Hope urassa
JF-Expert Member
- Aug 22, 2017
- 4,230
- 10,650
Marafiki hao wako wapi?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
ngoja nikanunue wino wa kutosha ili nisiishie njianiWoiiii hata mawili,
mimi nko Fasta kama jet
Jf wangeweka voicenote
Yani wangeweka voice humu tungeteseka wenye sauti za baba zetu😂🙌🏾Woiiii hata mawili,
mimi nko Fasta kama jet
Jf wangeweka voicenote
Hvyohvyo sasa ndio sauti zetu😂Yani wangeweka voice humu tungeteseka wenye sauti za baba zetu😂🙌🏾
hapana wasiwahi jaribu huo unyanyasaji aseee🙌🏾😂Hvyohvyo sasa ndio sauti zetu😂
Wale wanaume wanaojifanya wa kike wanakula nauli za watu humu (nilisoma kwenye uzi wa malalamishi na ule uzi ukafutwa chap na mod)mbona chyup ztawadondoka😂😂😂hapana wasiwahi jaribu huo unyanyasaji aseee🙌🏾😂
😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂 Kumbe hii kitu ipo humu jaman,,,basi walete tu tujionee maajabuWale wanaume wanaojifanya wa kike wanakula nauli za watu humu (nilisoma kwenye uzi wa malalamishi na ule uzi ukafutwa chap na mod)mbona chyup ztawadondoka😂😂😂
Mchezo humu kuna watu wapo kimkakati sana😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂 Kumbe hii kitu ipo humu jaman,,,basi walete tu tujionee maajabu
kwaio kuna njemba zinatumia fursa zetu wadada humu sioMchezo humu kuna watu wapo kimkakati sana
Znapenda zingekuwa ke zchuchumae kukojo*kwaio kuna njemba zinatumia fursa zetu wadada humu sio
Hahahaha 😂😂😂😂😂😂😂😂😂 Nmecheka kama mazur vile😂😂😂😂Znapenda zingekuwa ke zchuchumae kukojo*
Yule mtoa mada alikuwa akitafuta mchumba ndo njemba ikaifanya mchumba kwa nlivosoma
Yagangwe yajayo, sweetheart...
Hapa hakuna urafiki, kuna kikundi cha wenye shidaWale washikaji ambao wakinicheki nikiwa na shida hata kama sina mia basi nitatafuta namna ya kusaidia, labda tu ishindikane.
Wengi wakishapata vihela na ka ajira ndio husema hivi...au pesa za majiniNimewahi kukutana na watu wanaosema kuwa hawahitaji watu kwenye maisha yao, yaani hawataki ndugu wala marafiki. Ni sawa kabisa. Kila mtu anaweza kuchagua atakalo kutokana na uzoefu wake na akawa na furaha. Kila mtu ana njia yake na hiyo ni sawa kabisa.