Forrest Gump
JF-Expert Member
- Jul 2, 2021
- 637
- 1,532
Pole mkuu ila pambana.Daah sijui Lini nitajenga nyumba yangu maana hata mzee wangu hajafanikiwa kujenga aisee mjini huku nomah
🤣🤣🤣Daah sijui Lini nitajenga nyumba yangu maana hata mzee wangu hajafanikiwa kujenga aisee mjini huku nomah
MUNGU ni mwema atakusaidia utajenga tu.Kila jambo na wakati wake.Daah sijui Lini nitajenga nyumba yangu maana hata mzee wangu hajafanikiwa kujenga aisee mjini huku nomah
KudosSahiv 24
KudosAisee Mimi Namshukuru MUNGU nilifanikiwa kujenga nikiwa na miaka 28.
Kha!kha!,Sasa ukiwa na familia utaishije??.Kwanza kwanini unataka kujenga nyumba?
Inshaallah kila kitu na wakati mkubwa mungu tuMUNGU ni mwema atakusaidia utajenga tu.Kila jambo na wakati wake.
😁😁 we acha tu iLa hatuwez kufa kwenye nyumba za kupanga iko sku na ss tutawaachia urithi watoto wetu
Kabsa mkuu tunapambana na mungu atatusaidia tu day onePole mkuu ila pambana.
Mi nakuambia kuna watu humu jf ..ahhahhaKha!kha!,Sasa ukiwa na familia utaishije??.