Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hadithi za abunuasi hizoNebkandneza, Mfalme wa Babeli alifanywa hayawani akaishi polini kama adhabu, utafiti wako ungekuwa kweli basi huyu mfalme ange "enjoy" hayo maisha ya polini na angelalamika kurudishwa ubinadamuni.
Haijalishi mkuu.Hadithi za abunuasi hizo
Mimi nadhani wanyama wanateseka zaidi kwakuwa wanafugwa mwisho wa siku wanachinjwa huku wanajiona wanavyokufaKatika viumbe vyote kiumbe kinachoteseka sana ni ' BINADAMU' je umejiuliza kwanini?
Sababu kubwa ni kuwa binadamu ndo kiumbe ambacho hakina akili .
Ebu fikiria MTU anaumia ,anateseka , anakuwa mwizi , ili tu apate vitu ambavyo kavitengeneza binadamu mwenzake .
Thibitisha uwepo wa MunguHaijalishi mkuu.
Biblia inajibu maswali mengi sana yanayochokonoa ukuu na hekima ya Mungu Muumba wa vyote.
Vp kuhusu South Sudan, Kwa M23, Gaza, Ukraine, wanatofauti na swala au kasongo,,,Binaadamu anateseka? Muulize swala au ngiri hapo porini anavyoishi kwa machale akijisahau tu anakuwa chakula cha simba au chui
Nimeona kazi zake.Thibitisha uwepo wa Mungu
Siyo kweli, ni kwamba hana thamani ukilinganisha na mali.Kwa sababu ana akili na reasoning
South Sudan wanaishi maisha mazuri kuliko wabongo. Ukifika kule v8 na gwagon ndo tax. Hela ya mafuta imetapakaa kila mahala. Kwenye nchi ya S. Sudan kuishi kule inabidi uwe lion.Vp kuhusu South Sudan, Kwa M23, Gaza, Ukraine, wanatofauti na swala au kasongo,,,