Katika wanawake 10,wa 5 wanaingiliwa jicho

Katika wanawake 10,wa 5 wanaingiliwa jicho

Katika wanyama wanaoliwa na binadamu ni nguruwe tu ndio wanaofanya ushoga, yaani ukiweka madume ya nguruwe pamoja ni aghalabu kuyaona yakipigana "jicho" madume kwa madume.

Wataalamu wa lishe na chakula (foods and nutritions experts) wanasema " You are what you eat", yaani mtu yupo (kitabia na mienendo) kulingana na vitu anavyokula. Nguruwe (madume) katika miili yao wanacho kitu kinachowachochea kupenda kupiga na kupigwa "jicho" kwa minajili hiyo ukila nyama yake kwa muda mrefu mtu unaweza/utaambukizwa tabia ya kupenda kupigwa au kupiga "jicho" na tabia hiyo ni kama maradhi kwani ikishampata mtu hatoacha madhali ataendelea kula kitimoto.

Sina maana wote wapigwao na wapiga "jicho" ni walaji wa kiti moto, laa hasha, Wengi wao ni walaji.

Katika wanyama wote mnyama aliyekuwa karibu sana na binadamu mifumo ya chakula na matumizi ya lishe katika mifumo ya chembe hai ni nguruwe ndiye tunashabihiana naye sana na ndiyo maana leo wanasayansi wa tiba wanachukua Macho, maini, mafigo na viuongo vingine vya nguruwe kama viuongo mbadala kwa ajili ya wanadamu, pia itoshe tu kusema kwamba kula kitimoto ni KARIBU sana na kula nyama ya mtu kwa sababu nyama ya kiti moto ipo karibu sana na nyama ya mtu kwa muktadha huo.
Kwa hiyo wewe ukila ngombe unakuwa na akili ya ngombe toa ujinga hamna nyama tamu kama kitimoto hatutaacha kuila
 
Kwa hiyo Zanzibar ni walaji wa nguruwe?

Sent using Jamii Forums mobile app



Wewe unayo ajenda binafsi!!, kwani Mashoga waliopo Zanzibar ni Wazanzibari??, lazima ujue kuwa Zanzibar ni mji wa utalii na most likely kuna watu kutoka sehemu mbalimbali za dunia wanakwenda kufanya biashara ya ushoga.

Hata huku bara si mashoga wote ni Watz.

Kifupi ni kwamba Walaji sana wa kitimoto wengi wao ni mashoga (Sodomy), chukua mfano wa huko Amerika na Ulaya ambako kitimoto ni staple food.
 
Kwa hiyo wewe ukila ngombe unakuwa na akili ya ngombe toa ujinga hamna nyama tamu kama kitimoto hatutaacha kuila


Kwani ukila nyama ya kuku utataga yai??😁😁

Lete hoja zenye mantiki, halafu nani amekukataza kula kitimoto??!!, Mimi ninakutahadharisha kuwa unaweza kudevelop USHOGA ukiendelea kula sana kitimoto.
 
Katika wanyama wanaoliwa na binadamu ni nguruwe tu ndio wanaofanya ushoga, yaani ukiweka madume ya nguruwe pamoja ni aghalabu kuyaona yakipigana "jicho" madume kwa madume.

Wataalamu wa lishe na chakula (foods and nutritions experts) wanasema " You are what you eat", yaani mtu yupo (kitabia na mienendo) kulingana na vitu anavyokula. Nguruwe (madume) katika miili yao wanacho kitu kinachowachochea kupenda kupiga na kupigwa "jicho" kwa minajili hiyo ukila nyama yake kwa muda mrefu mtu unaweza/utaambukizwa tabia ya kupenda kupigwa au kupiga "jicho" na tabia hiyo ni kama maradhi kwani ikishampata mtu hatoacha madhali ataendelea kula kitimoto.

Sina maana wote wapigwao na wapiga "jicho" ni walaji wa kiti moto, laa hasha, Wengi wao ni walaji.

Katika wanyama wote mnyama aliyekuwa karibu sana na binadamu mifumo ya chakula na matumizi ya lishe katika mifumo ya chembe hai ni nguruwe ndiye tunashabihiana naye sana na ndiyo maana leo wanasayansi wa tiba wanachukua Macho, maini, mafigo na viuongo vingine vya nguruwe kama viuongo mbadala kwa ajili ya wanadamu, pia itoshe tu kusema kwamba kula kitimoto ni KARIBU sana na kula nyama ya mtu kwa sababu nyama ya kiti moto ipo karibu sana na nyama ya mtu kwa muktadha huo.
Hmmm! waafrika Bwana...Basi kuna watu wangekuwa Maharagwe muda huu.Kuna watu kule Kigoma wangekuwa kama migebuka .Sodoma na Gomaora watakula walikula sana Nguruwe aiseee
 
Kwani ukila nyama ya kuku utataga yai??[emoji16][emoji16]

Lete hoja zenye mantiki, halafu nani amekukataza kula kitimoto??!!, Mimi ninakutahadharisha kuwa unaweza kudevelop USHOGA ukiendelea kula sana kitimoto.
Unajichanganya mkuu hueleweki we sema dini yako imekunyima haki ya utamu basi
 
Wewe unayo ajenda binafsi!!, kwani Mashoga waliopo Zanzibar ni Wazanzibari??, lazima ujue kuwa Zanzibar ni mji wa utalii na most likely kuna watu kutoka sehemu mbalimbali za dunia wanakwenda kufanya biashara ya ushoga.

