Katizo la umeme mkoa wa Kilimanjaro

Kwa wa kazi Wa Jiji la Arusha pia
 
Huo mkoa na kukatika umeme [emoji119][emoji119]
Kiiila kukicha matengenezo yasiyokwisha.
 
Haya matengenezo kwa muda wa siku ngapi?
 
TANESCO mko wapi mtoe ufafanuzi, leo nilikuwa Arusha toka saa 3 asubuhi mpaka saa 9 ndio umerejea. Nasikia na kesho pia mtakata.
 
Kwanini wasikate saa sita usiku hadi saa kumi na mbili asubuhi?
 
Umeme umekata tangu sa5 usiku mpaka sasahivi..hakuna umeme.

#MaendeleoHayanaChama
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…