Katuuzia K-Vant feki kisha katutisha. Hakika mwenye pesa mpishe apite!

Katuuzia K-Vant feki kisha katutisha. Hakika mwenye pesa mpishe apite!

Kwanini unywe k-vant Kwanza?.
Nakuuliza km mstaafu mkuu wa pombe kali zote. henessy,grants,gordons gin.
Zilikua genuine hata nyagi.
Na pombe fake ya kwanza kuijua ilikua Valeur.
Tulikua tunakunywa 25000 grants,henessy 40,Gordon 35.
Nyagi 8000.
Tumezitwanga na mafisadi Papa mjini hapa enzi zetu.
Msafara wa mamba mijusi tumo tu.
Hatujawai kulalamika.
Kunywa Fanta mkuu kama huna hela.
Yesu mwenyewe anahairisha safari ya kuja kutukomboa kila siku.

Hapa mwenyewe unaona kama umeandika kichekesho au umeonesha ni mjanja. Kumbe fala bwege, mshamba na umeonesha huna akili. Kubwa jinga.
 
Baada ya kunywa konyagi fake na smart gin nikaamua kustaafu rasmi pombe kali zote na badaye zote.
 
Ni muda wa kustaafu pombe sasa.
 
Mi nafurahi kusikia taarifa kama hizi.. ulevi ni laana
 
Bora ninywe pombe amabzo si popular kama value,hanschoice
 
Nipo likizo Kahama. Jana jioni rafiki yangu alinunua chupa mbili kubwa za Pombe ya KVant kwenye duka la jumla hapa Mjini. Tulipoanza kutumia nikagundua zina ladha tofauti. Na kweli tulipochunguza zile lebo tukagundua zina utofauti na KVant original.

Tulipozirudisha dukani muuzaji akatutisha kwamba atatufanyia kitu mbaya, tukaenda kutoa taarifa Polisi.

Tulipowaelekeza duka wao wenyewe Polisi wakasema kama ni dukani kwa Mushi magumashi pale ndio zake, kisha wakatuambia tusamehe tu au kama tumekereka sana tukatoe taarifa TRA.

Walevi wenzangu tuwe makini, Pombe feki zimetapakaa mitaani ndio maana wagonjwa wa Figo wanaongezeka kila kukicha.
Kwa hiyo jamaa ana nguvu kuliko polisi? ☹️
 
Nipo likizo Kahama. Jana jioni rafiki yangu alinunua chupa mbili kubwa za Pombe ya KVant kwenye duka la jumla hapa Mjini. Tulipoanza kutumia nikagundua zina ladha tofauti. Na kweli tulipochunguza zile lebo tukagundua zina utofauti na KVant original.

Tulipozirudisha dukani muuzaji akatutisha kwamba atatufanyia kitu mbaya, tukaenda kutoa taarifa Polisi.

Tulipowaelekeza duka wao wenyewe Polisi wakasema kama ni dukani kwa Mushi magumashi pale ndio zake, kisha wakatuambia tusamehe tu au kama tumekereka sana tukatoe taarifa TRA.

Walevi wenzangu tuwe makini, Pombe feki zimetapakaa mitaani ndio maana wagonjwa wa Figo wanaongezeka kila kukicha.
Tan,ania inamilikiwa na wenye misuli
 
Nashukuru sana ndugu. Hayo maneno anayeyasema ndiyo yaliyokujaa. hayana athari kwangu hata kidogo. Nakuonea tu huruma maisha uliyochagua kuishi.
Usianze kutoka watu km huwezi kuvumilia matusi.
By the way hapa tunachangamsha baraza tu.
Sasa ukitukana unatukanwa.
We call a spade,Spade no blah blah
 
Nilikuwa napenda sana konyagi,eti nayo siku hz ina feki yake tena ile ladha yake ya ukali ya miwa hata huisikii,sahv inabid niwe nakunywa bia tu
Kabisaa mkuu...kuna sehemu nlikaa juz nikawa napiga size ya kati...jamaa kaja nae alikuwa anaichukua hapo hapo kweny pombe shop...Sasa kwny simu ana ile scanner ya kuscan codes zile...Cha ajabu hazikusoma hata moja...tangia hyo siku nmeacha kunywa nyag..acha nihamie kweny captain Morgan kwa muda
 
Usianze kutoka watu km huwezi kuvumilia matusi.
By the way hapa tunachangamsha baraza tu.
Sasa ukitukana unatukanwa.
We call a spade,Spade no blah blah

No. Mi sina tatizo kabisa mtu anapodhani ananitukana hanitukani. Huwa napenda tu kujua wazazi wa mtu walikosea au patia wapi. Then nasema anhaaaah... Kumbe huyu kaharibikiwa kwa upande huu. Sisi kwetu hatukuwa hata tuna fahamu maana ya hilo neno. Ndo imebidi niulize kwa mtu maana yake nini. Akanielezea. Nikasema "ooooh ndo mazingira yaliyomkuza huyu dogo." Maana kimtokacho mtu ndicho kiujazacho moyo wake.

Sisi kwetu kuna terms tunatumia. Ubarikiwe, very good, shukrani, samahani, usifanye kitu cha kijinga etc(maana ni werevu) hilo ndo neno kubwa kumuonya mtu.

So mimi huwa sikasirishwi kabisa najifunza tu madogo wa siku hizi wamelelewaje? Mitaa gani, waZazi wao walikuwa watu wa namna gani? Wana stress kiasi gani? Umaskini umewaathiri vipi bongo na akili zao? Wana makasiriko kiasi gani? Athari za ugumu wa maisha? Ndo najifunza kwao.
 
Back
Top Bottom