johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 97,869
- 171,716
Niliikatia tamaa hii nchi ile siku Mzee Jecha alipochukua fomu ya kugombea urais kule Zanzibar kwa tiketi ya CCM!
wabarikiwa wa tec na bakwata wana tofauti gani?Mambo yakiendelea hivi na iwapo BAKWATA watapigilia msumari wa mwisho basi miswada ya sheria za Uchaguzi itabidi ikafanyiwe marekebisho Makubwa
Hadi sasa Kanisa Moja Takatifu la Mitume na Kanisa la Kiinjili la Kilutheli yameshagoma DED kuwa Wasimamizi wa Uchaguzi
Hata Mbuyu ulianza kama mchicha
Ahsanteni sana π
Hutajawasikia katu.Mambo yakiendelea hivi na iwapo BAKWATA watapigilia msumari wa mwisho basi miswada ya sheria za Uchaguzi itabidi ikafanyiwe marekebisho Makubwa
Hadi sasa Kanisa Moja Takatifu la Mitume na Kanisa la Kiinjili la Kilutheli yameshagoma DED kuwa Wasimamizi wa Uchaguzi
Hata Mbuyu ulianza kama mchicha
Ahsanteni sana π
Ni jambo jemaMambo yakiendelea hivi na iwapo BAKWATA watapigilia msumari wa mwisho basi miswada ya sheria za Uchaguzi itabidi ikafanyiwe marekebisho Makubwa
Hadi sasa Kanisa Moja Takatifu la Mitume na Kanisa la Kiinjili la Kilutheli yameshagoma DED kuwa Wasimamizi wa Uchaguzi
Hata Mbuyu ulianza kama mchicha
Ahsanteni sana π
Wananchi woote na taasisi zote na wadau wa Demokrasia wamewakataa.....kwanini Dr Samia anangangania?Mambo yakiendelea hivi na iwapo BAKWATA watapigilia msumari wa mwisho basi miswada ya sheria za Uchaguzi itabidi ikafanyiwe marekebisho Makubwa
Hadi sasa Kanisa Moja Takatifu la Mitume na Kanisa la Kiinjili la Kilutheli yameshagoma DED kuwa Wasimamizi wa Uchaguzi
Hata Mbuyu ulianza kama mchicha
Ahsanteni sana π
Unalinganisha Bakwata na TEC?wabarikiwa wa tec na bakwata wana tofauti gani?
Napiga tiki KbsaBAKWATA watakuja kuwapinga hao wote, sio wa kuwatumainia kwenye maslahi ya umma.
Hao TEC ni kikundi cha watu wachache hawafiki hamsini, na hawawezi kuwasemea waumini wao, na hawakutumwa wawasemee. Wamekurupuka na makarasi yao tu. Kama waumini waliwatuma, watuonyeshe saini zao kuunga mkono hoja hiyo.Wananchi woote na taasisi zote na wadau wa Demokrasia wamewakataa.....kwanini Dr Samia anangangania?
Wakurugenzi.......Wezi wa Kura πππHao TEC ni kikundi cha watu wachache hawafiki hamsini, na hawawezi kuwasemea waumini wao, na hawakutumwa wawasemee.
Waumini wao wana uhuru wa maoni, na wamekubali wakurugenzi wasimamie uchaguzi.
Sababu yeye na CCM hawaamini katika demokrasia ya ukweli, ushindani wa ukweli.Wananchi woote na taasisi zote na wadau wa Demokrasia wamewakataa.....kwanini Dr Samia anangangania?
Imemnyea.Aisifuye mvua
hawa wapoo opposite, kama unabisha suburi, Govt imeweka mamluki mle ambao wao kazi yao ni ku-neutrize issue kama hizi ambazo zipo opposite na favor ya Serikali........ Wait and see!!iwapo BAKWATA watapigilia msumari wa mwisho
Vipi ile siku aliyopindua matokeo jeπ€ͺNiliikatia tamaa hii nchi ile siku Mzee Jecha alipochukua fomu ya kugombea urais kule Zanzibar kwa tiketi ya CCM!
Ngoja tuonehawa wapoo opposite, kama unabisha suburi, Govt imeweka mamluki mle ambao wao kazi yao ni ku-neutrize issue kama hizi ambazo zipo opposite na favor ya Serikali! wait and see!!