Mmawia
JF-Expert Member
- Aug 20, 2013
- 122,494
- 96,074
Analipishwa kwa aliyo yatendaNa leo Lissu Yuko zake anakunywa wine huku Jiwe sijui Yuko wapi.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Analipishwa kwa aliyo yatendaNa leo Lissu Yuko zake anakunywa wine huku Jiwe sijui Yuko wapi.
Yule aliyekubali kuitwa Yesu?Nahuo ndio ukweli.
Magufuli hakutaka kuwalambisha asali ndio maana wanamchukia sana.
Magu hakutaka dili la kuihujumu nchi na muhuni yoyote.
Mungu ampe pumziko la milele mtumishi wake mwaminifu JPM.
Alifukuzwa jeshini kwa kukosa elimu huyo atajuwaje umri wake?Wewe mbona husemi umri wako unaokufanya utetee visivyoteteeka?
Habari ndugu,wapo wadau wakisingizia umefanya,kumbe uumzima wa afya na bado unawapigania wanachukua chako mapema 🤔. Karibu sana tulijenge taifa letu pamoja,Nimeanza kumfuatilia Tundu Lisu nimegundua kuwa amezeeka ni mzee WA miaka 56 na katika umri huu akiwa babu bado ana aikli za kitoto kabisa yaani mtu mzima lakini muigizaji balaa hafu ukiwalinganisha na anayetembelea nyota yake hawafanani hata kidogo kwa umri huo Tundu Lisu hajajenga hata Choo lkn kwa umri huo huo Magufuli alikuwa ameitumikia serikali kwa kiwango kikubwa na alikuwa bulldozer wa Mabarabara
Nimeanza kumfuatilia Tundu Lisu nimegundua kuwa amezeeka ni mzee WA miaka 56 na katika umri huu akiwa babu bado ana aikli za kitoto kabisa yaani mtu mzima lakini muigizaji balaa hafu ukiwalinganisha na anayetembelea nyota yake hawafanani hata kidogo kwa umri huo Tundu Lisu hajajenga hata Choo lkn kwa umri huo huo Magufuli alikuwa ameitumikia serikali kwa kiwango kikubwa na alikuwa bulldozer wa Mabarabara
Wewe kama huna watu wa kukusaidia, una muda mfupi sana mpaka kuanza kuokota makopo.Nimeanza kumfuatilia Tundu Lisu nimegundua kuwa amezeeka ni mzee WA miaka 56 na katika umri huu akiwa babu bado ana aikli za kitoto kabisa yaani mtu mzima lakini muigizaji balaa hafu ukiwalinganisha na anayetembelea nyota yake hawafanani hata kidogo kwa umri huo Tundu Lisu hajajenga hata Choo lkn kwa umri huo huo Magufuli alikuwa ameitumikia serikali kwa kiwango kikubwa na alikuwa bulldozer wa Mabarabara
Ulishindwa kumwua kwenye lile shambulio lenu la kishetani, bado unafikiria utampoteza. Lisu atakufa kwa mapenzi ya Mungu, na atashuhudia msiba wako kama alivyoshuhudia wa wauaji wenzako.Tundu Lisu na unene huo atajifia presha
Jamaa ana hasira sana kiasi kwamba anatamani dunia ibadili uelekeo wakeWewe kama huna watu wa kukusaidia, una muda mfupi sana mpaka kuanza kuokota makopo.
Madhara ya kumwaga damu za watu. Huwezi ukawa unafanya kazi za kudhambulia na kuua watu, halafu ubakie salama. Unaweweseka sana. Unamchukia kila mtu unayefikiria atasababisha ufikishwe kwenye vyombo vya sheria. Hilo huna namna ya kukwepa, ni suala la muda tu, ninyi nyote mliokuwa mnateka watu, kutesa na kuua malipo yetu uapo njiani. Rais Samia hana ubua na ninyi wauaji.
AminaUlishindwa kumwua kwenye lile shambulio lenu la kishetani, bado unafikiria utampoteza. Lisu atakufa kwa mapenzi ya Mungu, na atashuhudia msiba wako kama alivyoshuhudia wa wauaji wenzako.
Povu lazima litoke matundu yote maana hamjazoea bado ukweli.. hili pocu ungefua nalo magwanda ya pale ufipa..
Inaweza kuwa uhuni ulipitiliza waTz wakidhani kupiga kelele ni sawa na uwezo wa kuongoza walijikatia tamaa.Nahuo ndio ukweli.
Magufuli hakutaka kuwalambisha asali ndio maana wanamchukia sana.
Magu hakutaka dili la kuihujumu nchi na muhuni yoyote.
Mungu ampe pumziko la milele mtumishi wake mwaminifu JPM.
Nimeanza kumfuatilia Tundu Lisu nimegundua kuwa amezeeka ni mzee WA miaka 56 na katika umri huu akiwa babu bado ana aikli za kitoto kabisa yaani mtu mzima lakini muigizaji balaa hafu ukiwalinganisha na anayetembelea nyota yake hawafanani hata kidogo kwa umri huo Tundu Lisu hajajenga hata Choo lkn kwa umri huo huo Magufuli alikuwa ameitumikia serikali kwa kiwango kikubwa na alikuwa bulldozer wa Mabarabara
Mpumbavu tu wewe, huwezi kufikia hata robo ya alipo lisu.Nimeanza kumfuatilia Tundu Lisu nimegundua kuwa amezeeka ni mzee WA miaka 56 na katika umri huu akiwa babu bado ana aikli za kitoto kabisa yaani mtu mzima lakini muigizaji balaa hafu ukiwalinganisha na anayetembelea nyota yake hawafanani hata kidogo kwa umri huo Tundu Lisu hajajenga hata Choo lkn kwa umri huo huo Magufuli alikuwa ameitumikia serikali kwa kiwango kikubwa na alikuwa bulldozer wa Mabarabara
Magufuli ameharibu taifa letu na maisha yake na uongozi wake umekuwa laana tupu kwa nchi hii na Mungu sio John aliliona hilo mapema na akaamua haki!Nimeanza kumfuatilia Tundu Lisu nimegundua kuwa amezeeka ni mzee WA miaka 56 na katika umri huu akiwa babu bado ana aikli za kitoto kabisa yaani mtu mzima lakini muigizaji balaa hafu ukiwalinganisha na anayetembelea nyota yake hawafanani hata kidogo kwa umri huo Tundu Lisu hajajenga hata Choo lkn kwa umri huo huo Magufuli alikuwa ameitumikia serikali kwa kiwango kikubwa na alikuwa bulldozer wa Mabarabara