Katika ukanda wote wa kusini sijaona wa kuwafikia wanyakyusa katika elimu na power, They have the southern crown!

Katika ukanda wote wa kusini sijaona wa kuwafikia wanyakyusa katika elimu na power, They have the southern crown!

Sio wote, kuna mijitu ikiongea unajuta hata kuwa nao kabila moja.

Kuna lijamaa moja linatoka Kyela ni li profesa lakini likiongea ni kama halijawahi kanyaga shule.

Sijasema ni Mwakyembe.
Hata wahindi waliosoma hawakosekanagi hao
 
Wakoloni walipofika walivutiwa na hali ya hewa na mandhari katika mikoa ya Kilimanjaro/Arusha, Mbeya na Kagera na huko ndiko walianzia harakati zao za kueneza injili zilizoambatana na huduma zingine za kijamii kama mashule, mahospitali na mengineyo.

Kwa hiyo ni wazi makabila makuu ya sehemu hizo (Wachaga, Wanyakyusa na Wahaya) walijiwahi sana katika elimu na bila Nyerere kuwa jiniazi kwa kupeleka watoto kutoka makabila mengine kwenda kusoma huko Uchagani, Uhayani na Unyakyusani, makabila hayo matatu yangetawala Tanzania kielimu kwa muda mrefu sana....

Hali hata hivyo imeanza kubadilika maana hata the sleeping giant (līshing'weng'we) yaani Wasukuma nao wameamka na kuanza kupiga kitabu balaa...the playing field is being leveled........
 
Weee acha izooo .. wamatengo kutoka mbinga ndio wamesoma Kupita wote nyanda za juu kusini na kusin kiujumla.
 
Weee acha izooo .. wamatengo kutoka mbinga ndio wamesoma Kupita wote nyanda za juu kusini na kusin kiujumla.
Wamatengo nawajua na kweli kielimu wana uwezo na niliwahi kusoma nao, baba zao wana vitengo vizito tu Jeshini, wengine wakurugenzi...... lakini kwa wanyakyusa bado!!

Shida ni kwamba wamatengo wakihamiaga mjini huwa hawana utamaduni wa kurudi kwao kuchukua ndugu zao kuwaelimisha mjini yani kushindwa kubebana kunawafelisha, Hata Jokate nae ni wa huko huko na alikuwa kichwa darasani ila huko Mbinga sidhani hata kama amewahi kugusa.

Ishu ni kwamba wakoloni walifikia Moshi, Kagera na Mbeya ndiko walikotia nguvu za kujenga shule ndio maana hizo jamii wameelimika mapema mno.
 
Wakoloni walipofika walivutiwa na hali ya hewa na mandhari katika mikoa ya Kilimanjaro/Arusha, Mbeya na Kagera na huko ndiko walianzia harakati zao za kueneza injili zilizoambatana na huduma zingine za kijamii kama mashule, mahospitali na mengineyo.

Kwa hiyo ni wazi makabila makuu ya sehemu hizo (Wachaga, Wanyakyusa na Wahaya) walijiwahi sana katika elimu na bila Nyerere kuwa jiniazi kwa kupeleka watoto kutoka makabila mengine kwenda kusoma huko Uchagani, Uhayani na Unyakyusani, makabila hayo matatu yangetawala Tanzania kielimu kwa muda mrefu sana....

Hali hata hivyo imeanza kubadilika maana hata the sleeping giant (līshing'weng'we) yaani Wasukuma nao wameamka na kuanza kupiga kitabu balaa...the playing field is being leveled........
Na pia mazao ya biashara hasa kahawa na chai kwa sehemu yalifanya watu hawa waafford kupeleka watoto shule enzi hizo za wakaloni na hata baada ya ukoloni. Siku hizi kila watu wanaenda shule.
 
Umeongea ukweli kabisa. Hata ukifananisha na makabila ya kanda ya ziwa bado wanyaki wako juu. Niko huku mwanza, na asilimia 50 ya population hawajui kusoma wala kuandika, niko kwenye sekta husika so naongea kwa takwimu sio kubahatisha. Magufuli aliijua shida iliyopo kanda ya ziwa upande wa elimu, ndio maana akasema watu wasome bure, ila bado wasukuma hawathamini elimu kabisa.
 
