Katika Suala la Mahusiano kaka yenu sina bahati

Siyo gundu wote siku hizi ndivyo walivyo, nakushauri hata ukiziokota usiwape Fanya mambo yako ya maana,
Hata ukiwapa hela watakuita buzi,fala, bwege, boya n.k hakuna jina zuri la heshima analopewa mhongaji hata Siku moja.
Daaaa aisee kweli, unishia kuitwa bwege tu.
 
Mie huwa natoa mtihani mdogo tu kwa mwanamke anae omba hela.
Nataka franch kiss moja nzitooo, kma dakika 2 tu, kuhidhinisha mahusiano yetu lasmi, kisha nakupa ulicho omba,
Mwanamke akiweza hapo, huyo lazima mzigo atakuja kutoa tu.
 
Rivaside maeneo gan pale
 
Mie huwa natoa mtihani mdogo tu kwa mwanamke anae omba hela.
Nataka france kiss moja nzitooo, kma dakika 2 tu, kuhidhinisha mahusiano yetu lasmi, kisha nakupa ulicho omba,
Mwanamke akiweza hapo, huyo lazima mzigo atakuja kutoa tu.
Hio nikweli ukiona hta kiss hakupi anakuona poyoyo na hana mpango nawew zaidi ya helatu anataka.
 
Hio nikweli ukiona hta kiss hakupi anakuona poyoyo na hana mpango nawew zaidi ya helatu anataka.
Kumpata mwanamke kwa pesa labda kama unazo nyingi kama za mbunge hivi, hila kama una pesa ya mawazo utaishia kulizwa tu.
Wanawake wengi wanashauriana kutufanya wanaume vitega uchumi.

Mwengine unakuta anachuki na wanaume, alizalishwa mtoto akaachwa, sasa ukijichanganya ni utachunwa bila huruma.
 
mzee kwako imezidi hiyo, ukipata msuchana usijioneshe kama una Pesa ,maana unakuta mwingine hajakupendea Pesa anataka mapenzi but we kujifanya chifu kiumbe unapiga picha uko na wine utajuta....

Hivi viumbe wanasema vidhaifu kuna sehemu lazima we use mdhaifu

Ety nimeambiwa hizo Pesa katika kuhonga mbona chamtoto Sana........
 

Kwasababu anaomba hela ya beer ukamshauri aka apply TBL [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]dah
 
Mie huwa natoa mtihani mdogo tu kwa mwanamke anae omba hela.
Nataka france kiss moja nzitooo, kma dakika 2 tu, kuhidhinisha mahusiano yetu lasmi, kisha nakupa ulicho omba,
Mwanamke akiweza hapo, huyo lazima mzigo atakuja kutoa tu.
Kila mtu ana mbinu yake mimi nikiombwa hela namwambia wiki ijayo usihofu,
Sasa hapa katikati mimi naomba tunda hapo napata kipimo akikataa akaanza kalenda hiyo hela hapati
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…