siku moja! Lakini ndio hivyo tena. Tunafanya. Samia ame-surrender our freedom and dignity. Angalia video hapo chini.

Nchi kama Zambia, Kenya, Rwanda nk wanajitambua sana

View attachment 2387354

Msimamo wa nchi za Afrika juu ya suala la Urusi na Ukraine ni jambo dogo sana linalopaswa kuongozwa na kanuni, sio maslahi ya nchi zetu


tanzania iko sawa kabisa mtoa mada acha mapenzi ya kuipenda amerika
 
Sisi tupo kwenye nchi zisizofungamana na upande wowote..kosa liko wapi hapo?
Kosa lipo kwamba huelewi maana ya kuwa kwenye nchi zisizofungamana na upande wowote. Sikiliza tena video ya clip.

Wakati tulipokuwa tunasaidia South Afrika kupigana na makaburu, ambapo silaha zote na kombat zilitoka Urusi kupitia kwetu, tulikuwa tunafungamana na upande wa Urusi? Maana ni kipindi hicho tulipotamka kutofungamana na upande wowote. Kwa hiyo huelewi maana ya nchi zisizofungamana na upande wowote.
 
You have surrendered your freedom and dignity, you are not fit to be called a human being
Shida mtamlaumu mrussi ila kuna siku mtashindwa kumlaumu mmarekani siku moja.watanzania na waafrika tuna tatizo la kuwapapatikia wazungu.,na tuna mahaba na America.zilivamiwa nchi nyingi sana mkakaa kimya.imefika mahali nchi za kiarabu zikivamiwa mnasherehekea.ninachoshukuru safari huo wamevamiana wazungu.ILA WENGI HUMU WAKAPIMWE AFYA YA AKILI KWA UNAFIKI WA KUBAGUA UTU.
 
Shitholes ni zile holes za kiume zinazotinduliwa na ya trump labda ilishatinduliwa maana ni tamaduni zao.
 
Ebu watuache Waafrika tuendelee na umaskini wetu!
Wamemuuwa Sekou Toure, Lumumba na kusaidia hata kuuwawa Sankara. Waafrika kimya!
NATO na washirika wake wakavamia Libya. Waafrika kimya. Wanahakikisha kufa na kupona DRC hakuna amani. Tupo kimya!
Hao binadamu ni katili akili za kinyama na ulafi na roho mbaya kuliko binadamu wote duniani.
Wacheni wauane....
Mkuu kuna watu wanajifanya wanajua ila wasenge tu.
 
Waambie Rwanda, Kenya, Zambia nk waliopiga kura kuwapinga Urusi. Tuone basi itakuwaje kwao. Tuwe waoga hadi makalioni?
Wenzako wamepiga kula ili kuendelea kulamba misaada ya USA na West na sio kwaajili ya utu
 
Niliweka thread humu JF kwamba suala la Urusi na Ukraine ni dogo sana kwa mtu asie na ukahaba wa kisiasa wa kufuata bwana atakaekupa maslahi bila kujali utu wa mtu huyo.

Nilisema wazi, leo hii wakati tunamkumbuka Nyerere tutafakari angesimamia wapi katika suala la Urusi na Ukraine. Nyerere alisema siku zote mipaka ya nchi zetu inayotambulika kimataifa tunaweza tusiipende, lakini sio sababu za kuvamia nchi nyingine.

Hilo moja, pili ni kwamba, hatupaswi kuwa watumwa wa nchi fulani kwa sababu ya misaada yake, kwamba kwa kuwa tunasaidiwa au tulisaidiwa na nchi fulani, basi hiyo nchi inapofanya mambo kinyume cha maumbile tutakuwa upande wake. Huo ni umalaya wa kisiasa. Dhambi ni dhambi, ifanywe na rafiki au adui.

