Katika uongozi ukiwatumikia wananchi kikwelii utapendwa tu

Katika uongozi ukiwatumikia wananchi kikwelii utapendwa tu

Meneja Wa Makampuni

JF-Expert Member
Joined
Jul 7, 2020
Posts
7,899
Reaction score
10,415
Mambo ni magumu sana,
Katika uongozi mambo ni tofauti sana.
Kiongozi unaongoza watu, watu wote wanakuangalia wewe.

Hivyo ndugu yangu ukitaka kupendwa na hao watu wekeza akili yako kwao.

Hata ungekuwa na utajiri kiasi gani wananchi hawawezi kukupenda kama huwatumikii.

Hiyo ndio kanuni, ukiwapa wananchi huduma zao watakupenda tu hata kama huwapi pesa.
 
Viongozi wote unaowaona wewe ni wazuri au wabaya, wote hawajali kupendwa Wala kuchukiwa.

Ndio maana nchi zilizooendelea zilijenga katiba imara na kugawanya mamlaka Ili utashi binafsi wa kiongozi kwenye masuala ya nchi uwe mdogo. Rais Kwa nchi zilizoendelea mambo ambayo anaweza akaamua Kwa utashi wake kikatiba ni Yana kikomo,Kuna level hawezi kufika bila maamuzi ya wengine. Tofauti na katiba za nchi nyingine zinazoendelea.

Anyway katiba sio solution sababu hakuna mtanzania ambae yupo tayari kuifuata kishazoeshwa njia nyengine za uongozi
 
ama hakika uongozi ni watu!
1706463347347.jpg
 
Back
Top Bottom