Katika umri wa miaka 55 tayari Magufuli alikuwa ameshakuwa Rais wa Tanzania na katika umri huo huo Tundu Lisu ni chawa wa Samia na mtumwa wa Mbowe,

Katika umri wa miaka 55 tayari Magufuli alikuwa ameshakuwa Rais wa Tanzania na katika umri huo huo Tundu Lisu ni chawa wa Samia na mtumwa wa Mbowe,

Nahuo ndio ukweli.

Magufuli hakutaka kuwalambisha asali ndio maana wanamchukia sana.
Magu hakutaka dili la kuihujumu nchi na muhuni yoyote.

Mungu ampe pumziko la milele mtumishi wake mwaminifu JPM.
Yule aliyekubali kuitwa Yesu?
Na kujiita kiongozi wa malaika.
 
Nimeanza kumfuatilia Tundu Lisu nimegundua kuwa amezeeka ni mzee WA miaka 56 na katika umri huu akiwa babu bado ana aikli za kitoto kabisa yaani mtu mzima lakini muigizaji balaa hafu ukiwalinganisha na anayetembelea nyota yake hawafanani hata kidogo kwa umri huo Tundu Lisu hajajenga hata Choo lkn kwa umri huo huo Magufuli alikuwa ameitumikia serikali kwa kiwango kikubwa na alikuwa bulldozer wa Mabarabara
Habari ndugu,wapo wadau wakisingizia umefanya,kumbe uumzima wa afya na bado unawapigania wanachukua chako mapema 🤔. Karibu sana tulijenge taifa letu pamoja,
 
Nimeanza kumfuatilia Tundu Lisu nimegundua kuwa amezeeka ni mzee WA miaka 56 na katika umri huu akiwa babu bado ana aikli za kitoto kabisa yaani mtu mzima lakini muigizaji balaa hafu ukiwalinganisha na anayetembelea nyota yake hawafanani hata kidogo kwa umri huo Tundu Lisu hajajenga hata Choo lkn kwa umri huo huo Magufuli alikuwa ameitumikia serikali kwa kiwango kikubwa na alikuwa bulldozer wa Mabarabara

Feeble minded talk about people always
 
Nimeanza kumfuatilia Tundu Lisu nimegundua kuwa amezeeka ni mzee WA miaka 56 na katika umri huu akiwa babu bado ana aikli za kitoto kabisa yaani mtu mzima lakini muigizaji balaa hafu ukiwalinganisha na anayetembelea nyota yake hawafanani hata kidogo kwa umri huo Tundu Lisu hajajenga hata Choo lkn kwa umri huo huo Magufuli alikuwa ameitumikia serikali kwa kiwango kikubwa na alikuwa bulldozer wa Mabarabara
Wewe kama huna watu wa kukusaidia, una muda mfupi sana mpaka kuanza kuokota makopo.

Madhara ya kumwaga damu za watu. Huwezi ukawa unafanya kazi za kudhambulia na kuua watu, halafu ubakie salama. Unaweweseka sana. Unamchukia kila mtu unayefikiria atasababisha ufikishwe kwenye vyombo vya sheria. Hilo huna namna ya kukwepa, ni suala la muda tu, ninyi nyote mliokuwa mnateka watu, kutesa na kuua malipo yetu uapo njiani. Rais Samia hana ubua na ninyi wauaji.
 
Tundu Lisu na unene huo atajifia presha
Ulishindwa kumwua kwenye lile shambulio lenu la kishetani, bado unafikiria utampoteza. Lisu atakufa kwa mapenzi ya Mungu, na atashuhudia msiba wako kama alivyoshuhudia wa wauaji wenzako.
 
Wewe kama huna watu wa kukusaidia, una muda mfupi sana mpaka kuanza kuokota makopo.