Umeongea ukweli kabisa. Hata ukifananisha na makabila ya kanda ya ziwa bado wanyaki wako juu. Niko huku mwanza, na asilimia 50 ya population hawajui kusoma wala kuandika, niko kwenye sekta husika so naongea kwa takwimu sio kubahatisha. Magufuli aliijua shida iliyopo kanda ya ziwa upande wa elimu, ndio maana akasema watu wasome bure, ila bado wasukuma hawathamini elimu kabisa.
Kanda ya kaskazini ukiachana na Moshi nako ni maajabu matupu, mikoa ya Kagera, Ukerewe na Mara shule ni changamoto ila watu wana uwezo mkubwa sana kielimu, laiti wangekuwa na system za elimu kama Mbeya basi ingekuwa ni kumpa Simba mabawa.

Ila yote kwa Yote Mnyakyusa kwa ukanda wa kusini kuanzia Mtwara, Lindi, Ruvuma, IIringa, Njombe na Rukwa kawakilisha vema
 
Naweka facts kwa jinsi zilivyo based on demographics, so hakuna ukabila hapa bali ni demographical facts.

Lets jus admit it they have the southern crown,

Elimu: Kwenye suala la kuelimika katika familia nyingi hili ni suala muhimu sana sana,

Shule za english Medium za kiingereza zipo nyingi mno za Private na hata za serikali za english za laki 2 kuna Mkapa, Magufuli, Azimia, n.k.

Shule za sekondari nazo zipo nyingi sana provate na public, pia za umoja wa wazazi za laki 4 zipo Meta, Sangu, Ivyumwe, Mbalizi , n.k.

Vyuo Mbeya ni jiji la pili kwakuwa na vyuo vingi, kuna MUST, UDSM - UCC, UDSM - , Mzumbe, TIA, CBE, ADEM, hivyo vya serikali, tukija provate kuna SAUT, TUMAINI, TEKU,n.k. vyuo vya afya na ufundi ni utitiri


Elimu hii imefanya kuwe na wanyakyusa wengi kwenda kujiunga vyuoni na kuwa na chance kubwa sana ya kupata ajira hasa ukizingatia nao pia wana kautamaduni ka kubebana.

Kwenye power nako si haba kumewahi kuwepo na mawaziri wengi tu wa kinyajyusa, Spika wa sasa ni wa huko na hata jeshini kumwewahi kuwepo Mwamunyange ambae nae atakua aliingiza na kupandisha vyeo wengi tu,
Yale Yale ya simba,iliwahi.....kufa kiume. Mfyuuuu
 
Naweka facts kwa jinsi zilivyo based on demographics, so hakuna ukabila hapa bali ni demographical facts.

Lets jus admit it they have the southern crown,

Elimu: Kwenye suala la kuelimika katika familia nyingi hili ni suala muhimu sana sana,

Shule za english Medium za kiingereza zipo nyingi mno za Private na hata za serikali za english za laki 2 kuna Mkapa, Magufuli, Azimia, n.k.

Shule za sekondari nazo zipo nyingi sana provate na public, pia za umoja wa wazazi za laki 4 zipo Meta, Sangu, Ivyumwe, Mbalizi , n.k.

Vyuo Mbeya ni jiji la pili kwakuwa na vyuo vingi, kuna MUST, UDSM - UCC, UDSM - , Mzumbe, TIA, CBE, ADEM, hivyo vya serikali, tukija provate kuna SAUT, TUMAINI, TEKU,n.k. vyuo vya afya na ufundi ni utitiri


Elimu hii imefanya kuwe na wanyakyusa wengi kwenda kujiunga vyuoni na kuwa na chance kubwa sana ya kupata ajira hasa ukizingatia nao pia wana kautamaduni ka kubebana.