Hata huku bara si mashoga wote ni Watz.

Kifupi ni kwamba Walaji sana wa kitimoto wengi wao ni mashoga (Sodomy), chukua mfano wa huko Amerika na Ulaya ambako kitimoto ni staple food.
Mkuu Pemba wanakula kitimoto?
 
Tena wanaume wanaofirwa ni wengi hadi aibu, ukiingia website ya tz gay network, yani dume zima ambao huwezi lidhania maybe utakuta lina familia yake na heshima kwenye jamii, linagawa mkund.u bure, na namba zao wanatoa..

Ni bora mara elfu mtoto wangu wa kike afirw.e kuliko mtoto wangu wa kiume, nkisikia mtoto wangu wa kiume anafirw.a namuua Mama Sabrina

Niliwahi kusikia siku moja maongezi ya matajiri fulani wakidai walishafanya starehe zote duniani ikiwemo kif.r.wa
 
Hmmm! waafrika Bwana...Basi kuna watu wangekuwa Maharagwe muda huu.Kuna watu kule Kigoma wangekuwa kama migebuka .Sodoma na Gomaora watakula walikula sana Nguruwe aiseee


Kwani Migebuka na Maharage wanalana "jicho" kama nguruwe??, wewe vipi?!😁😁😁
 
Siku mwanamke wangu akinieleza nimfanyie huo uchoko ndio itakuwa mwisho wetu
Dah.... ndiyo mabadiliko yenyewe hayo tunayoyalilia kila siku [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]

Sent using Beretta ARX 160
 
Dah.... ndiyo mabadiliko yenyewe hayo tunayoyalilia kila siku [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]

Sent using Beretta ARX 160
Mi wacha nibakie nyuma tu, sio kila mabadiliko ya kukimbilia! Thus why i dont rock skinnies although they are on trend!
 
Katika wanyama wanaoliwa na binadamu ni nguruwe tu ndio wanaofanya ushoga, yaani ukiweka madume ya nguruwe pamoja ni aghalabu kuyaona yakipigana "jicho" madume kwa madume.

Wataalamu wa lishe na chakula (foods and nutritions experts) wanasema " You are what you eat", yaani mtu yupo (kitabia na mienendo) kulingana na vitu anavyokula. Nguruwe (madume) katika miili yao wanacho kitu kinachowachochea kupenda kupiga na kupigwa "jicho" kwa minajili hiyo ukila nyama yake kwa muda mrefu mtu unaweza/utaambukizwa tabia ya kupenda kupigwa au kupiga "jicho" na tabia hiyo ni kama maradhi kwani ikishampata mtu hatoacha madhali ataendelea kula kitimoto.

Sina maana wote wapigwao na wapiga "jicho" ni walaji wa kiti moto, laa hasha, Wengi wao ni walaji.

Katika wanyama wote mnyama aliyekuwa karibu sana na binadamu mifumo ya chakula na matumizi ya lishe katika mifumo ya chembe hai ni nguruwe ndiye tunashabihiana naye sana na ndiyo maana leo wanasayansi wa tiba wanachukua Macho, maini, mafigo na viuongo vingine vya nguruwe kama viuongo mbadala kwa ajili ya wanadamu, pia itoshe tu kusema kwamba kula kitimoto ni KARIBU sana na kula nyama ya mtu kwa sababu nyama ya kiti moto ipo karibu sana na nyama ya mtu kwa muktadha huo.
Cha kushangaza uarabuni ambapo haya mambo yameshamiri hawali kitimoto.
 
Mi wacha nibakie nyuma tu, sio kila mabadiliko ya kukimbilia! Thus why i dont rock skinnies although they are on trend!
Dah... Sasa mbona watakula wengine [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]

Sent using Beretta ARX 160
 
Cha kushangaza uarabuni ambapo haya mambo yameshamiri hawali kitimoto.


Huo ni uongo mkubwa sana, mambo ya Ushoga yameshamiri Ulaya na Marekani kwa Wazungu na ndiyo hao Wazungu wanaotupa masharti ya misaada kwa kigezo cha kuwatambua mashoga na huko kwao kuna sheria zinazowatambua wao na haki za Mashoga na ndoa zao na hata viongozi wakubwa na Mapadri wamethibitika kuwa Mashoga, kimsingi ni kwamba Ushoga umeshamiri sana huko Ulaya na Marekani kuliko sehemu yoyote duniani.

Sikatai kwamba Uarabuni au huku Afrika hakuna Mashoga laa hasha bali Ushoga upo zaidi Ulaya, na hii hasa inachangiwa na Ulaji mkubwa wa "Kitimoto".

Ndiyo maana ukisoma Biblia katika kitabu cha Walawi na Ukisoma Qur'an utakuta Mungu kakataza ulaji wa "kitimoto"--- sasa Mungu anaweza kukosea?!??🤔🤔🤔
 
Back
Top Bottom