Madhara ya kumwaga damu za watu. Huwezi ukawa unafanya kazi za kudhambulia na kuua watu, halafu ubakie salama. Unaweweseka sana. Unamchukia kila mtu unayefikiria atasababisha ufikishwe kwenye vyombo vya sheria. Hilo huna namna ya kukwepa, ni suala la muda tu, ninyi nyote mliokuwa mnateka watu, kutesa na kuua malipo yetu uapo njiani. Rais Samia hana ubua na ninyi wauaji.
Jamaa ana hasira sana kiasi kwamba anatamani dunia ibadili uelekeo wake
 
Ulishindwa kumwua kwenye lile shambulio lenu la kishetani, bado unafikiria utampoteza. Lisu atakufa kwa mapenzi ya Mungu, na atashuhudia msiba wako kama alivyoshuhudia wa wauaji wenzako.
Amina
 
Povu lazima litoke matundu yote maana hamjazoea bado ukweli.. hili pocu ungefua nalo magwanda ya pale ufipa..

Ukweli wa kusifia mtu mwenye miaka 55 kuwa rais wa nchi masikini, huku waziri mkuu wa UK ana miaka 42 na anaongoza bonge la nchi tajiri, tena yuko madarakani bila wizi wa kura.
 
Nahuo ndio ukweli.

Magufuli hakutaka kuwalambisha asali ndio maana wanamchukia sana.
Magu hakutaka dili la kuihujumu nchi na muhuni yoyote.

Mungu ampe pumziko la milele mtumishi wake mwaminifu JPM.
Inaweza kuwa uhuni ulipitiliza waTz wakidhani kupiga kelele ni sawa na uwezo wa kuongoza walijikatia tamaa.

Kwasasa, ni bora tuwe na utaratibu wa kuwa na raisi wa kukodi, kutoka nje ya mipaka, hawa waliopo, mwisho wao uwe u-kiranja mashuleni huko.
 
Nimeanza kumfuatilia Tundu Lisu nimegundua kuwa amezeeka ni mzee WA miaka 56 na katika umri huu akiwa babu bado ana aikli za kitoto kabisa yaani mtu mzima lakini muigizaji balaa hafu ukiwalinganisha na anayetembelea nyota yake hawafanani hata kidogo kwa umri huo Tundu Lisu hajajenga hata Choo lkn kwa umri huo huo Magufuli alikuwa ameitumikia serikali kwa kiwango kikubwa na alikuwa bulldozer wa Mabarabara

..Magufuli alibebwa na CCM.

..Je, Magufuli angekuwa ktk vyama vya upinzani angejulikana na kuwa na ushawishi kama Tundu Lissu?
 
Nimeanza kumfuatilia Tundu Lisu nimegundua kuwa amezeeka ni mzee WA miaka 56 na katika umri huu akiwa babu bado ana aikli za kitoto kabisa yaani mtu mzima lakini muigizaji balaa hafu ukiwalinganisha na anayetembelea nyota yake hawafanani hata kidogo kwa umri huo Tundu Lisu hajajenga hata Choo lkn kwa umri huo huo Magufuli alikuwa ameitumikia serikali kwa kiwango kikubwa na alikuwa bulldozer wa Mabarabara
Mpumbavu tu wewe, huwezi kufikia hata robo ya alipo lisu.
We bwabwaja tu
 
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1732][emoji1732][emoji1732][emoji1732][emoji1732]
 
Nimeanza kumfuatilia Tundu Lisu nimegundua kuwa amezeeka ni mzee WA miaka 56 na katika umri huu akiwa babu bado ana aikli za kitoto kabisa yaani mtu mzima lakini muigizaji balaa hafu ukiwalinganisha na anayetembelea nyota yake hawafanani hata kidogo kwa umri huo Tundu Lisu hajajenga hata Choo lkn kwa umri huo huo Magufuli alikuwa ameitumikia serikali kwa kiwango kikubwa na alikuwa bulldozer wa Mabarabara
Magufuli ameharibu taifa letu na maisha yake na uongozi wake umekuwa laana tupu kwa nchi hii na Mungu sio John aliliona hilo mapema na akaamua haki!
 
Back
Top Bottom