Katika Picha hawa ni PMC Wagner Group, kikundi tishio kwenye medani za vita.

TODAYS

JF-Expert Member
Joined
Apr 30, 2014
Posts
14,747
Reaction score
24,250

Ukiona hiyo nembo popote duniani ujue upo nao eneo hilo au ukute kijana wako kavaa gwanda lao labda kanunua mtumbani ujue anawakilisha hao wajuba.


Wanakula kiapo cha utiifu kabla ya kuingia kazini.


Wakiwa kazini na behind ni baada ya kumaliza attack two.

Mission za hawa jamaa kuna nchi afrika haziwezi kugusa.



Nilipomuona huyu jamaa nilidhani mwanajeshi wa taifa flani kubwa kumbe ni wa kikundi cha kukodishwa Wagner Group.

NB; PMC WG ni kundi siyo jeshi ila lina hadhi sawa na majeshi ya nchi kadhaa duniani na wana missions kali kuliko baadhi ya nchi kama si zote za Afrika.
 
Picha za wapiganaji ila wanaopigana wenyewe ni wafungwa,waliochoka ,walevi,vibaka,watu watamaa na n.k
Usiamini picha sana ata wema akijifuta mekup utamkimbia.
Na hao walevi vibaka na wafungwa ndio wanao wasumbua Ukraine poland na NATO huko kwa mr ZELENSKY

Hahahahhahaha si aibu hiyo

Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
 
Na hao walevi vibaka na wafungwa ndio wanao wasumbua Ukraine poland na NATO huko kwa mr ZELENSKY

Hahahahhahaha si aibu hiyo

Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
Unajua maana ya jihad.
Wanachofanaya magaidi wanapeleka wajinga kuumiza wengi wao wapo mbali.
Mbona ujerumani kipindi cha adolf mambo kama.haya alishafanya kuwaweka front ukirudi ni kulamba risasi
 
Unajua maana ya jihad.
Wanachofanaya magaidi wanapeleka wajinga kuumiza wengi wao wapo mbali.
Mbona ujerumani kipindi cha adolf mambo kama.haya alishafanya kuwaweka front ukirudi ni kulamba risasi
Hao wajinga si ndio wanawasumbua huko uwanja wa vita mpaka Mr Old man hatulii kila kitu kwake kimekua cha moto

Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
 
Koneksheni ya kuwa member wa wagner ikoje?
 
unawajua alqaeda au is??
 
Beberu chupi ina uchaniko, MURUSI SI MUTU, PENGINE NI CHURA.
 
Ni kama Knight wa enzi hiyo, tofauti yake wale walikuwa ni professionals.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…