harder king
JF-Expert Member
- Jan 21, 2017
- 3,970
- 6,907
26 japo haikua nyumba ya ndoto yangu kwa Sasa naishi kwenye nyumba ya ndoto yangu Mungu ni mwema sana.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Aisee lakini ni kweli ila Cha mhimu umejenga amna Raha Kama kujichanganya majeton na wana28..29 nikahamia kwangu nikakaa miezi 4 nikarudi kupanga kati coz nilihisi nipo gerezani.
kampani ilikata, teki nikawa nalisikia tu.
ukichelewa hadi saa 3 usiku unakuta dalili za uporwaji getini.
nikaona isiwe shida nikarudi kati kwa wana.
kujenga sio furaha ya mwisho
Pole mamaa...nakutabiria before 35. Theres always another day.Mie nilitamani sana niitwe mama mwenye nyumba kabla ya 30 au nikiwa 30. Bado mwaka mmoja nifike umri huo na kiwanja kipo ilikua mwezi huu tuwe tunakimbizana na ujenz mwenzangu kanigeuka hataki tena kujenga na pesa ametunza yeye.
Sina hamu hapa nmekua mpolee mipango yote imeyeyuka.
Dah pole mwamba ukiweza we simama kwenye msimamo hyo ni nyumba ya watotoDaah nimepambanaa kwa jasho na dam nimejenga..ile namalizia kuweka geti tu mke ananipeleka bakwata et tuachane tugawane nyumba daah...na hawa watoto wetu wawili tuwafanyaje?..kumbe alikua kwa maslahi tu sio mapenz
Watu wa jf😂Hata Mimi sijasema sio Sawa. Watu JF wako vizuri.
Mzee mwenzangu leo tunatokaje? Au jukwaa letu pendwa halisomeki??Daaa wenzangu sijui waliwezaje kujenga na miaka 20.
Mimi niko 25 bado nakomaa kwenye upangaji na sioni dalili hata za kununua kiwanja
Ndugu now nimebadilika sana[emoji23][emoji23][emoji23]Mzee mwenzangu leo tunatokaje? Au jukwaa letu pendwa halisomeki??
Unamshukuru Mungu au shetani aliyekupa ajira umtumikie kuwachapa wengine huko jeshini, askari ndo ajira yenye pesa nchi hii.Aisee Mimi Namshukuru MUNGU nilifanikiwa kujenga nikiwa na miaka 28.
Mkuu, shida Nini??,Hivi kujenga ni hadi uwe ktk ajira ya Serikali??.Unamshukuru Mungu au shetani aliyekupa ajira umtumikie kuwachapa wengine huko jeshini, askari ndo ajira yenye pesa nchi hii.
Ahsante mkuuPole mkuu
Ameen Mkuu sijakata tamaaPole mamaa...nakutabiria before 35. Theres always another day.
sawa kiongozi, ahsante sana!Inawezekana kipndi upo kwenye 20s nyumba haikua kipaumbele chako wala hukuifikiria na ulienjoy maisha yako(Hicho ndio kikubwa)
Na kama kwa sasa nyumba ni jambo la muhimu sana kwako jitahidi ufanikishe achana kabisa na yaliyopita wala kujilinganisha.
shukrani sana kiongozi kwa kunipa moyo!Hapana mkuu, wewe sio lofa, wewe ni fighter ndio maana umekaribia kujeng yako. Kuwahi sio kufika.
Kwanza kwanini unataka kujenga nyumba?
Eti niache kununua Chips na Bia halafu nikanunue Mchanga na Mawe.
Kumbukeni hapa Duniani tunapita
Mbona mnachonganisha vijana wanaoishi kwao[emoji23][emoji23]
Duh naona wengi wamejenga wakiwa na early 20s JF watu wako vizuri!
Wakati duniani tunapita tu?! Wanataka kujenga njiani?!Kwanza kwanini unataka kujenga nyumba?
Wakati duniani tunapita tu?! Wanataka kujenga njiani?!