Katoa mimba yangu naomba msaada wa kisheria

Katoa mimba yangu naomba msaada wa kisheria

Kuna binti alikuwa na ujauzito wangu. Alitarajiwa kujifungua December hii (makadirio yalikuwa tar. 7).

Nimeona muda unazidi kwenda kimya nikauliza akaniambia mimba ilitoka mwezi wa 9. Sina uhakika ilitoka kweli au alitoa.

Nafikiri kwenda mahakamani kuiomba mahakama iombe taarifa kutoka hosp iliyomhudumia (amesema alikwenda hosp ya serikali) ili nijiridhishe kutoka kwa wataalamu waliomuhudumia kama kweli mimba ilitoka au alifanya abortion. Ikiwa alifanya abortion nakusudia kumshitaki.

Naomba msaada wa mawazo yenu nijue namna ya kushughulika na hili swala.
🤣🤣🤣🤣🤣😂
1. Hiyo mimba uliiona au uliambiwa?
2. Kama jibu kuwa hukuiona uliambiwa...umetapeliwa, alitaka umpe matunzo tu, wanawake baadhi kwasasa ni matapeli sana.
Nimesema wanawake (baadhi sio wote)
 
Eti huyu naye ni Mwanaume! Mkuu haupo sawa Upstair kwa uchache wa maelezo yako tu hapo juu. Mwanamke siyo incubator yako ya kwenda kutotoleshea mayai yako, lkn pia inaonyesha dhahiri uwajibikaji wako kama baba ni kipengele.
Huna haja ya kulalamika Oa mke wa ndoa Mzalishe upendavyo
Safi sana mkuu, hivi hawa wapumbavu wanamchukulia mwanamke kama second citizen, mtoto anakua ndani ya mwili wa mwanamke, ni HAKI yake aruhusu au asiruhusu, na next time mtoa hoja tumia condoms au zinakubana?
 
On behalf of "mtoa mada":-

Kwanini asiniambie tu pale tu mimba ilipotoka, hadi asubiri nimuulize, hii ni intended abortion lazima nimfikishe mahamani.
Kama una mkataba peleka mahakamani waka utafsiri kisheria!!
 
Wewe nahisi ulitaka uongeze single mother mwingine baadae watu waanze tuonyeshe kaburi la baba yake
 
Safi sana mkuu, hivi hawa wapumbavu wanamchukulia mwanamke kama second citizen, mtoto anakua ndani ya mwili wa mwanamke, ni HAKI yake aruhusu au asiruhusu, na next time mtoa hoja tumia condoms au zinakubana?

Mfano wa mtu aliye na air-filed scull
 
Eti huyu naye ni Mwanaume! Mkuu haupo sawa Upstair kwa uchache wa maelezo yako tu hapo juu. Mwanamke siyo incubator yako ya kwenda kutotoleshea mayai yako, lkn pia inaonyesha dhahiri uwajibikaji wako kama baba ni kipengele.
Huna haja ya kulalamika Oa mke wa ndoa Mzalishe upendavyo

Hamna hata mmoja humu aliyetaka taarifa zaidi ili aweze kujudge vizuri situation. Wengi mnakurupuka tu kureflect ujinga wenu.
 
Kuna binti alikuwa na ujauzito wangu. Alitarajiwa kujifungua December hii (makadirio yalikuwa tar. 7).

Nimeona muda unazidi kwenda kimya nikauliza akaniambia mimba ilitoka mwezi wa 9. Sina uhakika ilitoka kweli au alitoa.

Nafikiri kwenda mahakamani kuiomba mahakama iombe taarifa kutoka hosp iliyomhudumia (amesema alikwenda hosp ya serikali) ili nijiridhishe kutoka kwa wataalamu waliomuhudumia kama kweli mimba ilitoka au alifanya abortion. Ikiwa alifanya abortion nakusudia kumshitaki.

Naomba msaada wa mawazo yenu nijue namna ya kushughulika na hili swala.
Unajuaje mimba ni yako?
 
Hii nchi inasapoti uzazi wa mpango.

Means inasapoti matumizi ya kondomu.

Means inasapoti abortion
Kuna tofauti kati ya kuzuia na kutoa.

Kondomu ni kwa ajili ya kuzuia, p2 ni kwa ajili ya kuzuia.

Abortion unatoa kitu kilichotungwa tayari.

Sifahamu sheria yetu inasema nini juu ya hili.
 
Kuna binti alikuwa na ujauzito wangu. Alitarajiwa kujifungua December hii (makadirio yalikuwa tar. 7).

Nimeona muda unazidi kwenda kimya nikauliza akaniambia mimba ilitoka mwezi wa 9. Sina uhakika ilitoka kweli au alitoa.

Nafikiri kwenda mahakamani kuiomba mahakama iombe taarifa kutoka hosp iliyomhudumia (amesema alikwenda hosp ya serikali) ili nijiridhishe kutoka kwa wataalamu waliomuhudumia kama kweli mimba ilitoka au alifanya abortion. Ikiwa alifanya abortion nakusudia kumshitaki.

Naomba msaada wa mawazo yenu nijue namna ya kushughulika na hili swala.
Mkuu baba david,
Mbali na yote kwa hili bandiko lako unaonekana ulikuwa irresponsible.
Na kunaonekana hakuna mawasiliano mazuri baina yenu.

Kama alitarajia dec7 leo ni 24th na anasema mimba imetoka mwezi wa 9 hilo ni tatizo.

Kama binti hakuwa mke halali hapo sijaelewa hapo inakuaje.


Thread 'Sheria ya Katazo la Utoaji Mimba Tanzania na uhalisia wa maisha mtaani'
Sheria ya Katazo la Utoaji Mimba Tanzania na uhalisia wa maisha mtaani
 
Back
Top Bottom