my name is my name
JF-Expert Member
- Jan 12, 2015
- 2,016
- 2,397
Katika jambo zima la sex nani huwa anamtumia mwenzie? Mwanamke au mwanaume? Nini inafanya useme hyu ndo anatumiwa? 👀
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kina Nani?Watendwa
Siku hizi mambo yamebadilika wanaume wengi wanategemea mahitaji ya kiuchumi kutoka kwa wanawakeWote wanatumiana. Mwanaume anamtumia mwanamke ksbb upitie ukame wa kama mwezi,halafu uje upate sasa ndutu,ndio utajua mwanaume anamtumia mwanamke. Pia mwanamke anamtumia mwanaume ksbb nae anahitaji pia.
(Japo hili halipo) Pia mwanamke ameenda mbali zaidi kumtumia mwanaume ksbb wanawake karibia 70% wanamtegemea mwanaume ktk mahitaji mengine
Umesoma Uzi vzr Mkuu na kuuwelewa?Siku hizi mambo yamebadilika wanaume wengi wanategemea mahitaji ya kiuchumi kutoka kwa wanawake
Anayeingiliwa ndio anaye tumika.Katika jambo zima la sex nani huwa anamtumia mwenzie? Mwanamke au mwanaume? Nini inafanya useme hyu ndo anatumiwa? 👀
Katika jambo zima la sex nani huwa anamtumia mwenzie? Mwanamke au mwanaume? Nini inafanya useme hyu ndo anatumiwa? 👀
Unayemuuliza ndio kaleta huo uzi [emoji2]Umesoma Uzi vzr Mkuu na kuuwelewa?
WanaofanyaKina Nani?
Muna2miana.Katika jambo zima la sex nani huwa anamtumia mwenzie? Mwanamke au mwanaume? Nini inafanya useme hyu ndo anatumiwa? [emoji102]
Katika jambo zima la sex nani huwa anamtumia mwenzie? Mwanamke au mwanaume? Nini inafanya useme hyu ndo anatumiwa? 👀
Maswali kama haya waulizeni kwenye jando na unyago au siku hizi mnajikomalia bila kupitia taasisi hii?Katika jambo zima la sex nani huwa anamtumia mwenzie? Mwanamke au mwanaume? Nini inafanya useme hyu ndo anatumiwa? 👀
Hahahaaa.Unayemuuliza ndio kaleta huo uzi [emoji2]
mwanaume nakupa hela mwanamke tufanye ngono, ukipokea ujue wewe ndo unaetumika, sababu hapo lengo ni kujiridhisha mimi sio kukuridhisha wewe.Anaetoa pesa ndie anaetumiwa
Ni wanaume wa dar tu ndio wanaowategemea wanawake. Ndio maana nimesema 70% hao ndio wanaume kwa kila kitu. Hao wako mikoani,mpaka vijijini huko ndiko walikobakia wanaume . 20% wa dar. 10% maamuzi mengineSiku hizi mambo yamebadilika wanaume wengi wanategemea mahitaji ya kiuchumi kutoka kwa wanawake