Katika teuzi za Rais Samia, nani waondoshwe kazini kwenye kapu la Wakuu wa Wilaya?

Hana visasi vya kijinga hata kidogo
Nimegundua Viongozi wengi wanaofanya sehemu zenye upinzani mkali wa kisiasa ni vigumu kumiminiwa sifa kede kede kama wapatazo viongozi wanaotoka sehemu zisizo na michuano mikali ya kisiasa...
 
Nimegundua Viongozi wengi wanaofanya sehemu zenye upinzani mkali wa kisiasa ni vigumu kumiminiwa sifa kede kede kama wapatazo viongozi wanaotoka sehemu zisizo na michuano mikali ya kisiasa...
Sasa Kilolo kuna ushindani gani.

Gairo nako kuna ushindanni gani.

Tabora mjini nako kuna siasa gani wakati DC anasweka ndani wana CCM wenzake.

Tabia ndio kikwazo kwa hawa vijana malimbukeni.

Upinzania haumtumia DC kufanya uvamizi kama alivyokuwa anafanya Makonda.
 
Nimegundua Viongozi wengi wanaofanya sehemu zenye upinzani mkali wa kisiasa ni vigumu kumiminiwa sifa kede kede kama wapatazo viongozi wanaotoka sehemu zisizo na michuano mikali ya kisiasa...
Na hii ndio tatizo tulilonalo, na hata michango yetu inaonyesha hivyo.
 
Upinzani wa kisiasa sio lazima UWE Kati ya vyama tofauti vya kisiasa..ata CCM wenyewe Kwa wenyewe wanakuaga na mpambano mkali Sana wa Chini Kwa Chini...ni bahati tuu wanakuaga na uwezo Mkubwa wa kuficha vyanzo vya migogoro lakini Kati ya DC, DED na Mwenyekiti wa CCM (W) au almashauri Wanakuaga na mnyukano Mkubwa Sana hasa pale kila kundi linapokua Lina mgombea mtarajiwa wa Ubunge.
 
Dc was kilosa afukuzwe
 
Nimegundua Viongozi wengi wanaofanya sehemu zenye upinzani mkali wa kisiasa ni vigumu kumiminiwa sifa kede kede kama wapatazo viongozi wanaotoka sehemu zisizo na michuano mikali ya kisiasa...
Mbona Anthony Mtaka aitokea Hai na alifanya vizuri?
 
Kuna kitu tumegundua Maka hatumbui islams kamwe .....kuna walakini kwa islams ...ila muda mwalimu mzuri tuendelee kujifukiza....huyo dada kilolo hataguswa
Naapa huyo dada wa KILOLO asipofukuzwa mimi mimi najinyonga pale uwanja wa samora iringa wakinizuia napanda basi la mwafrika la kwenda ukwega najinyonga ndani ya basi wakinizuia naenda jitupa chini ya daràja la Mto ruaha pale ndiwili/ihimbo.
ASIA ABDALLAH hafai kuwa mkuu wa wilaya ya KILOLO.
Tumemvumilia kiasi cha kutosha uteuzi wa wakuu wa wilaya umuepushe na laana ya waathirika na utawala wake mbovu
 
Bwana mdogo Sabaya siyo tu kwamba anachunguzwa, hiyo haitoshi, aondolewe kabisa kwenye nafasi, wananchi hatuna imani naye!
 
Humu watu Ni wanafki Sana wambea wapika majungu wivu ndio vilivyoshamiri katika kujadili Jambo kuwa flani n mzuri ebu elezea mazuri yake au flan n mbaya basi elezea mabaya yake Sasa mtu anaongea bila evidence huo n unafki mbaya zaidi huyu mama nae n muumini wa mitandao anaeza kuta floo ya watu kumkataa flan ukashangaa tunaongezewa competitors wengine fresh Tena wenye mitaji.

Adui wa kijana Ni vijana wenyewe adui wa mwanamke n wanawake wenyewe Discuss
 
Mbona Anthony Mtaka aitokea Hai na alifanya vizuri?
Hajawahi kugusa maslahi ya wanasiasa hasa wa Upinzani..ndio maana anakubalika na baadhi ya wakereketwa ata ambao sio itikadi yake.
 
Pole sana naona amekusahau
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…