Katika sex nani anamtumia mwezake?

inawezekana tunatumiana.. ila sijui kwanini mwisho wa siku mkiachwa mnalalamikaga "Ulikua unanitumia tu" [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

Sent from my SM-G570F using JamiiForums mobile app
Tunalalamika kupotezewa muda bana na ndiyo maana inaonekana kama tumetumiwa tu, vitu vyenyewe ni elastic materials hakuna kutumiwa , tunatumiana
 
Katika jambo zima la sex nani huwa anamtumia mwenzie? Mwanamke au mwanaume? Nini inafanya useme hyu ndo anatumiwa? [emoji102]
Kati ya kisu na nyama kipi kinatumika?
Mkuu anayefanywa ni mwanamke.
Mfano.
Amegegedwa.
Ametafunwa.
Amebanduliwa.
Amelawitiwa.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…