Katika Suala la Mahusiano kaka yenu sina bahati

Katika Suala la Mahusiano kaka yenu sina bahati

Siyo gundu wote siku hizi ndivyo walivyo, nakushauri hata ukiziokota usiwape Fanya mambo yako ya maana,
Hata ukiwapa hela watakuita buzi,fala, bwege, boya n.k hakuna jina zuri la heshima analopewa mhongaji hata Siku moja.
Daaaa aisee kweli, unishia kuitwa bwege tu.
 
Mie huwa natoa mtihani mdogo tu kwa mwanamke anae omba hela.
Nataka franch kiss moja nzitooo, kma dakika 2 tu, kuhidhinisha mahusiano yetu lasmi, kisha nakupa ulicho omba,
Mwanamke akiweza hapo, huyo lazima mzigo atakuja kutoa tu.
 
Asilia 97 ya wanawake wa Dar wanauza K. either DIRECT OR INDIRECT) sasa cha kufanya,,,acha kuhangaika na kutongoza. Ingia tinder,badoo,love 4 u, etc. nunua demu mgonge then kila mtu afate yake. ukiona huko ni gharama basi zama zako sinza/Temeke/Tandale/Buguruni/Ubungo riverside utapata mpaka demu wa buku 5 afu room yake.
Rivaside maeneo gan pale
 
Mie huwa natoa mtihani mdogo tu kwa mwanamke anae omba hela.
Nataka france kiss moja nzitooo, kma dakika 2 tu, kuhidhinisha mahusiano yetu lasmi, kisha nakupa ulicho omba,
Mwanamke akiweza hapo, huyo lazima mzigo atakuja kutoa tu.
Hio nikweli ukiona hta kiss hakupi anakuona poyoyo na hana mpango nawew zaidi ya helatu anataka.
 
Hio nikweli ukiona hta kiss hakupi anakuona poyoyo na hana mpango nawew zaidi ya helatu anataka.
Kumpata mwanamke kwa pesa labda kama unazo nyingi kama za mbunge hivi, hila kama una pesa ya mawazo utaishia kulizwa tu.
Wanawake wengi wanashauriana kutufanya wanaume vitega uchumi.

Mwengine unakuta anachuki na wanaume, alizalishwa mtoto akaachwa, sasa ukijichanganya ni utachunwa bila huruma.
 
mzee kwako imezidi hiyo, ukipata msuchana usijioneshe kama una Pesa ,maana unakuta mwingine hajakupendea Pesa anataka mapenzi but we kujifanya chifu kiumbe unapiga picha uko na wine utajuta....

Hivi viumbe wanasema vidhaifu kuna sehemu lazima we use mdhaifu

Ety nimeambiwa hizo Pesa katika kuhonga mbona chamtoto Sana........
 
Inaniumiza sana.kila demu ninayempata anakuwa na shida moja tu. Yaani hazipiti siku 2 anaomba pesa. Hii tabia imekuwa kwangu kufanyiwa ni kawaida.

Nimepata msichana nikaanza sema moyo ngoja nikae hapa. Tumeonana mara moja kesho yake ananambia simu yake mbovu nimnunulie nyingine. Nlijisikia vibaya kidogo why so soon?

Mwingine ndani ya masaa 6 anaomba nimwongezee tsh 40,000 anunue gas imeisha. Nikamtumia 30,000. After two days ananambia simu yake imepasuka kikoo. Ni Samsung kioo kaambiwa 200,000 naye hana hela.so sitompata hewani baada ya ule muda.

Nikasikitika naye nikamwambia ntamwombea simu ipone.akakata simu.naendelea kumwona online.nikapost picha flani na wana Insta akaniona nakula maisha. Akanipigia kulaumu sana.kuwa nawezaje kwenda out huku sijamtumia pesa? Nlishangaa sana.

Nikaja pata mwingine.tumewasiliana kidogo tu siku mbili anasema biashara yake imekata sana anahitaji aongezewe 400,000. Ili achukue mzigo.nikamwambia hilo suala tuliweke kwenye maombi. Akakasirika. Meseji zangu hakujibu week nzima. Nikaja tuma text kuwa nimepata 350,000 akajibu akiniita sweet n.k nikamuuliza texts zangu mbona alikuwa hajibu akasema alikuwa tight sana kutafuta pesa.

Huyu mwingine ndani ya week moja amefiwa na mama yake wa kufikia(nlimuuliza why afikie kwa mtu wakati miaka yote amezaliwa Dar) hakunijibu. Ila nlishangaa huyu dada anasema wazazi wake wanaishi sinza. Amekulia sinza anafanya kazi Dar. Sasa why afikie kwa huyo mama?

Haya ....mara shangazi yake wa mwanza kafariki inabidi aende.asipoenda ndugu hawatamwelewa.so anaomba nauli.wakati huo hup she told me pesa zake anazitumia kumhudumia mama yake mgonjwa.nikisema nami nataka nikamsalimie.vipengele vinakuwa vingi sana.

Mwingine siku moja tu tumefahamiana tena kwenye mtandao wa kijamii.kesho yake anataka nimtumie 40,000 aende salon.

Huyu wa last week nampenda, naogopa mpigia au pokea simu yake.maana kila nikimpigia lazima ataomba pesa ya beer.kila akipiga mwishoni nimtumie pesa ya beer.nlimshauri sababu ana advanced diploma ya mambo ya management in something a apply TBL hakujibu kitu.

Basi tu nmejikunyata maskini naumia sana moyoni.WHY ME? NAJIULIZA. AU ndo nyota ya Buzi? This isnt fair kabisa. Wadada muwe na huruma. Tujaribu hata kupendana dada zanguni. Naumia sana, nakonda kwa mawazo.

Kwasababu anaomba hela ya beer ukamshauri aka apply TBL [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]dah
 
Mie huwa natoa mtihani mdogo tu kwa mwanamke anae omba hela.
Nataka france kiss moja nzitooo, kma dakika 2 tu, kuhidhinisha mahusiano yetu lasmi, kisha nakupa ulicho omba,
Mwanamke akiweza hapo, huyo lazima mzigo atakuja kutoa tu.
Kila mtu ana mbinu yake mimi nikiombwa hela namwambia wiki ijayo usihofu,
Sasa hapa katikati mimi naomba tunda hapo napata kipimo akikataa akaanza kalenda hiyo hela hapati
 
Back
Top Bottom