Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
sahihi kabisa nami nimemjib aliye sema marekani hawaangalii jinsia ndo nimemuuliza ko jinsia ilikuwa moja tu miaka yoteTangu Marekani Ipate Uhuru Haijawahi kutawaliwa na Rais mwanamke
Vimepangwa na nani mkuuSimpson haijawahi kufeli. Katuni zinatengenezwa na elites wa dunia.
Vitu vingi duniani vimepangwa,
Kamala akiwa Rais,, Marekani inafikaje mwisho wa kuwepo kwake???Ishaandikwa Kamala anashinda na ndio itakua mwisho wa Marekani
Achana mambo ya kushabikia mambo ya Simba na Yanga yanakupotezea muda, jifunze kuwa mdadisi wa mambo maana dunia ipo kasi sanaKamala akiwa Rais,, Marekani inafikaje mwisho wa kuwepo kwake???
Kwamba wapo walisafiri mbele ya muda?Mkuu usishangae hii Dunia inaendeshwa na nguvu nyingine, kuna katuni ya miaka mingi ilishaonyesha Trump kupigwa risasi ya sikio wakati wa kampeni, tena imetaja jina kabisa Trump, niliona kwenye somo la dalili za kurudi kwa Yesu by Isaac Javan, mle kilakitu tunachoona kinafanyika Sasa vilishatengenezewa movies miaka mingi iliyopita
Hiyo katuni unayosema Ndo hiyo Simpsons Mkuu!Mkuu usishangae hii Dunia inaendeshwa na nguvu nyingine, kuna katuni ya miaka mingi ilishaonyesha Trump kupigwa risasi ya sikio wakati wa kampeni, tena imetaja jina kabisa Trump, niliona kwenye somo la dalili za kurudi kwa Yesu by Isaac Javan, mle kilakitu tunachoona kinafanyika Sasa vilishatengenezewa movies miaka mingi iliyopita
Yeah Ni kweli kabisa kwanza ilikuwa na Muonekano mbaya so wengi hawakuwa wanaifatilia Miaka ya nyumaHuwa hawatabiri, The Matrix huwa wanakuonesha kile walichopanga kupitia vitu vinavyodharaulika na watu kama hizo katuni.
Watu wengi wameanza kuishtukia The Simpsons kuanzia miaka ya 2015, kabla ya hapo walikuwa wanaidharau sana
Yeah Corona ipo PiaYes ndio hiyo, hata ya corona nasikia ipo
Mbona Trump siyo rais wa sasa? Hiyo ku-inherit badget haina uhasilia. Pia kuwa na rais mwanamke in the future huo siyo utabiri bali ni uhalisia. Dunia ina jinsia mbili tu, hivyo lazima itatokea miaka jinsia ya pili itashika madaraka.March, 19-2000. TV show THE SIMPSONS wali'release SEASON 11
S0 11, Episode ya 17 "BART TO THE FUTURE" ilionyesha RAIS mwanamke akiongoza USA 🇺🇸
Scenes zinaonesha characters waliopo sasa kina KAMALA, na TRUMP
Hmm! wanajarbu kutwambia nini?🤔
Yani Series ya mwaka aftisa mia huko wakaigiza mambo yanayotokea leo!!😳😳
Kuna kitu hakipo sawa, Ila Ipo siku hata kama nitakuwa nimekufa Kitakuwa wazi..
Waliwahi Kutabiri Pia URais wa Trump na Pia Urais wa Obama
View attachment 3141766
View attachment 3141767View attachment 3141769
KIPANDE CHA video hili hapa .. Na ikumbukwe Hii Series ni Miaka ya 1990s mpaka 2000
View attachment 3141772
Wamarekani wao ni wataalamu wa afya ya akili, wao pia ni wacheza movie maarufu vile vile usisahau.March, 19-2000. TV show THE SIMPSONS wali'release SEASON 11
S0 11, Episode ya 17 "BART TO THE FUTURE" ilionyesha RAIS mwanamke akiongoza USA 🇺🇸
Scenes zinaonesha characters waliopo sasa kina KAMALA, na TRUMP
Hmm! wanajarbu kutwambia nini?🤔
Yani Series ya mwaka aftisa mia huko wakaigiza mambo yanayotokea leo!!😳😳
Kuna kitu hakipo sawa, Ila Ipo siku hata kama nitakuwa nimekufa Kitakuwa wazi..
Waliwahi Kutabiri Pia URais wa Trump na Pia Urais wa Obama
View attachment 3141766
View attachment 3141767View attachment 3141769
KIPANDE CHA video hili hapa .. Na ikumbukwe Hii Series ni Miaka ya 1990s mpaka 2000
View attachment 3141772
Umeangalia Costomes za Huyo rais na Hizo za Katuni kuanzia Kuongea Mapozi na Pia hata Uvaazi wa cheni na Hereni na Rangi ya Nguo??Mbona Trump siyo rais wa sasa? Hiyo ku-inherit badget haina uhasilia. Pia kuwa na rais mwanamke in the future huo siyo utabiri bali ni uhalisia. Dunia ina jinsia mbili tu, hivyo lazima itatokea miaka jinsia ya pili itashika madaraka.