Katika umri gani ulifanikisha lengo la kujenga nyumba yako?

Katika umri gani ulifanikisha lengo la kujenga nyumba yako?

26 japo haikua nyumba ya ndoto yangu kwa Sasa naishi kwenye nyumba ya ndoto yangu Mungu ni mwema sana.
 
28..29 nikahamia kwangu nikakaa miezi 4 nikarudi kupanga kati coz nilihisi nipo gerezani.
kampani ilikata, teki nikawa nalisikia tu.
ukichelewa hadi saa 3 usiku unakuta dalili za uporwaji getini.
nikaona isiwe shida nikarudi kati kwa wana.
kujenga sio furaha ya mwisho
Aisee lakini ni kweli ila Cha mhimu umejenga amna Raha Kama kujichanganya majeton na wana
 
Mie nilitamani sana niitwe mama mwenye nyumba kabla ya 30 au nikiwa 30. Bado mwaka mmoja nifike umri huo na kiwanja kipo ilikua mwezi huu tuwe tunakimbizana na ujenz mwenzangu kanigeuka hataki tena kujenga na pesa ametunza yeye.
Sina hamu hapa nmekua mpolee mipango yote imeyeyuka.
Pole mamaa...nakutabiria before 35. Theres always another day.
 
Daah nimepambanaa kwa jasho na dam nimejenga..ile namalizia kuweka geti tu mke ananipeleka bakwata et tuachane tugawane nyumba daah...na hawa watoto wetu wawili tuwafanyaje?..kumbe alikua kwa maslahi tu sio mapenz
Dah pole mwamba ukiweza we simama kwenye msimamo hyo ni nyumba ya watoto
 
Inawezekana kipndi upo kwenye 20s nyumba haikua kipaumbele chako wala hukuifikiria na ulienjoy maisha yako(Hicho ndio kikubwa)
Na kama kwa sasa nyumba ni jambo la muhimu sana kwako jitahidi ufanikishe achana kabisa na yaliyopita wala kujilinganisha.
sawa kiongozi, ahsante sana!
 
Back
Top Bottom