stephot
JF-Expert Member
- Mar 1, 2012
- 17,216
- 26,225
Kumbe tuko wengi,tuendelee kupambana tu mkuu,Mungu hajawahi kushindwa jambo...Daah sijui Lini nitajenga nyumba yangu maana hata mzee wangu hajafanikiwa kujenga aisee mjini huku nomah
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kumbe tuko wengi,tuendelee kupambana tu mkuu,Mungu hajawahi kushindwa jambo...Daah sijui Lini nitajenga nyumba yangu maana hata mzee wangu hajafanikiwa kujenga aisee mjini huku nomah
Watu wanajenga na bado hayo yote wanafanyaNijenge? Ili iweje wakati Duniani tumekuja kutimiza vitu vitatu tu
1.KULA
kwa maana ya nyama china Zote, savanna n.k atakula nani,
2.KULALA
yaani wewe ujenge na Mimi nijenge nani atampangisha mwenzie,hizi apartments & lodge hapa mjini atakaa nani
3.KUDINYANA
Yaani Pisi Kali za town niziache ukiuliza najenga, najenga Nini, nyumba anayo Kobe Tena anatembea nayo sembuse wewe unayeiacha
Akili kichwani[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Siyo kwa kiwango Cha kimataifaWatu wanajenga na bado hayo yote wanafanya
KudosThanks lord nikiwa 29 tu nilijenga
Mwananchi mwenzangu, shikamo kwangu si tatizo, nitakupa hiyo mpaka useme mbona unanisalimia mara mbili mbili😁😁2013 unamaliza form 4. 🤔
Shikamoo yangu uanze kuiandaa kwa kweli. 😂😂😂
Jeuri hiyo ya kuitoa nyumba iliyo kichwani sinaaaa. Yani kodi yenyewe inanifukuza balaaa, uwanja sina hahahaaa😁😁, nacheka kama mzr ila moyon maumivuSaafi sana.
Ndo ujipange ujenge ingine japo mjini hadi ujenge nyumba ya kueleweka yapasa ujipange hasaa.
Mungu wangu..pole mkuu, daah...Daah nimepambanaa kwa jasho na dam nimejenga..ile namalizia kuweka geti tu mke ananipeleka bakwata et tuachane tugawane nyumba daah...na hawa watoto wetu wawili tuwafanyaje?..kumbe alikua kwa maslahi tu sio mapenz
Eewaaaa!!!Mwananchi mwenzangu, shikamo kwangu si tatizo, nitakupa hiyo mpaka useme mbona unanisalimia mara mbili mbili😁😁
Duuh!! Usikate tamaa mdogo mdogo kikubwa nia.Jeuri hiyo ya kuitoa nyumba iliyo kichwani sinaaaa. Yani kodi yenyewe inanifukuza balaaa, uwanja sina hahahaaa😁😁, nacheka kama mzr ila moyon maumivu
Inawezekana kipndi upo kwenye 20s nyumba haikua kipaumbele chako wala hukuifikiria na ulienjoy maisha yako(Hicho ndio kikubwa)Nakaribia 40 na bado! kila nikiangalia mbele naona kama kuna kama mitatu hivi kabla ya 'kuanza zoezi'. Nikiwaona wa 20's waliofanikisha, nakaribia kukimbia wazimu......najiona nimekosa mipango, lofa, mzembe n.k.
Big AMENDuuh!! Usikate tamaa mdogo mdogo kikubwa nia.
Basi nitaanza kule kwenye uzi wetu pendwa wa Yanga😂Eewaaaa!!!
Hahaha,hapo sawa.Anamaanisha banda
Pole mkuuMie nilitamani sana niitwe mama mwenye nyumba kabla ya 30 au nikiwa 30. Bado mwaka mmoja nifike umri huo na kiwanja kipo ilikua mwezi huu tuwe tunakimbizana na ujenz mwenzangu kanigeuka hataki tena kujenga na pesa ametunza yeye.
Sina hamu hapa nmekua mpolee mipango yote imeyeyuka.
Naona avatar ya Dr.zakir naiki.Nikumbushe tu;
thamani ya kiwanja Dar ni nyumba kadhaa mikoani,so wa mikoani hesabuni idadi ya nyumba zenu kwa staha kidogo![]()
![]()