Angalia kura zilivyopigwa Umoja wa Mataifa juu ya suala la Urusi na Ukraine, na angalia Tanzania ilisimamia wapi. Aibu tupu kwa nchi iliyojiita nchi ya mstari wa mbele kwenye ukombozi wa nchi nyingine. Nasema wazi, tulichofanya hapa ni umalaya wa siasa za kimataifa

Katika hotuba ya mwisho ya Nyerere Umoja wa Mataifa, alisema hiki anachofanya Samia leo hatutafanya hata siku moja! Lakini ndio hivyo tena. Tunafanya. Samia ame-surrender our freedom and dignity. Angalia video hapo chini.

Nchi kama Zambia, Kenya, Rwanda nk wanajitambua sana

View attachment 2387354

Msimamo wa nchi za Afrika juu ya suala la Urusi na Ukraine ni jambo dogo sana linalopaswa kuongozwa na kanuni, sio maslahi ya nchi zetu

Kila wakati mko na huyu Laanatullahi Nyerere?
Mbona yeye aliivamia Zanzibar na kuuwa maelfu ya watu, na kujiweka Zanzibar katika konto lake aliloliita Tanzania?
 
Mgogoro wa RUSSIA & UKRAINE Chanzo chake ni kipi hasa?
 
Niliweka thread humu JF kwamba suala la Urusi na Ukraine ni dogo sana kwa mtu asie na ukahaba wa kisiasa wa kufuata bwana atakaekupa maslahi bila kujali utu wa mtu huyo.

Nilisema wazi, leo hii wakati tunamkumbuka Nyerere tutafakari angesimamia wapi katika suala la Urusi na Ukraine. Nyerere alisema siku zote mipaka ya nchi zetu inayotambulika kimataifa tunaweza tusiipende, lakini sio sababu za kuvamia nchi nyingine.

Hilo moja, pili ni kwamba, hatupaswi kuwa watumwa wa nchi fulani kwa sababu ya misaada yake, kwamba kwa kuwa tunasaidiwa au tulisaidiwa na nchi fulani, basi hiyo nchi inapofanya mambo kinyume cha maumbile tutakuwa upande wake. Huo ni umalaya wa kisiasa. Dhambi ni dhambi, ifanywe na rafiki au adui.

Angalia kura zilivyopigwa Umoja wa Mataifa juu ya suala la Urusi na Ukraine, na angalia Tanzania ilisimamia wapi. Aibu tupu kwa nchi iliyojiita nchi ya mstari wa mbele kwenye ukombozi wa nchi nyingine. Nasema wazi, tulichofanya hapa ni umalaya wa siasa za kimataifa

Katika hotuba ya mwisho ya Nyerere Umoja wa Mataifa, alisema hiki anachofanya Samia leo hatutafanya hata siku moja! Lakini ndio hivyo tena. Tunafanya. Samia ame-surrender our freedom and dignity. Angalia video hapo chini.

Nchi kama Zambia, Kenya, Rwanda nk wanajitambua sana

View attachment 2387354

Msimamo wa nchi za Afrika juu ya suala la Urusi na Ukraine ni jambo dogo sana linalopaswa kuongozwa na kanuni, sio maslahi ya nchi zetu

Usiwe mbiga, vita hivyo havikuhusu!!!
 
Kosa lipo kwamba huelewi maana ya kuwa kwenye nchi zisizofungamana na upande wowote. Sikiliza tena video ya clip.

Wakati tulipokuwa tunasaidia South Afrika kupigana na makaburu, ambapo silaha zote na kombat zilitoka Urusi kupitia kwetu, tulikuwa tunafungamana na upande wa Urusi? Maana ni kipindi hicho tulipotamka kutofungamana na upande wowote. Kwa hiyo huelewi maana ya nchi zisizofungamana na upande wowote.
Tanzania haijawahi kufungamana na upande wa "mabeberu" wakiongozwa na Marekani. Tanzania ni nchi inayoamini katika itikadi ya "ujamaa" ambayo ni socialism na communism. Ambayo ni itikadi kuu ya Urusi na China. Kwahiyo hata kama hatutosema waziwazi tupo upande gani, lakin wajuvi wa mambo wanajua tupo kambi gani..sema tunashindwa kujipambambanua kwasababu ya umasikini wetu. Ficha ujinga wako
 
Back
Top Bottom