Katika umri wa miaka 55 tayari Magufuli alikuwa ameshakuwa Rais wa Tanzania na katika umri huo huo Tundu Lisu ni chawa wa Samia na mtumwa wa Mbowe,

Katika umri wa miaka 55 tayari Magufuli alikuwa ameshakuwa Rais wa Tanzania na katika umri huo huo Tundu Lisu ni chawa wa Samia na mtumwa wa Mbowe,

Nigrastratatract nerve

JF-Expert Member
Joined
Sep 4, 2019
Posts
1,521
Reaction score
4,381
Nimeanza kumfuatilia Tundu Lisu nimegundua kuwa amezeeka ni mzee WA miaka 56 na katika umri huu akiwa babu bado ana aikli za kitoto kabisa yaani mtu mzima lakini muigizaji balaa hafu ukiwalinganisha na anayetembelea nyota yake hawafanani hata kidogo kwa umri huo Tundu Lisu hajajenga hata Choo lkn kwa umri huo huo Magufuli alikuwa ameitumikia serikali kwa kiwango kikubwa na alikuwa bulldozer wa Mabarabara
 
Umri mkubwa ndio wanafaa wapewe uwongozi mfano marekani n.k..umri mdogo ni uhuni,ujana mwingi,maamuzi ya kukurupuka ,dharau,umalaya..na umuch know na kiburi..Marekani yenyewe inamrudisha Trump..angalia umri wa Rais china..Russia n.k...tunaka viongozi waliokomoo akili,wenye hekima za juu,busara na wasiokuwa na tamaa na ujana mwingi
 
Nimeanza kumfuatilia Tundu Lisu nimegundua kuwa amezeeka ni mzee WA miaka 56 na katika umri huu akiwa babu bado ana aikli za kitoto kabisa yaani mtu mzima lakini muigizaji balaa hafu ukiwalinganisha na anayetembelea nyota yake hawafanani hata kidogo kwa umri huo Tundu Lisu hajajenga hata Choo lkn kwa umri huo huo Magufuli alikuwa ameitumikia serikali kwa kiwango kikubwa na alikuwa bulldozer wa Mabarabara
Nigrastratatract nerve
Hivi nyinyi chawa wa mama, huwa mnafikiria Kwa kutumia "makalio" yenu?
 
Nimeanza kumfuatilia Tundu Lisu nimegundua kuwa amezeeka ni mzee WA miaka 56 na katika umri huu akiwa babu bado ana aikli za kitoto kabisa yaani mtu mzima lakini muigizaji balaa hafu ukiwalinganisha na anayetembelea nyota yake hawafanani hata kidogo kwa umri huo Tundu Lisu hajajenga hata Choo lkn kwa umri huo huo Magufuli alikuwa ameitumikia serikali kwa kiwango kikubwa na alikuwa bulldozer wa Mabarabara

Kuwa rais wa Tanzania nayo ni sifa? hii shit hole country unaona ni ya maana sana?
 
Nimeanza kumfuatilia Tundu Lisu nimegundua kuwa amezeeka ni mzee WA miaka 56 na katika umri huu akiwa babu bado ana aikli za kitoto kabisa yaani mtu mzima lakini muigizaji balaa hafu ukiwalinganisha na anayetembelea nyota yake hawafanani hata kidogo kwa umri huo Tundu Lisu hajajenga hata Choo lkn kwa umri huo huo Magufuli alikuwa ameitumikia serikali kwa kiwango kikubwa na alikuwa bulldozer wa Mabarabara
Kuna wale jamaa watakuja toa povu la grade A ila ulichosema ndio ukweli..
 
Kuwa rais wa Tanzania nayo ni sifa? hii shit hole country unaona ni ya maana sana?
Povu lazima litoke matundu yote maana hamjazoea bado ukweli.. hili pocu ungefua nalo magwanda ya pale ufipa..
 
Nimeanza kumfuatilia Tundu Lisu nimegundua kuwa amezeeka ni mzee WA miaka 56 na katika umri huu akiwa babu bado ana aikli za kitoto kabisa yaani mtu mzima lakini muigizaji balaa hafu ukiwalinganisha na anayetembelea nyota yake hawafanani hata kidogo kwa umri huo Tundu Lisu hajajenga hata Choo lkn kwa umri huo huo Magufuli alikuwa ameitumikia serikali kwa kiwango kikubwa na alikuwa bulldozer wa Mabarabara
Magufuli angekuwa hai angekuwa ameshakuzibua Mtaro
 
Nimeanza kumfuatilia Tundu Lisu nimegundua kuwa amezeeka ni mzee WA miaka 56 na katika umri huu akiwa babu bado ana aikli za kitoto kabisa yaani mtu mzima lakini muigizaji balaa hafu ukiwalinganisha na anayetembelea nyota yake hawafanani hata kidogo kwa umri huo Tundu Lisu hajajenga hata Choo lkn kwa umri huo huo Magufuli alikuwa ameitumikia serikali kwa kiwango kikubwa na alikuwa bulldozer wa Mabarabara
Stupid
 
Back
Top Bottom