Bob Manson
JF-Expert Member
- May 16, 2021
- 4,158
- 7,787
- Thread starter
-
- #141
Vizuri kabisa, sio vibaya kuchelewa kujua jambo, huwezi kujua kila kitu, kama upo interested unaweza kujifunza au kuchunguza zaidi.Hamna upuuzi nimewahi kuuona kama huu tangu nimezaliwa
Nin significance ya kujua? Nitapata faida ipi?Vizuri kabisa, sio vibaya kuchelewa kujua jambo, huwezi kujua kila kitu, kama upo interested unaweza kujifunza au kuchunguza zaidi.
Well, kama haupo interested kujua sio lazima ujue, wala huna haja ya kujua.Nin significance ya kujua? Nitapata faida ipi?
Napataje interest bila kujua faida zake nipe kwanza faidaWell, kama haupo interested kujua sio lazima ujue, wala huna haja ya kujua.
Mimi nafanya tafiti zangu kwa lengo la kupanua uwezo wa kujua na kuelewa mambo, sina lengo au faida nyingine ninayo itaka.Napataje interest bila kujua faida zake nipe kwanza faida
Heshima kwako Mkuu..
Pamoja mkuu, pia ni muhimu kuendelea kutafiti na kujifunzaHeshima kwako Mkuu..
Kuna kitu nimejifunza jambo hapa Mkuu...Naam
Kwani kupanua uwezo wa kujua sio faida?Mimi nafanya tafiti zangu kwa lengo la kupanua uwezo wa kujua na kuelewa mambo, sina lengo au faida nyingine ninayo itaka.
Maswali yako hayana msingi, kama unataka kujua zaidi jifunze kama hutaki sio lazima.Kwani kupanua uwezo wa kujua sio faida?
Okay inasaidia kujua kuhusu nn
Ukiona huwezi kujib maswali kama hayo jua unampoteza muda tu kufuatilia vitu kama hivyoMaswali yako hayana msingi, kama unataka kujua zaidi jifunze kama hutaki sio lazima.
Imesikilizwa lakin imegoma kuingia akilin 😂😂Mtoa mada Ana hoja asikilizwe
Umejifunza nn mkuu naomba unieleweshe na mmHeshima kwako Mkuu..
Kuna kitu nimejifunza jambo hapa Mkuu...Naam
Endelea kazana kumjua Yesu ili mwisho wa siku ikiwa utaondoka duniani hujatubu basi ile kwako maana atakuambia jinsi alivyojifunua kwako wewe ukaishia kumtungia uwongo hapa JFHabari za wakati huu wataalam..
Hii ndiyo hesabu kamili ya jina la "JESUS" na jawabu lake ambalo huwa '666' katika numerology.
Kumbuka 666 ina idadi au thamani ya namba 9 ambapo 6+6+6 = 18, 1+8= 9
Hivyo tunatumia namba 9 kuzidisha kwa kila namba za herufi ya jina husika.
List ya A-Z ipo kwa lengo la kupata namba ambazo hutambulisha herufi za jina husika katika kukokotoa.
View attachment 3061449
Hayo ni maajabu ya namba 9 katika numerology, lakni sidhani kama jawabu hili limekuja kwa bahati mbaya, nadhani ipo sababu.
Kwa wataalamu wa numerology,
hii ni Coincidence au ilipangwa iwe hivyo na waliotunga hilo jina?
Wapi kwenye uzi nimetaja jina la Yesu?Endelea kazana kumjua Yesu ili mwisho wa siku ikiwa utaondoka duniani hujatubu basi ile kwako maana atakuambia jinsi alivyojifunua kwako wewe ukaishia kumtungia uwongo hapa JF
Nimefuatilia majibu ya mleta uzi pamoja na rejeleo alilotumia ambalo bila shaka sikuwahi kupitia andiko hilo licha ya kufuatilia sana na kujifunza juu ya numerolojia.Umejifunza nn mkuu naomba unieleweshe na mm
Aaaaah you people sijui mnashida ganiHabari za wakati huu wataalam..
Hii ndiyo hesabu kamili ya jina la "JESUS" na jawabu lake ambalo huwa '666' katika numerology.
Kumbuka 666 ina idadi au thamani ya namba 9 ambapo 6+6+6 = 18, 1+8= 9
Hivyo tunatumia namba 9 kuzidisha kwa kila namba za herufi ya jina husika.
List ya A-Z ipo kwa lengo la kupata namba ambazo hutambulisha herufi za jina husika katika kukokotoa.
View attachment 3061449
Hayo ni maajabu ya namba 9 katika numerology, lakni sidhani kama jawabu hili limekuja kwa bahati mbaya, nadhani ipo sababu.
Kwa wataalamu wa numerology,
hii ni Coincidence au ilipangwa iwe hivyo na waliotunga hilo jina?
umaskini ni mbaya sana
Jaribu kilimo cha matikiti utanikumbukaHabari za wakati huu wataalam..
Hii ndiyo hesabu kamili ya jina la "JESUS" na jawabu lake ambalo huwa '666' katika numerology.
Kumbuka 666 ina idadi au thamani ya namba 9 ambapo 6+6+6 = 18, 1+8= 9
Hivyo tunatumia namba 9 kuzidisha kwa kila namba za herufi ya jina husika.
List ya A-Z ipo kwa lengo la kupata namba ambazo hutambulisha herufi za jina husika katika kukokotoa.
View attachment 3061449
Hayo ni maajabu ya namba 9 katika numerology, lakni sidhani kama jawabu hili limekuja kwa bahati mbaya, nadhani ipo sababu.
Kwa wataalamu wa numerology,
hii ni Coincidence au ilipangwa iwe hivyo na waliotunga hilo jina?
Wapi nimesema au kuhusisha jina lolote na ushetani?Aaaaah you people sijui mnashida gani
Hizo ni hesabu tu kama hesabu zingine usikute hata majina yako ukifuatilia kwa undani zaidi ni ya kishetani
Sawa ngoja nitafute shambaJaribu kilimo cha matikiti utanikumbuka