Jana nilijua kua Mkandara na MMJ wamekupa kichwa na leo utaupanda mkenge mbona leo hutukani? Jaribu uone kizee wewe miaka 60 utafikiri umezaliwa jana, maneno ya nonesense tupu, hoja huna nimekuambia siku nyingi sana kwamba wewe as far as siasa ya bongo huna hoja nzito hata siku moja kujifnaya kiingereza maneno makubwa lakini ndani hewa tupu!
Ulipoanza ulifikiri nitakuacha? Umeanza mimi ninajibu tena kiroho mbaya jana nilikupa break ukadhani sasa kila siku, peleka ukikongwe wako huko, Tanzania tuachie sisi raia wake am,bao tuna nafasi ya kuiongoza wewe huwezi tena maana sio raia wetu, nenda huko mkongwe wa hedi wewe, peleka uzee wako mtu mzi a kujifanya mtoto, ili iwe nini? Mwanaume mzima mpaka kujifanya mwanamke ili? jitu zima hovyooooo!
nakuambia unayejifanya ni wewe. Kwa taarifa yako wewe sina ya shida ya uongozi, namuongoza mume wangu na wanangu.........nikuongoze arrogant kama wewe nitawezea wapi,
ni wewe unayejifanya much know...kuwa wanijua mie mwanaume............kweli wewe hukubali kubadili tabia hii ni karne ingine wewe.