Katizo la umeme mkoa wa Kilimanjaro

Katizo la umeme mkoa wa Kilimanjaro

Kwa wa kazi wa Jiji la Arusha
20220726_104342.jpg
 
Habari za asubuhi wakuu, kwa wananchi wa mkoa wa Kilimanjaro tujiandae leo kutakua na katizo la umeme tokea saa 3 asubuhi hadi saa 9 alasiri.

Lengo ni kufanya marekebisho kwenye line yenye msongo wa KV 400 kutokea Singida hadi Arusha.

Tahadhari usikanyage wala kushika waya uliodondoka chini, toa taarifa kwenye ofisi iliyopo karibu nawe.
Kwa wa kazi Wa Jiji la Arusha pia
20220726_104342.jpg
 
Huo mkoa na kukatika umeme [emoji119][emoji119]
Kiiila kukicha matengenezo yasiyokwisha.
 
Habari za asubuhi wakuu, kwa wananchi wa mkoa wa Kilimanjaro tujiandae leo kutakua na katizo la umeme tokea saa 3 asubuhi hadi saa 9 alasiri.

Lengo ni kufanya marekebisho kwenye line yenye msongo wa KV 400 kutokea Singida hadi Arusha.

Tahadhari usikanyage wala kushika waya uliodondoka chini, toa taarifa kwenye ofisi iliyopo karibu nawe.
Haya matengenezo kwa muda wa siku ngapi?
 
TANESCO mko wapi mtoe ufafanuzi, leo nilikuwa Arusha toka saa 3 asubuhi mpaka saa 9 ndio umerejea. Nasikia na kesho pia mtakata.
 
Habari za asubuhi wakuu, kwa wananchi wa mkoa wa Kilimanjaro tujiandae leo kutakua na katizo la umeme tokea saa 3 asubuhi hadi saa 9 alasiri.

Lengo ni kufanya marekebisho kwenye line yenye msongo wa KV 400 kutokea Singida hadi Arusha.

Tahadhari usikanyage wala kushika waya uliodondoka chini, toa taarifa kwenye ofisi iliyopo karibu nawe.
Kwanini wasikate saa sita usiku hadi saa kumi na mbili asubuhi?
 
Habari za asubuhi wakuu, kwa wananchi wa mkoa wa Kilimanjaro tujiandae leo kutakua na katizo la umeme tokea saa 3 asubuhi hadi saa 9 alasiri.

Lengo ni kufanya marekebisho kwenye line yenye msongo wa KV 400 kutokea Singida hadi Arusha.

Tahadhari usikanyage wala kushika waya uliodondoka chini, toa taarifa kwenye ofisi iliyopo karibu nawe.
Umeme umekata tangu sa5 usiku mpaka sasahivi..hakuna umeme.

#MaendeleoHayanaChama
 
Back
Top Bottom