Katika vipindi vya mafanikio ndiyo unabidi kuhakikisha hausaidii mtu ili kulinda ukwasi wako

Katika vipindi vya mafanikio ndiyo unabidi kuhakikisha hausaidii mtu ili kulinda ukwasi wako

DR HAYA LAND

JF-Expert Member
Joined
Dec 26, 2017
Posts
23,928
Reaction score
63,499
Hakuna kitu kibaya kama umaskini, unapoona umefanikiwa kupata pesa hakikisha haumsadii mtu, hasa wanawake. Mimi nawashangaa hawa wasiyo na kazi mnapiga mchongo mnagawana labda 800 USD halafu yeye ya kwake anawekeza katika uchi.

Siku chache anaanza kutibu UTI mara Syphilis na Gono. Tujifunze roho mbaya wana jukwaa. Tangu nimejifunza roho mbaya akaunti Inasoma vizuri pia. Naona taa ya kijani katika mambo mengi.

Mtoto wa kike akikuomba mwambie afanye kazi au mpe hata mtaji apambane. Kumpa mtu pesa bure ndiyo mwanzo anguko lako.

Saidia watu sahihi tu.
 
Watakuja kukwambia fahari ya mwanaume Ni kumhudumia mwanamke wake.
 
Kadri ninavyosaidia wenye uhitaji wa kweli ndivyo ninavyozidi kupata riziki,

Ni upi ufahari wa kua na milioni 5 bank wakati mtoto wa mjomba anko hana shati la shule? Itakupungukia nini? Wema hauozi, kama hauta kufaa wewe utamfaa mwanao au kizazi chako.
Kikubwa ni kujua pale ulipo na uwezo wa kusaidia na pale ambapo uwezo wako umeishia. Sijawahi kujuta kumsaidia mtu mwenye shida.

Kitu kingine kama hujui , ukimsaidia mtu akatatua shida yake, kuna raha na amani ya moyo unaipata ambayo yazidi utamu wa chochote kila unachoona kinaleta furaha.
 
Kadri ninavyosaidia wenye uhitaji wa kweli ndivyo ninavyozidi kupata riziki,

Ni upi ufahari wa kua na milioni 5 bank wakati mtoto wa mjomba anko hana shati la shule? Itakupungukia nini? Wema hauozi, kama hauta kufaa wewe utamfaa mwanao au kizazi chako.
Kikubwa ni kujua pale ulipo na uwezo wa kusaidia na pale ambapo uwezo wako umeishia. Sijawahi kujuta kumsaidia mtu mwenye shida.

Kitu kingine kama hujui , ukimsaidia mtu akatatua shida yake, kuna raha na amani ya moyo unaipata ambayo yazidi utamu wa chochote kila unachoona kinaleta furaha.
Nahisi hujamuelewa mtoa mada ametoa na mifano hapo inayoonyesha kuwasaidia watu wasio na umuhimu sana
 
Unaongea tu wewe mbuzi shida haziishi jaribu kuna analyse kwamba umewalenga
Wanawake tupu au hadi ndugu wa karibu???
 
Nahisi hujamuelewa mtoa mada ametoa na mifano hapo inayoonyesha kuwasaidia watu wasio na umuhimu sana
"Tujifunze roho mbaya wana jukwaa. Tangu nimejifunza roho mbaya akaunti Inasoma vizuri pia. Naona taa ya kijani katika mambo mengi." Kipi kingine?
 
Kadri ninavyosaidia wenye uhitaji wa kweli ndivyo ninavyozidi kupata riziki,

Ni upi ufahari wa kua na milioni 5 bank wakati mtoto wa mjomba anko hana shati la shule? Itakupungukia nini? Wema hauozi, kama hauta kufaa wewe utamfaa mwanao au kizazi chako.
Kikubwa ni kujua pale ulipo na uwezo wa kusaidia na pale ambapo uwezo wako umeishia. Sijawahi kujuta kumsaidia mtu mwenye shida.

Kitu kingine kama hujui , ukimsaidia mtu akatatua shida yake, kuna raha na amani ya moyo unaipata ambayo yazidi utamu wa chochote kila unachoona kinaleta furaha.
Tuko pamoja.
 
Back
Top Bottom