Yesu Anakuja
JF-Expert Member
- Apr 10, 2019
- 12,675
- 25,924
kwakweli at my 40s nina nyumba 3 na viwanja viwili. ni jambo la kumshukuru Mungu, na vyote vya halali hakuna kilichopatikana kwa hela haramu hata kimoja.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hongera kaka mkubwa...kwakweli at my 40s nina nyumba 3 na viwanja viwili. ni jambo la kumshukuru Mungu, na vyote vya halali hakuna kilichopatikana kwa hela haramu hata kimoja.
Me nimeona average hapo ni early 30's siyo 20's.. Of which nafkiri ni sawaDuh naona wengi wamejenga wakiwa na early 20s JF watu wako vizuri!
Hata Mimi sijasema sio Sawa. Watu JF wako vizuri.Me nimeona average hapo ni early 30's siyo 20's.. Of which nafkiri ni sawa
Bongo mentallity..Sijui lengo la Uzi wako unataka ujifunze Nini mwishowe utatuuliza ulianza ukubwa ukiwa na miaka mingapi ama kukutanisha vya mkojo naona ama
HaahaaahaaNiwaibie siri vijana
Waliojenga nyumba wala hawaishi maisha mazuri kupitia hizo nyumba zao.
Ukiwa na pesa unaweza kumtuma vocha dukani mama mwenye nyumba na baba mwenye nyumba anashingilia
[emoji849][emoji849]21 nyumba ya kwanza,2011, 28 nyumba ya pili, 29 nyumba ya tatu.
Oya,, kama mimi yani28..29 nikahamia kwangu nikakaa miezi 4 nikarudi kupanga kati coz nilihisi nipo gerezani.
kampani ilikata, teki nikawa nalisikia tu.
ukichelewa hadi saa 3 usiku unakuta dalili za uporwaji getini.
nikaona isiwe shida nikarudi kati kwa wana.
kujenga sio furaha ya mwisho
37Tunatofautiana uwezo, nyenzo na vigezo, hivi hupelekea kukimbizana na muda katika hitaji la kumiliki nyumba zetu binafsi.
Lakini richa ya muda na umri, kila mtu atapambana hadi mwisho amiliki ngome yake.
So mwana jamii, katika umri gani ulifanikisha lengo la kujenga nyumba yako?
Be honest.
Ulijengea wapi huko? [emoji12][emoji1787][emoji1787][emoji1787]28..29 nikahamia kwangu nikakaa miezi 4 nikarudi kupanga kati coz nilihisi nipo gerezani.
kampani ilikata, teki nikawa nalisikia tu.
ukichelewa hadi saa 3 usiku unakuta dalili za uporwaji getini.
nikaona isiwe shida nikarudi kati kwa wana.
kujenga sio furaha ya mwisho