Katika wanyama wanaoliwa na binadamu ni nguruwe tu ndio wanaofanya ushoga, yaani ukiweka madume ya nguruwe pamoja ni aghalabu kuyaona yakipigana "jicho" madume kwa madume.
Wataalamu wa lishe na chakula (foods and nutritions experts) wanasema " You are what you eat", yaani mtu yupo (kitabia na mienendo) kulingana na vitu anavyokula. Nguruwe (madume) katika miili yao wanacho kitu kinachowachochea kupenda kupiga na kupigwa "jicho" kwa minajili hiyo ukila nyama yake kwa muda mrefu mtu unaweza/utaambukizwa tabia ya kupenda kupigwa au kupiga "jicho" na tabia hiyo ni kama maradhi kwani ikishampata mtu hatoacha madhali ataendelea kula kitimoto.
Sina maana wote wapigwao na wapiga "jicho" ni walaji wa kiti moto, laa hasha, Wengi wao ni walaji.
Katika wanyama wote mnyama aliyekuwa karibu sana na binadamu mifumo ya chakula na matumizi ya lishe katika mifumo ya chembe hai ni nguruwe ndiye tunashabihiana naye sana na ndiyo maana leo wanasayansi wa tiba wanachukua Macho, maini, mafigo na viuongo vingine vya nguruwe kama viuongo mbadala kwa ajili ya wanadamu, pia itoshe tu kusema kwamba kula kitimoto ni KARIBU sana na kula nyama ya mtu kwa sababu nyama ya kiti moto ipo karibu sana na nyama ya mtu kwa muktadha huo.