Papushikashi
JF-Expert Member
- Feb 28, 2016
- 10,963
- 13,287
[emoji3][emoji3][emoji3]Eti niache kununua Chips na Bia halafu nikanunue Mchanga na Mawe.
Kumbukeni hapa Duniani tunapita
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
[emoji3][emoji3][emoji3]Eti niache kununua Chips na Bia halafu nikanunue Mchanga na Mawe.
Kumbukeni hapa Duniani tunapita
Waache kabisa hii tabia[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
😁😁🤡Daah sijui Lini nitajenga nyumba yangu maana hata mzee wangu hajafanikiwa kujenga aisee mjini huku nomah
Utatusua boss.. pambana nduguMe nna miaka 40 mpaka Sasa hata dalili sizioni
Big up man n preyers to uAlhamdulillah nw nina miaka 25 n teyr nimejenga japo sjimalz n natuamin mwakn nioe kbs. Dua zenu muhimu sna wana JF [emoji1364]
Ko unataka watu wote wakae Dar ,acha upimbiNikumbushe tu;
thamani ya kiwanja Dar ni nyumba kadhaa mikoani,so wa mikoani hesabuni idadi ya nyumba zenu kwa staha kidogo[emoji38][emoji1787]
Ndiyo Ukweli WenyeweEti niache kununua Chips na Bia halafu nikanunue Mchanga na Mawe.
Kumbukeni hapa Duniani tunapita
Waoooooooooh.. ....ya kwanza nikiwa na miaka 18 ya matope kijijini moshi,ya pili 23 arusha town nimeweka wapangaji,ya tatu 26 arusha nimeweka wapangaji,ya nne 29 nimejengea wazazi wangu,ya tano 31 fremu za maduka pamoja na nyumba nayokaa kwa sasa chuga
mimi mangi kwetu usipokuwa na ela unatengwaWaoooooooooh.. ....
I see.mimi mangi kwetu usipokuwa na ela unatengwa
mtu anadhani kujenga mpaka uwe na kazi nzuri hapana mimi nilivyoanza mungu anajuaI see.
Nyumba ya kuishi umejenga wapimtu anadhani kujenga mpaka uwe na kazi nzuri hapana mimi nilivyoanza mungu anajua
uswahilini sinoni chugaNyumba ya kuishi umejenga wapi
Hivi kwanini kupata fremu ya biaashara chuga ni ngumu sana na bei ni juu sanaaauswahilini sinoni chuga