Katika ukanda wote wa kusini sijaona wa kuwafikia wanyakyusa katika elimu na power, They have the southern crown!

Katika ukanda wote wa kusini sijaona wa kuwafikia wanyakyusa katika elimu na power, They have the southern crown!

sky soldier

JF-Expert Member
Joined
Mar 30, 2020
Posts
5,407
Reaction score
19,264
Naweka facts kwa jinsi zilivyo based on demographics, so hakuna ukabila hapa bali ni demographical facts.

Lets just admit kina Mwaisa they have the southern crown, Southern namaanisha mikoa ya kusini Mbeya, Songwe, Rukwa, Iringa. Njombe, Ruvuma, Mtwara, Lindi,

Nawakumbusha tena Power nayoongelea haijagusa biashara (crown goes to Mkinga) bali ipo in terms of Nafasi za kiasiasa katika national level kama uwaziri na uspika, Kuwepo kwa watu kwenye sytem vyeo vya juu jeshini, taasisi za serikali, ukurugenzi, n.k, na pia hata kwenye elimu maprofesa, ma engineer, wanasheria, madaktari, n,k.

Katika Elimu pekee Mbeya imejitosheleza nashule ni nyingi za private na hata vyama wa umoja wa wazazi kwao walizingatia sana kujenga shule kwanza kwajili ya kuelimisha watoto.

Shule za english Medium za kiingereza zipo nyingi mno na za Private kama uwata, umoja, Riverside, St marrys, Maps, besta, n,k na huku wanyakyusa wamejaza. shule za serikali za english za laki 2 kuna Mkapa, Magufuli, Azimia, n.k.

Shule za sekondari nazo zipo nyingi sana private zipo utitiri ila kwa uchache kuna Saint Francis, Pandahill, Swilla, Uwata, St Marrys, n.k. Shule za umoja wa wazazi zipo za laki 4 kama Meta, Sangu, Ivumwe, Mbalizi , n.k. za serikali ni utitiri

Kwa byuo Mbeya ni jiji la pili kwakuwa na vyuo vingi, kuna MUST, UDSM - UCC, UDSM - MCHAS, Mzumbe, TIA, CBE, ADEM, KILIMO hivyo vya serikali, tukija private kuna SAUT, TUMAINI, TEKU, n.k. vyuo vya afya na ufundi ni utitiri


Elimu hii kuwa karibu imefanya kuwe na wanyakyusa wengi kwenda kujiunga mashuleni na vyuoni na kuwa na chance kubwa sana ya kupata ajira.

Kwenye power nako si haba nafasi kama mawaziri kina Profesa Mwakyembe, Profesa Mwakyusa wamewakilisha vyema. Nafasi ya Spika hapo yupo Profesa Tulia na hata jeshini kumwewahi kuwepo Mwamunyange.
 
Naweka facts kwa jinsi zilivyo based on demographics, so hakuna ukabila hapa bali ni demographical facts.

Lets jus admit it they have the southern crown,

Elimu: Kwenye suala la kuelimika katika familia nyingi hili ni suala muhimu sana sana,

Shule za english Medium za kiingereza zipo nyingi mno za Private na hata za serikali pia kuna Mkapa, Magufuli, Azimia, n.k.

Shule za sekondari nazo zipo nyingi sana provate na public, pia za umoja wa wazazi zipo Meta, Sangu, Ivyumwe, Mbalizi , n.k.

Vyuo Mbeya ni jiji la pili kwakuwa na vyuo vingi, kuna MUST, UDSM - UCC, UDSM - , Mzumbe, TIA, CBE, ADEM, hivyo vya serikali, tukija provate kuna SAUT, TUMAINI, TEKU,n.k. vyuo vya afya na ufundi ni utitiri


Elimu hii imefanya kuwe na wanyakyusa wengi kwenda kujiunga vyuoni na kuwa na chance kubwa sana ya kupata ajira hasa ukizingatia nao pia wana kautamaduni ka kubebana.

Kwenye power nako si haba kumewahi kuwepo na mawaziri wengi tu wa kinyajyusa, Spika wa sasa ni wa huko na hata jeshini kumwewahi kuwepo Mwamunyange ambae nae atakua aliingiza na kupandisha vyeo wengi tu,
Kwahiyo tukusaidie nini we pompoma
 
Naweka facts kwa jinsi zilivyo based on demographics, so hakuna ukabila hapa bali ni demographical facts.

Lets jus admit it they have the southern crown,

Elimu: Kwenye suala la kuelimika katika familia nyingi hili ni suala muhimu sana sana,

Shule za english Medium za kiingereza zipo nyingi mno za Private na hata za serikali pia kuna Mkapa, Magufuli, Azimia, n.k.

Shule za sekondari nazo zipo nyingi sana provate na public, pia za umoja wa wazazi zipo Meta, Sangu, Ivyumwe, Mbalizi , n.k.

Vyuo Mbeya ni jiji la pili kwakuwa na vyuo vingi, kuna MUST, UDSM - UCC, UDSM - , Mzumbe, TIA, CBE, ADEM, hivyo vya serikali, tukija provate kuna SAUT, TUMAINI, TEKU,n.k. vyuo vya afya na ufundi ni utitiri


Elimu hii imefanya kuwe na wanyakyusa wengi kwenda kujiunga vyuoni na kuwa na chance kubwa sana ya kupata ajira hasa ukizingatia nao pia wana kautamaduni ka kubebana.

Kwenye power nako si haba kumewahi kuwepo na mawaziri wengi tu wa kinyajyusa, Spika wa sasa ni wa huko na hata jeshini kumwewahi kuwepo Mwamunyange ambae nae atakua aliingiza na kupandisha vyeo wengi tu,

Ukabila tuu
 
Naweka facts kwa jinsi zilivyo based on demographics, so hakuna ukabila hapa bali ni demographical facts.

Lets jus admit it they have the southern crown,

Elimu: Kwenye suala la kuelimika katika familia nyingi hili ni suala muhimu sana sana,

Shule za english Medium za kiingereza zipo nyingi mno za Private na hata za serikali pia kuna Mkapa, Magufuli, Azimia, n.k.

Shule za sekondari nazo zipo nyingi sana provate na public, pia za umoja wa wazazi zipo Meta, Sangu, Ivyumwe, Mbalizi , n.k.

Vyuo Mbeya ni jiji la pili kwakuwa na vyuo vingi, kuna MUST, UDSM - UCC, UDSM - , Mzumbe, TIA, CBE, ADEM, hivyo vya serikali, tukija provate kuna SAUT, TUMAINI, TEKU,n.k. vyuo vya afya na ufundi ni utitiri


Elimu hii imefanya kuwe na wanyakyusa wengi kwenda kujiunga vyuoni na kuwa na chance kubwa sana ya kupata ajira hasa ukizingatia nao pia wana kautamaduni ka kubebana.

Kwenye power nako si haba kumewahi kuwepo na mawaziri wengi tu wa kinyajyusa, Spika wa sasa ni wa huko na hata jeshini kumwewahi kuwepo Mwamunyange ambae nae atakua aliingiza na kupandisha vyeo wengi tu,
Hata kwenye mfumo wapo wengi sana, km hujaelewa kaa kimya!!
 
Sio wote, kuna mijitu ikiongea unajuta hata kuwa nao kabila moja.

Kuna lijamaa moja linatoka Kyela ni li profesa lakini likiongea ni kama halijawahi kanyaga shule.

Sijasema ni Mwakyembe.
 
Back
Top Bottom