TODAYS
JF-Expert Member
- Apr 30, 2014
- 14,747
- 24,250
- Thread starter
- #21
Mkuu usichanganye vikundi vya kigaidi na vikundi vya kampuni.unawajua alqaeda au is??
IS ni kundi la kigaidi na hata kujiunga kwake, mafunzo hata sehemu ya kurecruit watu wao haifahamiki.
Hawa WG wapo wazi sana japo wana mambo yao mengine €¢¥÷{=#&😳