Kwenye power nako si haba kumewahi kuwepo na mawaziri wengi tu wa kinyajyusa, Spika wa sasa ni wa huko na hata jeshini kumwewahi kuwepo Mwamunyange ambae nae atakua aliingiza na kupandisha vyeo wengi tu,
Mwakyembe ana digrii 4
 
Kanda ya kaskazini ukiachana na Moshi nako ni maajabu matupu, mikoa ya Kagera, Ukerewe na Mara shule ni changamoto ila watu wana uwezo mkubwa sana kielimu, laiti wangekuwa na system za elimu kama Mbeya basi ingekuwa ni kumpa Simba mabawa.

Ila yote kwa Yote Mnyakyusa kwa ukanda wa kusini kuanzia Mtwara, Lindi, Ruvuma, IIringa, Njombe na Rukwa kawakilisha vema
Bado napata shida kwako mnyakyusa msomi usieelewa kuwa ukerewe sio mkoa bali ni wilaya.hiyo mbeya yako haiko kusini bali ni nyanza za juu kusini.
Ebu jitafakari kwanza ndugu mnyakyusa
 
Naweka facts kwa jinsi zilivyo based on demographics, so hakuna ukabila hapa bali ni demographical facts.

Lets jus admit it they have the southern crown,

Elimu: Kwenye suala la kuelimika katika familia nyingi hili ni suala muhimu sana sana,

Shule za english Medium za kiingereza zipo nyingi mno za Private na hata za serikali za english za laki 2 kuna Mkapa, Magufuli, Azimia, n.k.

Shule za sekondari nazo zipo nyingi sana provate na public, pia za umoja wa wazazi za laki 4 zipo Meta, Sangu, Ivyumwe, Mbalizi , n.k.

Vyuo Mbeya ni jiji la pili kwakuwa na vyuo vingi, kuna MUST, UDSM - UCC, UDSM - , Mzumbe, TIA, CBE, ADEM, hivyo vya serikali, tukija provate kuna SAUT, TUMAINI, TEKU,n.k. vyuo vya afya na ufundi ni utitiri


Elimu hii imefanya kuwe na wanyakyusa wengi kwenda kujiunga vyuoni na kuwa na chance kubwa sana ya kupata ajira hasa ukizingatia nao pia wana kautamaduni ka kubebana.

Kwenye power nako si haba kumewahi kuwepo na mawaziri wengi tu wa kinyajyusa, Spika wa sasa ni wa huko na hata jeshini kumwewahi kuwepo Mwamunyange ambae nae atakua aliingiza na kupandisha vyeo wengi tu,
Yaani unajaribu kutuonyesha jinsi mlivyokuwa na ukabila, kiasi kodi za Watanzania zinakuja kwenu kwa upendeleo. Usituambie kuwa makabila mengine shauri zao kwa kukosa watu wa kupelekewa miradi ya maendeleo ikiwa ni pamoja na ile ya elimu. Yaani baada ya kusaza matokeo ya kodi zetu, sasda mnatutambia. Siku nyingine kuwa mwangalifu na unachoandika, maana watu walikuwa wanalia Wanyakyusa wakabila, majivuno, na wanajipendelea, leo umedhihirisha biala kuombwa ufanye hivyo. NDAGA FIJO.
 
Nitajie Rais Mnyakyusa kwa upande wa Kusini aliewahi kuongoza hii Nchi aliitwa Nani ?

Tuanzie hapo
Angalia power structure sio Kucheki cheo kimoja tu maana hata raisi mchaga hajawahi kuwepo ila si kipimo sahihi cha power yao
 
Umeongea ukweli kabisa. Hata ukifananisha na makabila ya kanda ya ziwa bado wanyaki wako juu. Niko huku mwanza, na asilimia 50 ya population hawajui kusoma wala kuandika, niko kwenye sekta husika so naongea kwa takwimu sio kubahatisha. Magufuli aliijua shida iliyopo kanda ya ziwa upande wa elimu, ndio maana akasema watu wasome bure, ila bado wasukuma hawathamini elimu kabisa.
Wewe unazungumzia wasukuma wakati topic ni wanyakyusa!
Sasa hao wasukuma mbona Vyuoni wamejaa!
Kwenye sekita ya madini,kilimo,ufugaji na biashara wanawakimbiza!
Mnyakyusa amebaki kulingia shule ila kwenye utafutaji Mkinga hamfikii na Msukuma kawaacha mbali!
 
Back
Top Bottom